Kuna kaka anaashiria ananipenda ila hanitongozi, nifanye nini?

Kuna kaka anaashiria ananipenda ila hanitongozi, nifanye nini?

Jamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.

Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.

Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.

Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?

Amani? Nifanyaje anitoke?

Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Hujaolewa af mara msemage mmeolewa sehem zingine😅 hutakiwi kukosa nguvu huyo jamaa ni mchicha mwiba!
 
Salama Chief habari yako
Mm sjambo hofu kwako uliyepo mbali na upeo wa macho yangu, nimepatia au ni macho yako wewe, nimekumbu enzi zile za kuandika barua una muagiza rafiki yake na mrembo unae mhitaji kishule shule miaka hiyo tena shule ya msingi.
 
Hahahahahhaha kwamba anakutizama tu kimahaba!
Ukute ni macho yake, na alikuwa anakusikiliza kwa makini.

Sasa sio issue, we umemwelewa, sio?

Anza kumwita mpenzi.
As in umekula mpenzi?
Umeshindaje mwaya.
Asipomind wa kwako huyo
Heheheh ajimilikishe tu
 
Unavaaje hasa huku kwenye manyonyo tuanzie hapo uchunguzi,halafu inakuaje hao wadada wa kazini kwenu wanakonyezana kila unapoangaliwa kimahaba,kingine hiyo ofsi yenu inahusika na nini isijekuwa na wale wadada wa hotel management
 
vipi umepata div ngapi? umefanya application ya chuo, unaonekana very innocent, hujatujua bado vizuri, tumia ubongo wako vizuri kabla ya kudate na mwanaume,
.
.
ila umeniomba ushauri, kama namba zake unazo, muulize ratiba zake then kama anaratiba za kutoka weekend!
.
akikubali jipange, toka kama mdada ambae anajiheshim, vaa kwa staha, pendeza ila si kujiwekea mambo meengi,
.
.
jioneshe ni mwanamke aliekomaa kiakili, unaweza kuwa mama wa familia, usiwe na haraka nenda taratibu, ipo siku mtakubaliana na mtaanza kudate!!
.
.
Uzinzi ni mbaya, jitahidi kujiheshim.. wanaume hufurahi wanavyompata mwanamke kirahisi na atakutumia sana lakini hupenda kuish na mwanamke anautunza mwili wake na kuepuka ngono kabla ya ndoa. akiuzoea mwili wako hatakuoa!!
 
Jamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.

Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.

Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.

Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?

Amani? Nifanyaje anitoke?

Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Wengine macho yetu yako ivo.
Naweza kukuangalia usoni ukahisi nataka nikuchome.
Kumbe hamna kitu.
 
IMG_3033.png

Mimi ni nani nipingane na tafiti.

Women love drama ukiwa mtu wa vidrama utagonga warembo mpk uchanganyikiwe.

Wenzako walikuwa wanabisha huko ista.Kasome comment zao

Hapo ndugu yangu umekutana na mtongozaji mzuri na hapo ndo unatongozwa subiri ushikwe mkono ukapigwe pumb* tu.Usidhani kunakutongozwa kwingine zaidi ya huko
 
Kwani wanaume wenzangu huko kuangalia kimahaba mnaangaliaje [emoji23][emoji23]
Au kuna sura na sura, naweza kudhani nakuangalia kimahaba kumbe nakutisha [emoji23][emoji23]
Bila shaka hutegemea sura na sura, kama sura yako ngumu usijaribu kabisa [emoji23][emoji23] ..

Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
 
Jamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.

Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.

Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.

Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?

Amani? Nifanyaje anitoke?

Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Wagogo kwa kujitongozesha kwa wanaume hamjambo.
 
Aki hit and run mnaanza kuja kulia lia hapa. Pengine ana mchumba huko anakuonea huruma kwamba akikukaza mwisho wa siku atakuacha lkn wew hufikirii. Unaongozwa na akili za nyege tu... ngoja akunyooshe
Ahhahahaha tashiwishi za Profesa Kabudi 😅😂😅😅😂
 
Kwahiyo umeona uje unianzishie uzi kweli?
Jamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.

Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.

Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.

Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?

Amani? Nifanyaje anitoke?

Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
 
Back
Top Bottom