Kuna kelele nyingi za haki sawa kwenye kugawana majukumu ya Mwanamke, kwanini majukumu ya Mwanaume yapo vile vile hayapewi usawa ?

Kuna kelele nyingi za haki sawa kwenye kugawana majukumu ya Mwanamke, kwanini majukumu ya Mwanaume yapo vile vile hayapewi usawa ?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Kwa tuliobahatika kuoa wanawake wanaojua majukumu yao ya asili tunasema asante ila tunasikitika kwa wanaume wenzetu waliooa wanawake pro haki sawa, tunahofia pia watoto wetu kusombwa na hili gharika.

Wanawake wa kisasa wengi wameona majukumu yafuatayo wasaidiane na waume zao

  • Kufua nguo - Kuna wanaume wameoa lakini wanafua nguo,
  • Kupika - Kuna wanaume wanaingia jikoni kupika, wake zao wapo sebuleni
  • Kupasha maji ya kuoga - Umetoka au unaenda mihangaikoni, ujipashie maji
  • n.k.

Ni kwanini wanawake hawataki usawa kwenye majukumu ya wanaume ?

  • Ada za watoto
  • Mavazi ya watoto
  • Matibabu ya watoto
  • Matumizi ya mke (inabidi nao wakupe hela ya matumizi)
  • Hela ya chakula kila siku
  • Bili za umeme na maji
  • ulipie kingamuzi
  • matumizi ya wazazi wako
  • Matumizi ya wazazi wa mke
  • Kusomesha ndugu zako na wa mke
  • pocket money ndugu zako na mke
 
Kwa tuliobahatika kuoa wanawake wanaojua majukumu yao ya asili tunasema asante ila tunasikitika kwa wanaume wenzetu waliooa wanawake pro haki sawa, tunahofia pia watoto wetu kusombwa na hili gharika.

Wanawake wa kisasa wengi wameona majukumu yafuatayo wasaidiane na waume zao

  • Kufua nguo - Kuna wanaume wameoa lakini wanafua nguo,
  • Kupika - Kuna wanaume wanaingia jikoni kupika, wake zao wapo sebuleni
  • Kupasha maji ya kuoga - Umetoka au unaenda mihangaikoni, ujipashie maji
  • n.k.

Ni kwanini wanawake hawataki usawa kwenye majukumu ya wanaume ?

  • Ada za watoto
  • Mavazi ya watoto
  • Matibabu ya watoto
  • Matumizi ya mke
  • Hela ya chakula kila siku
  • Bili za umeme na maji
  • ulipie kingamuzi
  • Usimamie mafundi ujenzi
  • utume hela kwa wazazi na kina bibi
  • Usomeshe ndugu zako na wa mke
  • pocket money ndugu zako na mke
  • Michango ya harusi
  • rambi rambi za misiba
  • Rushwa
Wanawake wanaposema Haki sawa hawamaanishi kwamba Majukumu ya Wanandoa yagawanywe kwa usawa kwa mume na mke, la hasha, Bali wanamaanisha kwamba majukumu ya mwanamke katika kuzalisha 'chumo la ndoa' yabebwe na Mwanaume. Aidha, pia wanamaanisha kwamba Mali iliyochumwa kwa nguvu ya Mwanaume peke yake nayo igawiwe kwa Mwanamke. Kwa kifupi ni kwamba, Haki sawa maana yake ni kwamba Mwanamume anapaswa 'kunyonywa kwa kila namna' na Mwanamke.
 
Wanawake wanaposema Haki sawa hawamaanishi kwamba Majukumu ya Wanandoa yagawanywe kwa usawa kwa mume na mke, la hasha, Bali wanamaanisha kwamba majukumu ya mwanamke katika kuzalisha 'chumo la ndoa' yabebwe na Mwanaume. Aidha, pia wanamaanisha kwamba Mali iliyochumwa kwa nguvu ya Mwanaume peke yake nayo igawiwe kwa Mwanamke. Kwa kifupi ni kwamba, Haki sawa maana yake ni kwamba Mwanamume anapaswa 'kunyonywa kwa kila namna' na Mwanamke.
Na vile walivyo wabinafsi hawajali hata wazazi wa mwanaume
 

Kumbe kufua, kupika... ni majukumu ya mwanamke!!!!!
 
Usioe hao wanawake wa haki sawa mkuu, wapo wanawake tele wanaotambua mume ndio mke na mume ndio kiongozi, sasa ushasikia wapi kiongozi akala sawa na anaowaongoza? wewe mwenyewe ni shahidi hata huyo Raisi anayesema atawatumikia wananchi, huwa unaona pilikapilika za hao wananchi wao ndo wanageuka kumtumikia😂😂😂😂
 
Mwanamke hajaolewa kwenda kwa mume, kupika, kufua, kupiga pasi, kupasına moto maji. N.k.
Hiyo ni dhana potofu kwa wanaume, kumgeuza mwanamke ni mtumwa wako.
Mambo yote Hayo mwanamke mwenyewe kwa khiari afanye sio kulazimishana na afanye kwa mapenzi yake.
Kama mwanamume anataka afuliwe na mengine mengi aajiri mfanyakazi za ndani aje kufanya. Hızo kazi azitakazo.
Mwanamke anatakiwa akae hapo amstahereahe mumewe, alee watoto vizuri, a chunge mali ya mume. Awe ni mfano mzuri kwa watoto, amuongoze. Mume anapokosea. N.k.
Mambo ya kuwa nishacoka kufua, Ngoja nioe. Ndio Vipi hivyo.
KWa hivyo wewe umeoa kWa ajili ya kufanyiwa kazi na mwanamke.?
Akaaa.
Tena basi msikilze vuzuri, PESA YA MWANAMKE ANAYOICHUMA USIIULIZE.
sijui una panga yeye alipe hiki na kile. Laa hasha. Muache mwenyewe na hela yake, aitumie anacyotaka , akitaka akupe na Kama hataki usimpangie wqla kumlazimisha.
Ila kuna Haki ya mume kumkataza mkewe kufanya kazi,
Lakini ikiwa Kama mlikubaliana kabla ya kumuoa aendelee na kazi huwezi kumzuia. Hata kama hataki kuchangia.
Muache mwenyewe astarehe na hela yake hivyo ndio ilivyo.
Msiwabebeshe wanawake majukumu amabyo sio yao kwa kufuata ndio utamaduni. Au ndio ulivyoona kwenu.
Ukweli mchungu umeitwa mwanamme na umepewa majukumu yako, basi simamie usitake kuegemea sehemu nyengine
 
Mkuu....
Kupika na kufua sio makujuku ya mwanamke.
Mwanaume yeyote anatamani kupata mwanamke anae mtii, na mwanamke anatamani kupata mwanaume anae mpenda.
Kama ukimpenda mkeo na yeye akawa mtii kwako, hayo yoote hautokaa uyaone kama yana maana.
 
Wanawake wanaposema Haki sawa hawamaanishi kwamba Majukumu ya Wanandoa yagawanywe kwa usawa kwa mume na mke, la hasha, Bali wanamaanisha kwamba majukumu ya mwanamke katika kuzalisha 'chumo la ndoa' yabebwe na Mwanaume. Aidha, pia wanamaanisha kwamba Mali iliyochumwa kwa nguvu ya Mwanaume peke yake nayo igawiwe kwa Mwanamke. Kwa kifupi ni kwamba, Haki sawa maana yake ni kwamba Mwanamume anapaswa 'kunyonywa kwa kila namna' na Mwanamke.
Umeanza vizuri nikakuamini... Wanawake wanaposema haki sawa hawazungumzii ndoa tu, hio ni mojawapo ya sehemu inayodhulumisha wanawake, bali wanataka nafasi ya kumiliki mali katika majina yao, kujiunga na kushiriki. kikamilifu katika shughuli zote za kijamii, malipo sawa kwa kazi sawa n.k. Hapo nyumbani ni issue ya kukubaliana na mke wako tu, kama mnajielewa hamtojali nani anafua, anapasha maji au kudeki kwa sababu hizo ni kazi zinazoelekea kupitwa na wakati (vifaa vya numbani vitakuwa vinaandaa chakula, vinafua na vinadeki vyenyewe)
 
Sio sawa mwaume afanye majukumu yote ya hela Bado afanye kazi za nyumbani labda kwa mapenzi yake ila skuiz wanaume wengi wanataka msaidiane majukumu ya hela sawa Kwa sawa umeme maji Kodi na Bado uende kazin urudi ufanye kazi zote za nyumbani ye akae kushika remote tu Sasa mi nifanye kazi za nyumbani na bado nitoe hela sawa na mwanaume heshima apo lazima ishuke kwasababu kazi Yako kama mwanaume haionekani ndo mana wanawake wengi saiv wanaona Bora wawe single mother au anaanza kukuchkulia poa
 
Kwa tuliobahatika kuoa wanawake wanaojua majukumu yao ya asili tunasema asante ila tunasikitika kwa wanaume wenzetu waliooa wanawake pro haki sawa, tunahofia pia watoto wetu kusombwa na hili gharika.

Wanawake wa kisasa wengi wameona majukumu yafuatayo wasaidiane na waume zao

  • Kufua nguo - Kuna wanaume wameoa lakini wanafua nguo,
  • Kupika - Kuna wanaume wanaingia jikoni kupika, wake zao wapo sebuleni
  • Kupasha maji ya kuoga - Umetoka au unaenda mihangaikoni, ujipashie maji
  • n.k.

Ni kwanini wanawake hawataki usawa kwenye majukumu ya wanaume ?

  • Ada za watoto
  • Mavazi ya watoto
  • Matibabu ya watoto
  • Matumizi ya mke (inabidi nao wakupe hela ya matumizi)
  • Hela ya chakula kila siku
  • Bili za umeme na maji
  • ulipie kingamuzi
  • matumizi ya wazazi wako
  • Matumizi ya wazazi wa mke
  • Kusomesha ndugu zako na wa mke
  • pocket money ndugu zako na mke
Wee jamaa wee..una akili sana
 
Uki
Wanawake wanaposema Haki sawa hawamaanishi kwamba Majukumu ya Wanandoa yagawanywe kwa usawa kwa mume na mke, la hasha, Bali wanamaanisha kwamba majukumu ya mwanamke katika kuzalisha 'chumo la ndoa' yabebwe na Mwanaume. Aidha, pia wanamaanisha kwamba Mali iliyochumwa kwa nguvu ya Mwanaume peke yake nayo igawiwe kwa Mwanamke. Kwa kifupi ni kwamba, Haki sawa maana yake ni kwamba Mwanamume anapaswa 'kunyonywa kwa kila namna' na Mwanamke.
Ukisema hivi unamaanisha haki sawa ni mpango wa wanawake kufilisi wanaume kwa kigezo cha ndoa?au mwanamke kuolewa kwa lengo la kupoka kisicho chake kama tu atakua na mtazamo wa haki sawa
 
Mwanamke hajaolewa kwenda kwa mume, kupika, kufua, kupiga pasi, kupasına moto maji. N.k.
Hiyo ni dhana potofu kwa wanaume, kumgeuza mwanamke ni mtumwa wako.
Mambo yote Hayo mwanamke mwenyewe kwa khiari afanye sio kulazimishana na afanye kwa mapenzi yake.
Kama mwanamume anataka afuliwe na mengine mengi aajiri mfanyakazi za ndani aje kufanya. Hızo kazi azitakazo.
Mwanamke anatakiwa akae hapo amstahereahe mumewe, alee watoto vizuri, a chunge mali ya mume. Awe ni mfano mzuri kwa watoto, amuongoze. Mume anapokosea. N.k.
Mambo ya kuwa nishacoka kufua, Ngoja nioe. Ndio Vipi hivyo.
KWa hivyo wewe umeoa kWa ajili ya kufanyiwa kazi na mwanamke.?
Akaaa.
Tena basi msikilze vuzuri, PESA YA MWANAMKE ANAYOICHUMA USIIULIZE.
sijui una panga yeye alipe hiki na kile. Laa hasha. Muache mwenyewe na hela yake, aitumie anacyotaka , akitaka akupe na Kama hataki usimpangie wqla kumlazimisha.
Ila kuna Haki ya mume kumkataza mkewe kufanya kazi,
Lakini ikiwa Kama mlikubaliana kabla ya kumuoa aendelee na kazi huwezi kumzuia. Hata kama hataki kuchangia.
Muache mwenyewe astarehe na hela yake hivyo ndio ilivyo.
Msiwabebeshe wanawake majukumu amabyo sio yao kwa kufuata ndio utamaduni. Au ndio ulivyoona kwenu.
Ukweli mchungu umeitwa mwanamme na umepewa majukumu yako, basi simamie usitake kuegemea sehemu nyengine
Hawa ndio wanawake wa mwendo kasi,kama umeolewa mumeo ana kazi sana kama si bwege.
 
Sijui me naona tunakwenda vzr na mke kuhusu kupika mimi mwenyewe ndo ninayependa kupika hasa mboga yeye anamalizia ugali kwa kupika sina shido
 
Mwanamke hajaolewa kwenda kwa mume, kupika, kufua, kupiga pasi, kupasına moto maji. N.k.
Hiyo ni dhana potofu kwa wanaume, kumgeuza mwanamke ni mtumwa wako.
Mambo yote Hayo mwanamke mwenyewe kwa khiari afanye sio kulazimishana na afanye kwa mapenzi yake.
Kama mwanamume anataka afuliwe na mengine mengi aajiri mfanyakazi za ndani aje kufanya. Hızo kazi azitakazo.
Mwanamke anatakiwa akae hapo amstahereahe mumewe, alee watoto vizuri, a chunge mali ya mume. Awe ni mfano mzuri kwa watoto, amuongoze. Mume anapokosea. N.k.
Mambo ya kuwa nishacoka kufua, Ngoja nioe. Ndio Vipi hivyo.
KWa hivyo wewe umeoa kWa ajili ya kufanyiwa kazi na mwanamke.?
Akaaa.
Tena basi msikilze vuzuri, PESA YA MWANAMKE ANAYOICHUMA USIIULIZE.
sijui una panga yeye alipe hiki na kile. Laa hasha. Muache mwenyewe na hela yake, aitumie anacyotaka , akitaka akupe na Kama hataki usimpangie wqla kumlazimisha.
Ila kuna Haki ya mume kumkataza mkewe kufanya kazi,
Lakini ikiwa Kama mlikubaliana kabla ya kumuoa aendelee na kazi huwezi kumzuia. Hata kama hataki kuchangia.
Muache mwenyewe astarehe na hela yake hivyo ndio ilivyo.
Msiwabebeshe wanawake majukumu amabyo sio yao kwa kufuata ndio utamaduni. Au ndio ulivyoona kwenu.
Ukweli mchungu umeitwa mwanamme na umepewa majukumu yako, basi simamie usitake kuegemea sehemu nyengine

Sawa! Nimekuelewa licha ya kwamba elimu ya ndoa nahisi imekupita kando so hujaelewa ulichoandika!! Ok, basi nisaidie kuelewa hili!!

Mke wewe muda mwingi unautumia kazini (asubuhi mpaka jioni) wakati mwingine unasafiri wiki kadhaa hata miezi! Kifupi unatumia muda mwingi kazini na si familia!

Mchango wako kwa familia yako kama mke na mama wa watoto ni nini kama unachokipata huko kazini kwako nichako??

Tunajua mama zetu walisimama katika majukumu yote ya nyumbani ikiwamo malezi ya familia, hivyo haikuhitajika msaidizi!!

Wewe majukumu ya nyumbani hutekelezi na na kazi ufanyazo kipato chako hatukioni!! Position yako ni ipi katika familia as tumekuwa mwili mmoja!
 
Kwa tuliobahatika kuoa wanawake wanaojua majukumu yao ya asili tunasema asante ila tunasikitika kwa wanaume wenzetu waliooa wanawake pro haki sawa, tunahofia pia watoto wetu kusombwa na hili gharika.

Wanawake wa kisasa wengi wameona majukumu yafuatayo wasaidiane na waume zao

  • Kufua nguo - Kuna wanaume wameoa lakini wanafua nguo,
  • Kupika - Kuna wanaume wanaingia jikoni kupika, wake zao wapo sebuleni
  • Kupasha maji ya kuoga - Umetoka au unaenda mihangaikoni, ujipashie maji
  • n.k.

Ni kwanini wanawake hawataki usawa kwenye majukumu ya wanaume ?

  • Ada za watoto
  • Mavazi ya watoto
  • Matibabu ya watoto
  • Matumizi ya mke (inabidi nao wakupe hela ya matumizi)
  • Hela ya chakula kila siku
  • Bili za umeme na maji
  • ulipie kingamuzi
  • matumizi ya wazazi wako
  • Matumizi ya wazazi wa mke
  • Kusomesha ndugu zako na wa mke
  • pocket money ndugu zako na mke

Ninachokiona mimi ni kwamba akili ya mtoto wa kike imeamshwa hivyo na saikolojia yake imebadilika kutoka kuwa "sawa mume wangu" sasa amekuwa mtafutaji na mwenye maamuzi! Wakati saikolojia ya mwanaume imebaki vile vile "kusikilizwa na mke/ mwanamke".

Tunachopa sasa, kuwabadilisha watoto wetu wa kiume kuhandle wanawake watafutaji na wenye maamuzi! Tukiendelea kukuza wavulana wa kutaka kusikilizwa na mke ndiyo haya mayowe ya kuwa wanawake hawataki majukumu yanakoanzia! Licha ya kwamba favor imekuwa kubwa zaidi kwa wanawake kiasi kwamba wanaharibika badala ya kuelimika na kuwa na ufahamu.

Handling ya mke imebadilika sana, na hiki kizazi cha wake zetu cha miaka ya 70, 80 na 90 kiki phase out itaonekana mambo yatabadilika completely!
 
Back
Top Bottom