Kuna kaka anaashiria ananipenda ila hanitongozi, nifanye nini?

Kuna kaka anaashiria ananipenda ila hanitongozi, nifanye nini?

Wanawake wengi ndio mnapo-fail kwenye hili.

Kuingia kwenye mahusiano au kuolewa na huyo njemba unataka. Kutongoza sio lazima awe mwanaume tu mtongozaji,wanawake pia mna aina yenu ya kumtongoza mwanaume.

Mwanamke kama umempenda mwanaume tumia mbinu zingine kumfanya awe mtu wako. Muda mwingine mpaka kuoana.

Ile mnakutana mara ya kwanza au mara ya pili fanya uwe mchangamufu kiasi kwake. Endelea kumzoea,sio mbaya hata ukimtext “vipi boss kubwa umekula?”. ”usije ukawa unaendelea kupiga kazi zetu tu huku unakosa hata muda wa kula. kitu kama ”umeshatoka ofisini boss?”.

Sikia usiogope mwanaume wa kuishi nae au hata mpenzi una nafasi ya kumtengeneza wewe unaemtaka. Nimeona mara nyingi wanawake wasio waoga sana,wale wachangamufu kiasi ndio wanaoolewa
 
Mm sjambo hofu kwako uliyepo mbali na upeo wa macho yangu, nimepatia au ni macho yako wewe, nimekumbu enzi zile za kuandika barua una muagiza rafiki yake na mrembo unae mhitaji kishule shule miaka hiyo tena shule ya msingi.
Thaaat was sexxy.
Niliandikaga baruuuuuuaaaa miiimi.
Huhuhuhuhuhuhu.
Acha tu nizeeke now.
 
Ewaaaa
Wanawake wengi ndio mnapo-fail kwenye hili.

Kuingia kwenye mahusiano au kuolewa na huyo njemba unataka. Kutongoza sio lazima awe mwanaume tu mtongozaji,wanawake pia mna aina yenu ya kumtongoza mwanaume.

Mwanamke kama umempenda mwanaume tumia mbinu zingine kumfanya awe mtu wako. Muda mwingine mpaka kuoana.

Ile mnakutana mara ya kwanza au mara ya pili fanya uwe mchangamufu kiasi kwake. Endelea kumzoea,sio mbaya hata ukimtext “vipi boss kubwa umekula?”. ”usije ukawa unaendelea kupiga kazi zetu tu huku unakosa hata muda wa kula. kitu kama ”umeshatoka ofisini boss?”.

Sikia usiogope mwanaume wa kuishi nae au hata mpenzi una nafasi ya kumtengeneza wewe unaemtaka. Nimeona mara nyingi wanawake wasio waoga sana,wale wachangamufu kiasi ndio wanaoolewa
📌📌📌📌📌📌
 
Day one na kulewa.

Hapana, haya mambo mbona yanazungumzika tuuu.
Mchawi bundle tu.
Angekaza macho mwenyewe huyu ajione yeye ndo anachelewesha watoto wao kupata umonita shuleni.
Mwisho wazaliwe cheo cha umonita kimefutwa.
Au alewe halafu baadae aisingizie pombe.case closed
 
Thaaat was sexxy.
Niliandikaga baruuuuuuaaaa miiimi.
Huhuhuhuhuhuhu.
Acha tu nizeeke now.
Mimi niliandikiwa na huyo jamaa(alimpa binamu yangu anipe)nikaipokea kuitia kwenye koti Hata sijui funguka na sikujua nini kimeandikwa ndani😁😁ilikuja kudondoka bhana wakaidaka wanafunzi😁😁naomba niishie hapa kwakweli
 
Day one na kulewa.

Hapana, haya mambo mbona yanazungumzika tuuu.
Mchawi bundle tu.
Angekaza macho mwenyewe huyu ajione yeye ndo anachelewesha watoto wao kupata umonita shuleni.
Mwisho wazaliwe cheo cha umonita kimefutwa.
😁😁😁😁😁 snowhite umenichekesha mno aiseh
 
I
Yes, akimwita my wangu mara 2 hajareact.
Aanze kumwita mpenzi, asiporeact
Wiki inayofuata amwite hubbie.
Akiitika, baaaas.
Wakeeeeeee, aende na brela.
imeisha hiyoooo 🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️
 
Mleta uzi tunaomba mrejesho...

Bado ndugu yetu anakuangalia kwa mahaba (Macho kumchuzi) au umejiongeza
 
Jamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote. Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu. Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana. Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu? Amani? Nifanyaje anitoke? Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Jamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.

Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.

Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.

Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?

Amani? Nifanyaje anitoke?

Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Uko ofisini gani na Mimi nataka unishughulikie nisafiri nje ya nchi
 
Semeni kimeumana
Kimeumana
images (90).jpeg
 
Yes, akimwita my wangu mara 2 hajareact.
Aanze kumwita mpenzi, asiporeact
Wiki inayofuata amwite hubbie.
Akiitika, baaaas.
Wakeeeeeee, aende na brela.
Hahahah hawez ruka mwamba ni Domozege pro maana hajafikia Max ila pia demu mshamba nae!

Jamaa anatamani demu ajiongeze yeye kabaki kutumbua macho kama mjusi gegedu hajui nini cha kufanya!
Demu nae mshamba wa mapenzi wote wamekutana Amatuers tu wanaogopana ila kwa ilipofikia hatua stahiki zisipochukuliwa tutahitaji katiba mpya😅😅😅
 
Back
Top Bottom