Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh kuna watu jamani hapana kwakweliInaelekea unataka akutongoze, kwanini usimualike mahali Kwa dinner ili kumshukuru kwa “msaada” wake kisha nawe ukaanza kumuangalia “kimahaba”?
Nyege ikikupanda vzr unaweza baka
Hivi kuangalia kimahaba ndo VIP......mbona nimekuangalia kawaida tu.anyway leo ntakutoa dinnerUnajua aliniangalia kimahaba mpaka wenzake wakaanza kukonyezana?
tumia hii mbinuInaelekea unataka akutongoze, kwanini usimualike mahali Kwa dinner ili kumshukuru kwa “msaada” wake kisha nawe ukaanza kumuangalia “kimahaba”?
Jamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.
Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.
Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.
Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?
Amani? Nifanyaje anitoke?
Nimsahau hajaoa nasijaolewk
Kama anakuhitaji atakutafuta tu ,wanaume wengne ndo walivyo. S swala la kuharakisha,wanaume wa sasa hiv n chapa ilale unaweza ukajirahisisha akapita tu .Jamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.
Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.
Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.
Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?
Amani? Nifanyaje anitoke?
Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Chakori mzima wewe habari za siku nyingi.Na wewe muangalie kimahaba.case closed.
Ila umeniuzi wewe Yani na wewe kumwangalia kimahaba umeshindwa kweli😩
Yaani ukijichanganya tu utagongwa kimasihara maana naona nyapu ndo ushaielekeza kibla hivyo,namjua Huyo jamaa sana macho yake huwa yana Bluetooth.Unajua aliniangalia kimahaba mpaka wenzake wakaanza kukonyezana?
🤣🤣🤣hatareYaani ukijichanganya tu utagongwa kimasihara maana naona nyapu ndo ushaielekeza kibla hivyo,namjua Huyo jamaa sana macho yake huwa yana Bluetooth.
Acha umalaya..
Ukijiroga ukamwambia hatokataaJamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.
Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.
Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.
Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?
Amani? Nifanyaje anitoke?
Nimsahau hajaoa nasijaolewa.