snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,065
- 24,559
WeeeeweKuna siku nilimcall nikamwomba masaada alinisaidia ila shida sianawake naogopa someone akiwa na mtu hajaoa ila yupo na mtu
Cha mtu, figo tu.
Na zenyewe unauziwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WeeeeweKuna siku nilimcall nikamwomba masaada alinisaidia ila shida sianawake naogopa someone akiwa na mtu hajaoa ila yupo na mtu
Jehovah 😁😁😁😁Usikute mtu ndo macho yake yalivyo..
Wewe Tu na mapepe yako ukaona ushapendwa..
Anyway kama Una namba take si uwe Tu unamsalimia asubuhi na kumpa good nite kila siku ...kwa wiki moja asipo react basi hakutaki au gay...
Na wewe muangalie kimahaba.case closed.
Ila umeniuzi wewe Yani na wewe kumwangalia kimahaba umeshindwa kweli😩
Eti?Umeniudhi kama nini na wewe...
Wewe watu wengi wanakuhusu nini
Halafu kunasiku tena maza alimwambia ngoja nikulete document zangu akakataa akasema naomba yule mtoto wako aletee kwenda mjini kila siku utachoka akitaka kitu anadai mie ndio nimletee hata kama hakimuhusu mazaUmeniudhi kama nini na wewe...
Wewe watu wengi wanakuhusu nini
Wajameni next time nitamwomba aje kazini tuongee kuhusu pasi ili tuongee muchEti?
Watu wanahusika nn kwenye swala la msingi hili?
Wajameni next time nitamwomba aje kazini tuongee kuhusu pasi ili tuongee much
Amtoe dinner sehemu nzuri kuwe na mazungumzo ya kawaida na utani wa kumfanya kumkumbuka mtu then kaa kimya kwa muda kadhaa mbona simpo sanaHahahahahhaha kwamba anakutizama tu kimahaba!
Ukute ni macho yake, na alikuwa anakusikiliza kwa makini.
Sasa sio issue, we umemwelewa,sio?
Anza kumwita mpenzi.
As in umekula mpenzi?
Umeshindaje mwaya.
Asipomind ,wa kwako huyo
Ookey.Wajameni next time nitamwomba aje kazini tuongee kuhusu pasi ili tuongee much
Sio macho yake hadi watu wakakonyezana yaani amekaa hapo ananiangalia hadi akiitwa na mtu hasikii anatabasamu tu kwangu as if tuko wenyewe katoka kabisa eneo lakazi .Hahahahahhaha kwamba anakutizama tu kimahaba!
Ukute ni macho yake, na alikuwa anakusikiliza kwa makini.
Sasa sio issue, we umemwelewa,sio?
Anza kumwita mpenzi.
As in umekula mpenzi?
Umeshindaje mwaya.
Asipomind ,wa kwako huyo
Dinner hapanaAmtoe dinner sehemu nzuri kuwe na mazungumzo ya kawaida na utani wa kumfanya kumkumbuka mtu then kaa kimya kwa muda kadhaa mbona simpo sana
Endelea na hiyo hiyo code ya aibu.Sio macho yake hadi watu wakakonyezana yaani amekaa hapo ananiangalia hadi akiitwa na mtu hasikii anatabasamu tu kwangu as if tuko wenyewe katoka kabisa eneo lakazi .
Niliona aibu kapigwa na butwaa hivyoo.
Kwani hapa umeandika nini hata sijaelewa.Kuna siku nilimcall nikamwomba masaada alinisaidia ila shida sianawake naogopa someone akiwa na mtu hajaoa ila yupo na mtu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwani hapa umeandika nini hata sijaelewa.
Hakuna mtu ambae hana mpenzi we nae...we jichomeke Chomeke tu huko mshindi atatangazwa kanisani au msikitin.
Unaniudhi wewe
Atajijua mwenyewe huko mbinu za kivita zote anazo kama hajiamini hata kijiko atashindwa kukiamuruDinner hapana
Atengeneze mazingira ya kutolewa dinner.
Make a man seduce you.
Hii naive and meekly thing hii a total turn on.Atajijua mwenyewe mbinu za kivita zote anazo.kama hajiamini hata kijiko atashindwa kukiamuru
📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌naked truthKimahaba na kikahaba kuna tofauti kubwa
Wasichana wengi wanaweza pozi za kikahaba tu...
Kimahaba ni for few mature women
Sio kila msichana anaweza
Si ndo hapo sasa..anazidi kabisa kunikasirisha huyuEti?
Watu wanahusika nn kwenye swala la msingi hili?
Umri wako tafwazali..unazidi kuniudhi🤪🤪Halafu kunasiku tena maza alimwambia ngoja nikulete document zangu akakataa akasema naomba yule mtoto wako aletee kwenda mjini kila siku utachoka akitaka kitu anadai mie ndio nimletee hata kama hakimuhusu maza
Yani umwombe aje kazini muongee much!!girl!how old are you mamaaWajameni next time nitamwomba aje kazini tuongee kuhusu pasi ili tuongee much