Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

Anzeni kuishi maisha ya ukweli na sio ya ndoto, hamtopata tabu. CCM mpaka kiama kitasimama. Watu mmeitwa kwenye maandamano tu hamkwenda mtaweza kuitoa CCM madarakani?
 
Tanganyika mbona siioni kwenye Atlas? Iko wapi? Hata kwenye Google Maps haionekani.
 
Nimeongea ki ukweli sana. WAchaga si watu wa kuwapa nchi. Wanaweza sana kushika nyadhida za juu za serikali wakiwa chini ya mamlaka dhibiti, lakii si kuwaacha wao ndio wawe vingozi wa nchi. TUMEKWISHA.
Na tukitaka nchi hii iendelee wachaga washike hii nchi unawahofia kwa kuwa ni kabila Bora na hawana muda wa kùpoteza wao kazi kazi tu na biashara na pia sio wabaguzi ila kwa mchaga utajibagua mwenyewe kwa sababu yeye hana muda wa kuzembea ni kazi kazi tu ndio maana wachaga watabaki kuwa Bora siku zote.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Kwani hangaya atatumia kipengele cha kupita bila kupingwa ndani ya fisiemu? kama hangaya kawa mbabe mithili ya jiwe hadi kukandamiza demokrasia ndani ya chama ni dhahiri katiba mpya inahitajika kupunguza ubabe wa madaraka ya rais ili kujenga demokrasia pana ndani ya vyama vya siasa na ndani ya taifa kiujumla.
 
Tanzania patakuwa mahali pabaya pa kuishi kama Mbowe atakuwa Rais. Nenda kaangalie historia yake kwenye familia ya Mzee Aikaeli Mbowe, utagundua kuwa amehodhi urithi wote peke yake na familia yake.

Nenda kamuangalie anavyoendesha CHADEMA, utagundua ni kama duka lake binafsi. Yeye ndiye anachagua wachagga wenzie kuwapa viti maalum including mahawara zake. Yeye hakubali uchaguzi wa kugombea kiti cha Mwenyekiti kuanzia alipochukua kwa Bob Makani mwaka 2003.

Freeman Mbowe ndiye anaiuzia magari mabovu CHADEMA na hakuna wa kumhoji. Kifupi Mbowe atakuwa DIKTETA mbaya kuliko Magufuli
Mtu akiwa Bora sana kuna Kasumba ya watu kuogopa na kutafuta sababu ambazo si za kweli,familia ya kina mbowe wao ndio wameamua kuwa yeye ndio awe kiongozi wa familia na biashara zao zote kuhusu Chadema ni wanachama wenyewe ndio wanataka Mbowe aendelee kuwa chairman kwa kuwa wanajua na kutambua uwezo wake kuhusu ukabila ndani ya CDM hizo ni propaganda za upande wa pili ili ku destabilize CDM na morale ya wanachama wa CDM lakini kiukweli jamaa ni Mwamba na nusu.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Na tukitaka nchi hii iendelee wachaga washike hii nchi unawahofia kwa kuwa ni kabila Bora na hawana muda wa kùpoteza wao kazi kazi tu na biashara na pia sio wabaguzi ila kwa mchaga utajibagua mwenyewe kwa sababu yeye hana muda wa kuzembea ni kazi kazi tu ndio maana wachaga watabaki kuwa Bora siku zote.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Nendeni mkajulishane this DECEMBER kuwa Watz hawatokuja kuwa na RAIS MCHAGA.
 
Ubora gani? Wakuiba Mali za watu? Hamna ubora wowote!
Na tukitaka nchi hii iendelee wachaga washike hii nchi unawahofia kwa kuwa ni kabila Bora na hawana muda wa kùpoteza wao kazi kazi tu na biashara na pia sio wabaguzi ila kwa mchaga utajibagua mwenyewe kwa sababu yeye hana muda wa kuzembea ni kazi kazi tu ndio maana wachaga watabaki kuwa Bora siku zote.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Ndoto yako ikitimia Mbowe ndio atakuwa Rais alieingia madarakani kwa mara ya kwanza akiwa Kikongwe zaid


Julius aliingia akiwa na 40
Ally aliingia akiwa na 60
Benja akiwa na 58

Jakaya akiwa na 55
John akiwa na 56
Samia akiwa na 61
Hivi Biden kule Marekani ameingia na miaka mingapi?
 
Sema hii nchi ina watu wa Ovyo, wachaga waliongoza Lin nchi mpaka wakaoneka wabaguzi, lini Mchaga alikuwa Rais, au kisa wana akili ya Kujiongeza na kutafuta ela. Yaan Africa mtu ukiwa na Maendeleo wanakuchukia[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mlitaka wawe maskin kama nyinyi ndo mfurahi
 
Na tukitaka nchi hii iendelee wachaga washike hii nchi unawahofia kwa kuwa ni kabila Bora na hawana muda wa kùpoteza wao kazi kazi tu na biashara na pia sio wabaguzi ila kwa mchaga utajibagua mwenyewe kwa sababu yeye hana muda wa kuzembea ni kazi kazi tu ndio maana wachaga watabaki kuwa Bora siku zote.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Wizi, ubaguzi, ubinafsi na ukabila. Kazi za uovu ndani ya uovu hatutaki. Wana ubora gani katika lipi? Unajidanganya. Kama wako bora kwa nini unalazimisha washike nchi ili wamsaidie nani kwa lipi? Hapo sahau!.
 
Sema hii nchi ina watu wa Ovyo, wachaga waliongoza Lin nchi mpaka wakaoneka wabaguzi, lini Mchaga alikuwa Rais, au kisa wana akili ya Kujiongeza na kutafuta ela. Yaan Africa mtu ukiwa na Maendeleo wanakuchukia[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mlitaka wawe maskin kama nyinyi ndo mfurahi
Watu gani hawatafuti hela? Yaani huu ndo ujinga unaowatafuna siku zote wakujiona mnajua kutafuta hela kumbe ni mambo ya kawaida!
 
Wizi, ubaguzi, ubinafsi na ukabila. Kazi za uovu ndani ya uovu hatutaki. Wana ubora gani katika lipi? Unajidanganya. Kama wako bora kwa nini unalazimisha washike nchi ili wamsaidie nani kwa lipi? Hapo sahau!.
Hawa wachaga wa jamii forum hawa bado wanaishi miaka ya 90yaani wanakuja na ngonjera za kusema eti tuna maendeleo mimi huwa nawauliza mnamaendeleo kulinganisha na nani? Wanajibu kuzidi watanzania wa makabila mengine! Je huko moshi kuna nini cha ajabu? Kuna nyumba migombani na maji ya kutosha! Nikawaambia mnafikiri watanzania wengine wa makabila mengine hawana? Wanajibu walichelewa kupata elimu! Yaani kwa kifupi ni kujimwambafy tu bila sasabu yeyote! Mfano ukifika hata njombe au kahama vijana wa huko wanapesa za kutisha lakini hutasikia wanapiga kelele kama hawa wenye makalio ya kihindi!
 
Sema hii nchi ina watu wa Ovyo, wachaga waliongoza Lin nchi mpaka wakaoneka wabaguzi, lini Mchaga alikuwa Rais, au kisa wana akili ya Kujiongeza na kutafuta ela. Yaan Africa mtu ukiwa na Maendeleo wanakuchukia[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mlitaka wawe maskin kama nyinyi ndo mfurahi
Wabaguzi mzee.
 
Wabaguzi mzee.
Uzuri wa wachaga miaka yao ya kuvuna na kuchezea fursa watakavyo ishaisha! Watanzania walishaelimika hawana tena jipya! Nikwambie hawa vijana wa kizazi hiki wasipojituma hawatakuwa tofauti na watani zangu wagogo! Tupo nao mtaani tunawaona! Wanapigika kweli kweli janja janja ya kupitisha mizigo bandarini kisa kuna mtoto wa mjomba imepungua sana ndo maana wengi wao walimuona Magufuli ni adui yao! Kaja Mama Samia mambo tight saizi! Vijana wa kichaga saizi wa kuwabeba kirahisi hayupo ni kupambania fursa kila kona hakuna mbereko!
 
Sema hii nchi ina watu wa Ovyo, wachaga waliongoza Lin nchi mpaka wakaoneka wabaguzi, lini Mchaga alikuwa Rais, au kisa wana akili ya Kujiongeza na kutafuta ela. Yaan Africa mtu ukiwa na Maendeleo wanakuchukia[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mlitaka wawe maskin kama nyinyi ndo mfurahi
kuwapa urais ,na ni sawa na kujitoa muhanga.maana hapo unatembea huku umeshika roho mkononi.
 
Back
Top Bottom