Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,446
- 14,880
Msaidie mwenzio anasubiria busara zako huenda zikaokoa jahazi lisizame.Nashukuru Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaidie mwenzio anasubiria busara zako huenda zikaokoa jahazi lisizame.Nashukuru Sana
Mm sielewi kwa kweli.Msaidie mwenzio anasubiria busara zako huenda zikaokoa jahazi lisizame.
Kumbuka asipoanza yeye basiiinaonekana ww mwenyewe umempenda kwahyo funguka tu mwambie ukweli muendeleze libeneke
😝😅😅😋 Umetafuta kuwa quoted au ndiyo ivooo wewe na mtoa mada lenu moja.Utakufa na sononeko we si umwambie nipe namba zake nikusaidie kumwambia huyo SHEMELA
[emoji23][emoji23][emoji23]Inaelekea unataka akutongoze, kwanini usimualike mahali Kwa dinner ili kumshukuru kwa “msaada” wake kisha nawe ukaanza kumuangalia “kimahaba”?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wewe muangalie kimahaba.case closed.
Ila umeniuzi wewe Yani na wewe kumwangalia kimahaba umeshindwa kweli[emoji30]
Hapo kwenye Gay mmmmhUsikute mtu ndo macho yake yalivyo.
Wewe Tu na mapepe yako ukaona ushapendwa.
Anyway kama Una namba yake si uwe tu unamsalimia asubuhi na kumpa good night kila siku ...kwa wiki moja asipo react basi hakutaki au gay...
Hiki ndo kitu kwa wawanawake huwa kinashinda sanaaa kuna kipindi niliwahi kuwa morogoro kikazi kwa kama miaka mi3 hivi ofcn kulikuwa na kidada flan kinamsaidia secretary mambo madogomadogo baada ya ile project kuisha nkahamishiwa mkoa mwingine sasa hiki kidada ikawa texts hazikauki mara nimekumiss blaablaaa siku moja nkakitolea uvivu nkakitongoza kikakubali kwenye storystory ndo kikaja kunambia kilikuwa kinanipenda sanaaa tangu nikiwa morogoro nkakiambia sasa si ungesema????? Kikanambia kilikuwa kinasubir mm ndo niongee na kama nisingeongea baaasi kangekufa na machungu yake milele....ebo mm nikuanze vipi ilhali wala sijakiwazia chchte???? Kama umemuelewa mtu funguka tu dada yangu maisha mafupi na dunia sio yetu hiiKumbuka asipoanza yeye basii
Rara naye mbere(mbake)Jamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.
Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.
Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.
Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?
Amani? Nifanyaje anitoke?
Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
[emoji1][emoji1][emoji1]kwa hii lugha uwiiiiii Unique Flower njoo huku uone mbinu ya kivitaRara naye mbere(mbake)
Popote ulipo ww jamaa muda sio mrefu utatunukiwa papuchiHalafu kunasiku tena maza alimwambia ngoja nikulete document zangu akakataa akasema naomba yule mtoto wako aletee kwenda mjini kila siku utachoka akitaka kitu anadai mie ndio nimletee hata kama hakimuhusu maza
Hongera kwa kumpenda pia, vipi tangu hizo process ziishe mmeshawahi kuwasiliana tena?ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?
Kwanini akutoke? Sifahamu umejuaje kama hajaoa? Kama unampenda kwa dhati mdadisi pia mama yako kama anajuana nae huyo kijana, pia mdadisi huyo kijana vizuri, mawasiliano yake si bado unayo? muendelee kuchat n.k ili muendelee kutengeneza ukaribu mwisho wa siku kama mmependana kweli mambo yatatick tu automatically, ila kuwa makini sana, usikurupuke ili usije kujuta baadae kwa mambo ya kuliwa kimasihara n.k. Be carefully and goodlucky.Nifanyaje anitoke?
Nimsahau hajaoa nasijaolewa
Nipe mimi basiSasa hasemi kitu chochote na siwezi muanza mimi naogopa
Njoo pm uniambie, ndo mm ananizungumziaUtakufa na sononeko we si umwambie nipe namba zake nikusaidie kumwambia huyo SHEMELA
[emoji23][emoji23][emoji23]Na ukijipeleka tu ataenda kutoa ushuhuda alikula kimasihara.