Kuna kaka anaashiria ananipenda ila hanitongozi, nifanye nini?

Kuna kaka anaashiria ananipenda ila hanitongozi, nifanye nini?

Fanya hivi πŸ€£πŸ‘‡

Kamata kiuno, kamata bega
Kamata kichwa ka ndoo unabeba
Kamata kimini chalegalega
Wooh! Maana chashuka chini unamtega
Kamata, kamata, kamatika, kamata
Kamata, kamata, mpaka chini, kamata
Kamata, kamata, Kamata, kamata
 
Maza anatengeneza pasi ya upendo,,, bila shaka watakuwa wachaga hawa ndio michezo yao hii πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Mama kamwelewa jamaa anamfaa mwanae na mwanae nae anashindwa kutumia fursa.
Au nyuma ya pazia labda mama kashaongea na jamaa kuwa atampa mwanae maana wazazi wengine siku hizi wamekuwa koadi kwa watoto wao kama wakiona mambo hayaendi[emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.

Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.

Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.

Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?

Amani? Nifanyaje anitoke?

Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Mtongoze jitongozeshe
 
Mm sjambo hofu kwako uliyepo mbali na upeo wa macho yangu, nimepatia au ni macho yako wewe, nimekumbu enzi zile za kuandika barua una muagiza rafiki yake na mrembo unae mhitaji kishule shule miaka hiyo tena shule ya msingi.
Mim niko poa kabisa.

Hivi kuna ambae hajawahi kwenye hiyo kituπŸ˜€πŸ˜€
 
Jamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.

Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.

Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.

Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?

Amani? Nifanyaje anitoke?

Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Mwite chumbani ale tunda kimasihara!!
 
Kwamba atakuwa anamfaa jokajeusi huyu nakataaa! Wahuni lazma walishakata utepe kitambo mapoz ya kuku haya kujifanya anamkimbia jogoo kumbe anataka
Umeona ee..mwanamke kuzuga zugq hiyo ni kawaida sheikh 😁😁
 
Hata kwenye biblia iliandikwa.

Wanawake wazee wafundisheni wanawake kijana.
Sasa hizi mbwinu unafkr tutastaafu nazo?
Tuziweke Pssf, sio kweli.

Lazima tuwarithishe .
Ndo urithi pekee tuliojaliwa.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mnamfundisha mtoto ujangili
 
Hata kwenye biblia iliandikwa.

Wanawake wazee wafundisheni wanawake kijana.
Sasa hizi mbwinu unafkr tutastaafu nazo?
Tuziweke Pssf, sio kweli.

Lazima tuwarithishe .
Ndo urithi pekee tuliojaliwa.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Heheheheh dogo huyo i wish i kudu be IGP πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… angerimia meno! Yani nimkawize njiwa ambae kinda enzi zangu ingekuwa imebaki story
 
Back
Top Bottom