That Gentleman
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,215
- 3,678
Huyo mkaka ni mimi.
Ushindwe mwenyewe tu...
Ushindwe mwenyewe tu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuelewa.Yes hapo ndio mimi nataka aseme mwenyewe siwezi fosi atanidharau ataniona waajabu
Aiseh hii kweli aiseh 🤪🤪🤪🤪kuna siku nilikamatika kirahisi mpuuzi mimi..nonsenseWanaume wachache sana wanaweza kuspot love kwa wanawake wababe.
Sasa sio vitu vya kujaribisha if you aren't one.
Kwa wewe umemuelewa unaogopa kuongea wewe.Jamii humu niwatu wanakushauri vizuri ila sio wote.
Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.
Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.
Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei ?
Yeye huniangalia tu kimahaba,??
Hadi nakosa nguvu??
Amani??
Nifanyaje anitoke??
Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Unamkata maini dada wa watu na shokaHe wasn't meant for yu.
Yashapita hayo achana nayo.
Hebu mwambieni jamani anamuangusha mama yake lohKwa wewe umemuelewa unaogopa kuongea wewe.
Kingine hiyo conection mama yako kashaiona anakufaa usidhani ni vyeti tuu hapo.ebu jiongeze bhana anza hata na na vimeseji vya uongo na kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
MchaneWe kaa na 6 yako wenzio wana shape no. 17 na wanajiamini hatari
😁😁😁JehovahHuyo mkaka ni mimi.
Ushindwe mwenyewe tu...
Sasa hasemi kitu chochote na siwezi muanza mimi naogopa
Mama kamwelewa jamaa anamfaa mwanae na mwanae nae anashindwa kutumia fursa.Hebu mwambieni jamani anamuangusha mama yake loh
Asante kwa ushauri ni mzuri sanaEndelea kuogopa.Eti ananiangalia kimahaba! Kumchana live unashindwaje? Kama huwez mwombe mtoke out kakae nae zero distance mpige mate then tayari chalii ni wako.Kuna haja ya kuwafunza wanetu maana halisi ya utandawaz aisee.Na kama unaogopa utaitwa Malaya hata akikutongoza ukikubali bado jina hilo litakuhusu gal
huu ujasiri nimepungukiwa aiseh 😀😀😀amkule nini eti...dadekEndelea kuogopa.Eti ananiangalia kimahaba! Kumchana live unashindwaje? Kama huwez mwombe mtoke out kakae nae zero distance mpige mate then tayari chalii ni wako.Kuna haja ya kuwafunza wanetu maana halisi ya utandawaz aisee.Na kama unaogopa utaitwa Malaya hata akikutongoza ukikubali bado jina hilo litakuhusu gal
Nimeshakugundua wewe mbinu za kivita zote unazo ila ulikuwa unatafuta mpya..safiAsante kwa ushauri ni mzuri sana
@chakorii you made my day,ajichomeke chomeke mshindi atatangazwa kanisaniKwani hapa umeandika nini hata sijaelewa.
Hakuna mtu ambae hana mpenzi we nae...we jichomeke Chomeke tu huko mshindi atatangazwa kanisani au msikitin.
Unaniudhi wewe
Umeonaee 😁😁ila dada tayari anambinu za kivita ila anatuzuga tu..fuatilia mwandiko wake utaniambiaMama kamwelewa jamaa anamfaa mwanae na mwanae nae anashindwa kutumia fursa.
Au nyuma ya pazia labda mama kashaongea na jamaa kuwa atampa mwanae maana wazazi wengine siku hizi wamekuwa koadi kwa watoto wao kama wakiona mambo hayaendi[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Akuangalia kimahaba unakosa nguvu.Jamii humu niwatu wanakushauri vizuri ila sio wote.
Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.
Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.
Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei ?
Yeye huniangalia tu kimahaba,??
Hadi nakosa nguvu??
Amani??
Nifanyaje anitoke??
Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Anavunga anakaza kumbe moyoni anaumiaNa wewe muangalie kimahaba.case closed.
Ila umeniuzi wewe Yani na wewe kumwangalia kimahaba umeshindwa kweli[emoji30]
Amen..akutunze na wewe tuendelee kupeana mbinu mpya@chakorii you made my day,ajichomeke chomeke mshindi atatangazwa kanisani
A word,Mungu akutunze mkuu