Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama kamwelewa jamaa anamfaa mwanae na mwanae nae anashindwa kutumia fursa.
Au nyuma ya pazia labda mama kashaongea na jamaa kuwa atampa mwanae maana wazazi wengine siku hizi wamekuwa koadi kwa watoto wao kama wakiona mambo hayaendi[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Anambinu zote za kivita ila anatuzugaDogo hajawa jambaz bado kuzijua moves za kuliwa kimasihara π
Hhhahahaha haina baunsaNyege ikikupanda vzr unaweza baka
Kwamba atakuwa anamfaa jokajeusi huyu nakataaa! Wahuni lazma walishakata utepe kitambo mapoz ya kuku haya kujifanya anamkimbia jogoo kumbe anatakaAnambinu zote za kivita ila anatuzuga
Kwamba afe na kihoro chake sio..hivi alisema hawezi kumhudumia mwanaume eee safiAmtoeje dinner na alisema kumhudumia mwanaume haweziπ huyu! Apambane na kihoro chake tu
Mtongoze jitongozesheJamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.
Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.
Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.
Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?
Amani? Nifanyaje anitoke?
Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Mim niko poa kabisa.Mm sjambo hofu kwako uliyepo mbali na upeo wa macho yangu, nimepatia au ni macho yako wewe, nimekumbu enzi zile za kuandika barua una muagiza rafiki yake na mrembo unae mhitaji kishule shule miaka hiyo tena shule ya msingi.
Huyo mkaka ni mimi.
Ushindwe mwenyewe tu...
Mwite chumbani ale tunda kimasihara!!Jamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.
Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.
Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.
Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?
Amani? Nifanyaje anitoke?
Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Wazee wa snake pass hamchez mbaliπ π πHuyo mkaka ni mimi.
Ushindwe mwenyewe tu...
Umeona ee..mwanamke kuzuga zugq hiyo ni kawaida sheikh ππKwamba atakuwa anamfaa jokajeusi huyu nakataaa! Wahuni lazma walishakata utepe kitambo mapoz ya kuku haya kujifanya anamkimbia jogoo kumbe anataka
Achutame awekwe sasa sio anaendelea kukimbia tuπUmeona ee..mwanamke kuzuga zugq hiyo ni kawaida sheikh ππ
Mnamfundisha mtoto ujangili
Kwani wewe ni jini?Kuna siku nilimcall nikamwomba masaada alinisaidia ila shida sianawake naogopa someone akiwa na mtu hajaoa ila yupo na mtu
Heheheheh dogo huyo i wish i kudu be IGP π π π π π angerimia meno! Yani nimkawize njiwa ambae kinda enzi zangu ingekuwa imebaki storyHata kwenye biblia iliandikwa.
Wanawake wazee wafundisheni wanawake kijana.
Sasa hizi mbwinu unafkr tutastaafu nazo?
Tuziweke Pssf, sio kweli.
Lazima tuwarithishe .
Ndo urithi pekee tuliojaliwa.
ππππππππππππππ
Wapo hawa wa 2005 hawajuiMim niko poa kabisa.
Hivi kuna ambae hajawahi kwenye hiyo kituππ
Yes, akimwita my wangu mara 2 hajareact.Heheheh ajimilikishe tu
HahahhahahhahahaHeheheheh dogo huyo i wish i kudu be IGP π π π π π angerimia meno! Yani nimkawize njiwa ambae kinda enzi zangu ingekuwa imebaki story