Zanzibar ni kisiwa kwa minajili hiyo Zanzibar hakuna mzawa usidanganyike. Wale wanaojihita waunguja ni wanzanzibara wazaramo, Wamakonde, Wanyamwezi, wangoni nk.
Na wale Wapemba ni masalia ya kiarabu kutoka kwa surutani. Leo natoa hofa pale Zanzibar kama unaweza kukuta kabuli la babu yake babu, au baba babu yake kabuli lake pale Zanzibar hakuna.
Wote historia yao hama isome bara kwa baba na mama au isome bara mama na baba ajulikani kama alivyo maalim seif sharif Hamad mwambieni awaonyeshe kabuli la baba yake pale Zanzibar au ndugu zake baba yake makabuli yao thubutu.
Kila siku unasikia hapa bara mbowe kafiwa na kaka yake, magu kafiwa na dada yake, kikwete nk, lini umesikia maalim seif kafiwa na ndugu yake pale Zanzibar jibu hana ndugu Zanzibar.