frenderPH
JF-Expert Member
- Oct 30, 2019
- 621
- 817
Unaogopa nini mama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] embu nambie nikusaidieSasa hasemi kitu chochote na siwezi muanza mimi naogopa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaogopa nini mama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] embu nambie nikusaidieSasa hasemi kitu chochote na siwezi muanza mimi naogopa
Hajafikia potential bali “Prospect Mchepuko”Potential mcharuko
Yatakua ndo hayo hayo mkuu .. [emoji1787]Sio mamcho ya kumgali[emoji16][emoji16]
Sasa hasemi kitu chochote na siwezi muanza mimi naogopa
Anataka viji-drama kidogo ili asionekane amepatikana kiurahisi ..Unaogopa nini??-- si ujiachie tu [emoji1787]
KabisaHajafikia potential bali “Prospect Mchepuko”
Inategemea.Ni kweli Mwanamke asipokua hatongozwi na wanaume anakua desperate??
(Akikosa attention kutoka kwa wanaume anachanganyikiwa /pagawa?)
Katika harakati za kumchinja akifanikiwa kukupiga kofi moja au kukukwaruza na kucha zake utajuta...inahitaji timing ya hali ya juu🤣Hahahah hapo ni kumchinja tu
Si hakuoni hapoKatika harakati za kumchinja akifanikiwa kukupiga kofi moja au kukukwaruza na kucha zake utajuta...inahitaji timing ya hali ya juu🤣
Anahisia huyo kiumbe ukimsogelea lazima aongeze purukushani, atupe miguu huku na kule akibahatisha pigo moja tu !Si hakuoni hapo
Nimependa jibu..Inategemea.
Ubongo wako umeulisha nn kuhusu wewe na utongozwaji.
Some of us, kabla hujanitongoza lazima niwe nimejiandaa kiakili kuwa one is hitting on me.
Vinginevyo inakera.
So huwezi kuwa desperate na kutongozwa if kutongozwa doesn't kukukamilisha any part of your womanhood.
Randomly utongozwaji issa a no.
Lakin iwapo ni specific then sio kuwa utachanganyikiwa au kuwa desperate as yu have put it.
Lakin utakuwa tu unatamani that particular person
Which yes, unaweza kuanza pia.
Sasa desperation inatoka wapi?
Sio wanawake wote.Nimependa jibu..
Nipe elimu asee maana pande hii niko mweupeee.
It doesn't kamilisha anypart f womanhood but kama mwanamke haitwi au kusimamishwa na mtu kwa muda mrefu inamfanya ajisikie maybe hana mvuto.. Ambacho ni kitu mnathamini sana. Kutuvutia
Bastola si ipoAnahisia huyo kiumbe ukimsogelea lazima aongeze purukushani, atupe miguu huku na kule akibahatisha pigo moja tu !
Jibu lako limenifanya ni undergo reaction toward stimulus 😆😆Sio wanawake wote.
I for one, sipendi kutongozwa kabiiiisa.
I hate it.
Na niko very sexy(you know it)
And I know it too.
Sasa hakunaga tu jibu moja kwa kila mtu.
Wapo wanawake wanaamini kutongozwa manake ndio kipimo cha mvuto.
Kama vile wapo wanaume wanaoamini kutongozwa au kuwa na wanawake wengi ndio urijali.
Sasa hii ni very subjective issue kwa kweli.
Nini kipo ndani yako kuhusu mtazamo wa wengine kwako!
Nini kinakutafsiri wewe na personality yako .kuhusu mahusiano?
Nini kinakukamilisha as a woman?
Kutongozwa?
Kuwe ndo kipimo cha mvuto?
Sio kweli!
Hapo umenena hana ujanja👍Bastola si ipo
Hahahaha ile kesi kwani haiishi lol.Jibu lako limenifanya ni undergo reaction toward stimulus 😆😆
You're aisee though kitu kimoja kimemisi
Now I put it together.
Kwamba kutongozwa kunamfanya mwanamke asiwe desperate ni "Perspective view" au mentality ya mtu husika ila haimaanishi kwamba ndio ukweli right???
I concur yapo mengi yanayokamilisha uanamke mbali na kuvutia jinsia tofauti.
Mkuu ID yako inashilia rekodi ya urefu hapa JF eti?[emoji2211]