Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Salama Chief habari yakoChakori mzima wewe habari za siku nyingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salama Chief habari yakoChakori mzima wewe habari za siku nyingi.
Duh..!Inaelekea unataka akutongoze, kwanini usimualike mahali Kwa dinner ili kumshukuru kwa “msaada” wake kisha nawe ukaanza kumuangalia “kimahaba”?
Hujaolewa af mara msemage mmeolewa sehem zingine😅 hutakiwi kukosa nguvu huyo jamaa ni mchicha mwiba!Jamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.
Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.
Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.
Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?
Amani? Nifanyaje anitoke?
Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Mm sjambo hofu kwako uliyepo mbali na upeo wa macho yangu, nimepatia au ni macho yako wewe, nimekumbu enzi zile za kuandika barua una muagiza rafiki yake na mrembo unae mhitaji kishule shule miaka hiyo tena shule ya msingi.Salama Chief habari yako
Heheheh ajimilikishe tuHahahahahhaha kwamba anakutizama tu kimahaba!
Ukute ni macho yake, na alikuwa anakusikiliza kwa makini.
Sasa sio issue, we umemwelewa, sio?
Anza kumwita mpenzi.
As in umekula mpenzi?
Umeshindaje mwaya.
Asipomind wa kwako huyo
Ni bubu nini?Sasa hasemi kitu chochote na siwezi muanza mimi naogopa
Mie nipo wastani kiumbo watu wengi wanasema na shep namba 6
Amtoeje dinner na alisema kumhudumia mwanaume hawezi😅 huyu! Apambane na kihoro chake tuAmtoe dinner sehemu nzuri kuwe na mazungumzo ya kawaida na utani wa kumfanya kumkumbuka mtu then kaa kimya kwa muda kadhaa mbona simpo sana
Wengine macho yetu yako ivo.Jamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.
Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.
Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.
Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?
Amani? Nifanyaje anitoke?
Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Mnamfundisha mtoto ujangiliEndelea na hiyo hiyo code ya aibu.
Ila hakikisha hiyo aibu anajua unamwonea yeye
Sio watu.
Dogo hajawa jambaz bado kuzijua moves za kuliwa kimasihara 😅Yani umwombe aje kazini muongee much!!girl!how old are you mamaa
Toa Dp la pete hilo unatukosesha mabaharia fursaYes hapo ndio mimi nataka aseme mwenyewe siwezi fosi atanidharau ataniona waajabu
Bila shaka hutegemea sura na sura, kama sura yako ngumu usijaribu kabisa [emoji23][emoji23] ..Kwani wanaume wenzangu huko kuangalia kimahaba mnaangaliaje [emoji23][emoji23]
Au kuna sura na sura, naweza kudhani nakuangalia kimahaba kumbe nakutisha [emoji23][emoji23]
Wagogo kwa kujitongozesha kwa wanaume hamjambo.Jamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.
Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.
Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.
Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?
Amani? Nifanyaje anitoke?
Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Ahhahahaha tashiwishi za Profesa Kabudi 😅😂😅😅😂Aki hit and run mnaanza kuja kulia lia hapa. Pengine ana mchumba huko anakuonea huruma kwamba akikukaza mwisho wa siku atakuacha lkn wew hufikirii. Unaongozwa na akili za nyege tu... ngoja akunyooshe
Jamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.
Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.
Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.
Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?
Amani? Nifanyaje anitoke?
Nimsahau hajaoa nasijaolewa.