Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

Mtu akiwa Bora sana kuna Kasumba ya watu kuogopa na kutafuta sababu ambazo si za kweli,familia ya kina mbowe wao ndio wameamua kuwa yeye ndio awe kiongozi wa familia na biashara zao zote kuhusu Chadema ni wanachama wenyewe ndio wanataka Mbowe aendelee kuwa chairman kwa kuwa wanajua na kutambua uwezo wake kuhusu ukabila ndani ya CDM hizo ni propaganda za upande wa pili ili ku destabilize CDM na morale ya wanachama wa CDM lakini kiukweli jamaa ni Mwamba na nusu.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Unajuwa Chacha Wangwe alikwenda wapi? Ni sababu gani Zitto Kabwe na wenzie zilizowatoa CHADEMA?

Je Fredrick Sumaye alipoambiwa asipime ukali wa sumu kwa kuonja na ulimi ilikuwa na maana gani?
 
Nakataa Mbowe kuwa Rais 2025 ila kina wasukuma wajinga humu wanatoa kauli za kijinga kubagua wachaga.
Sasa msikie wachaga pekee nchi hii ndio kabila lenye akili na wanaochangamsha makabila majinga mengine. Tuko kila mahali kila idara
Kilimanjaro ni nchi ya ahadi Tanzania nzima. NDEGELESIII
 
Nakataa Mbowe kuwa Rais 2025 ila kina wasukuma wajinga humu wanatoa kauli za kijinga kubagua wachaga.
Sasa msikie wachaga pekee nchi hii ndio kabila lenye akili na wanaochangamsha makabila majinga mengine. Tuko kila mahali kila idara
Kilimanjaro ni nchi ya ahadi Tanzania nzima. NDEGELESIII
Fisi kama FISI
 
Ukipita huku mtaani watu wanashauku sana na uchaguzi wa 2025, ni uchaguzi wa kimkakati, Kati ya chadema na Ccm.
Kama hakutakuwa na uwizi wa kura na magumashi basi mpambano utakuwa mkali kuliko ule wa magufuli na lowasa.
Ni mpambano uliojificha ndani ya migogoro ya muungano, watu moyoni wanalao Jambo, matatizo ya muungano ndo yatakayoamua nani awe Rais wa Tanganyika(TZ), ikiruhusiwa mikutano ya siasa basi Zanzibar uru inaweza kupatikana 2025.
Navyoona utakuwa ni mpambano Kati ya Samia na Mbowe.
Tunaomba Mikutano iruhusiwe na kesi zifutwe Ili tuanze kupambana mapema kuelekea 2025.

Lazma watanzania wa Bata na Zanzibar msiruhusu Dola kuiba uchaguzi Ili tumpate Rais halali na anayependwa na wengi
Labda akawe Rais wa mkewe na familia yake.
 
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nicheke mie. Huyo mlevi wa konyagi ndio awe rais? Kweli ndoto ni nzuri sana.
 
Mama bado auziki nchini,ccm hawana mtu mpya anaeuzika kwa sasa.
 
Back
Top Bottom