Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Umeona sasa😁😁Anavunga anakaza kumbe moyoni anaumia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona sasa😁😁Anavunga anakaza kumbe moyoni anaumia
Naogopa kutolewa njee naogopa kuanzisha mahusiano nasubiria aongee mwenyewe haongei basii.Umeonaee 😁😁ila dada tayari anambinu za kivita ila anatuzuga tu..fuatilia mwandiko wake utaniambia
Shukrani MkuuAmen..akutunze na wewe tuendelee kupeana mbinu mpya
Endelea kusubiri mama nasikia bwana yesu you karibu kurudi..maana huyo Ndie anaesubiriwa.Naogopa kutolewa njee naogopa kuanzisha mahusiano nasubiria aongee mwenyewe haongei basii.
Pamoja sana mwambaShukrani Mkuu
😂🤣🤣🤣🤣🤣 ai hii nayo kaliEndelea kusubiri mama nasikia bwana yesu you karibu kurudi..maana huyo Ndie anaesubiriwa.
Wengine wanachanwa maisha yanaendelea
Lakini haileweshi.safi😂🤣🤣🤣🤣🤣 ai hii nayo kali
Wanawake ni kusaidiana.Unamkata maini dada wa watu na shoka
Tuko karne ya 21 kama umemfeel chalii mfate wewe mwambie mambo yakusubiri mwanaume akupige sound ndio yametufikisha huku wazee wetu nalala vyumba tofauti.Jamii humu niwatu wanakushauri vizuri ila sio wote.
Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.
Dada anajiamini yule sijapata ona safi sana.ningekuwa mwanaume ningempitia kiainaKina Loveness Juakali.
Hawajaaaaali wala nn
Yani umemkata chafya paaa😁😁😁Wanawake ni kusaidiana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wewe muangalie kimahaba.case closed.
Ila umeniuzi wewe Yani na wewe kumwangalia kimahaba umeshindwa kweli[emoji30]
Ana jmbo la msingi mbele yake anaongea issue za past?Yani umemkata chafya paaa😁😁😁
Ehee ni kweli 😀😀
Mko vizuri sana.Dinner hapana
Atengeneze mazingira ya kutolewa dinner.
Make a man seduce you.
Kibingwa sana hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Endelea kuogopa.Eti ananiangalia kimahaba! Kumchana live unashindwaje? Kama huwez mwombe mtoke out kakae nae zero distance mpige mate then tayari chalii ni wako.Kuna haja ya kuwafunza wanetu maana halisi ya utandawaz aisee.Na kama unaogopa utaitwa Malaya hata akikutongoza ukikubali bado jina hilo litakuhusu gal
Tunapeana mbwinuMko vizuri sana.
Umeona sasa..Ana
Ana jmbo la msingi mbele yake anaongea issue za past?
Mxxxxxiie