Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo sio serikali ya tzKesi ya kupinga Kuondolewa Madarakani kwa aliyekua Naibu Rais Gachagua inaelekea pazuri na punde mahakama inamrejesha kwenye mamlaka yake ya awali. Asante Katiba.
Nakumbuka kesi yake ilipokuwa kwenye Seneti inasikilizwa, ilikuja hoja humu kuwa "Gachagua kushinda kesi" (sijui ulikuwa ni wewe?)Kesi ya kupinga Kuondolewa Madarakani kwa aliyekua Naibu Rais Gachagua inaelekea pazuri na punde mahakama inamrejesha kwenye mamlaka yake ya awali. Asante Katiba.
Ubaya ubwelakama akishinda afungue kesi ya kuwa hana imani na bunge na halitendi haki hivyo aiombe mahakama ilifute tu na raisi aondolewe ngoma ianze upya
Hilo nenoNgoja wajuvi wa sheria waje lakini nijuavyo ikiwa mahakama itaridhia aendelee kuwa DP ni Kwa ki-challange mchakato kwamba haukufuata utaratibu wa kikatiba hasa kwa kutosikiliza utetezi wake seneti..Na kama itakua hivyo basi mchakato utarejewa na Gachagua ataondolewa Tu...Hakuna namna anaweza kuendelea