Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Tunabwinu mbwinu🤸♀️🤸🧚♀️🧚♀️Tunapeana mbwinu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunabwinu mbwinu🤸♀️🤸🧚♀️🧚♀️Tunapeana mbwinu
Dj naomba walete wazee wa kula kimasihara.
Naomba mziki uwe wa kasi kidogo ili tuokoe muda.
Pole jamaniSasa hasemi kitu chochote na siwezi muanza mimi naogopa
Hahahaa,no way out mkuu***** huu ujasiri nimepungukiwa aiseh 😀😀😀amkule nini eti...dadek
Maana hakuna namnaKibingwa sana hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona kama unajilengesha mwanangu?Jamii humu niwatu wanakushauri vizuri ila sio wote.
Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.
Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.
Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei ?
Yeye huniangalia tu kimahaba,??
Hadi nakosa nguvu??
Amani??
Nifanyaje anitoke??
Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Msamehe bure hajui alitendalo huyo🤔Hebu muambie huyu firauni kazoea kula kuku namayai yake kanikera sana hili likafiri
Eti ehMbona kama unajilengesha mwanangu?
EhMie😀?
[emoji23][emoji23][emoji23] Bravo!Inaelekea unataka akutongoze, kwanini usimualike mahali Kwa dinner ili kumshukuru kwa “msaada” wake kisha nawe ukaanza kumuangalia “kimahaba”?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zinaponza!Nyege mbaya sana
Nk dar
anajichocha au kujilengesha kirahisi rahisiEti eh