Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

Umemaliza
Tanzania patakuwa mahali pabaya pa kuishi kama Mbowe atakuwa Rais. Nenda kaangalie historia yake kwenye familia ya Mzee Aikaeli Mbowe, utagundua kuwa amehodhi urithi wote peke yake na familia yake.

Nenda kamuangalie anavyoendesha CHADEMA, utagundua ni kama duka lake binafsi. Yeye ndiye anachagua wachagga wenzie kuwapa viti maalum including mahawara zake. Yeye hakubali uchaguzi wa kugombea kiti cha Mwenyekiti kuanzia alipochukua kwa Bob Makani mwaka 2003.

Freeman Mbowe ndiye anaiuzia magari mabovu CHADEMA na hakuna wa kumhoji. Kifupi Mbowe atakuwa DIKTETA mbaya kuliko Magufuli
 
Unahamisha magoli baada ya kupokea knuckles!!

Goli lipi limehama? Unaweza kujilinganisha na Mh. Mbowe wewe?

Hiiiiii bagosha!

Kawapambanie nduguzo wamekaliana makooni huko:

IMG_20211213_115246_235.jpg
 
Mbowe nani amulchague ?
Wewe haujawahi kujadili hoja, as long as CCM inahusishwa sehemu ni lazima utaenda na mipasho tu.

Mpaka kufikia 2015 CCM ilikuwa imeshajifia kiasi kwamba watu waliojaribu hâta kuvaa nguo za ukada walizomewa, ponapona ya CCM ilikuwa ni kumsimamisha Magufuli kwakuwa watu walikuwa na matarajio makubwa kwake kutokana na record zake nyuma japo nae aliharibu kwa kiasi chake.

Sio swala gumu kuona kwamba kuna baadhi ya watu (raia) waliokuwa ni mitaji ya CCM wakati uke ila kwasasa wameitegea mgongo, hii CCM kiuhalisia haina nguvu tena uraiani kwakua wananchi wengi walimpenda mtu na sio chama. Huyu aliyepo kwenye kiti hana nguvu yoyote ya ushawishi.

Kama CDM watamsimisha Mbowe kama mgombea 2025 uchaguzi utakuwa ngumu, Labda wafanye makosa tena wamsimamishe LISSU.
 
Ukipita huku mtaani watu wanashauku sana na uchaguzi wa 2025, ni uchaguzi wa kimkakati, Kati ya chadema na Ccm.
Kama hakutakuwa na uwizi wa kura na magumashi basi mpambano utakuwa mkali kuliko ule wa magufuli na lowasa.
Ni mpambano uliojificha ndani ya migogoro ya muungano, watu moyoni wanalao Jambo, matatizo ya muungano ndo yatakayoamua nani awe Rais wa Tanganyika(TZ), ikiruhusiwa mikutano ya siasa basi Zanzibar uru inaweza kupatikana 2025.
Navyoona utakuwa ni mpambano Kati ya Samia na Mbowe.
Tunaomba Mikutano iruhusiwe na kesi zifutwe Ili tuanze kupambana mapema kuelekea 2025.

Lazma watanzania wa Bata na Zanzibar msiruhusu Dola kuiba uchaguzi Ili tumpate Rais halali na anayependwa na wengi
Kama kuwa Rais wa Magaidi Tanganyika sawa.
 
Unaweza kuwa na hoja mjomba kwa maana kulikuwa na mmoja aliwahi kuwa rais kutokea kanda fulani basi kila post nyeti ilikuwa ya watu kutokea huko.

Inasemekana hata alipokuja mzanzibari ajira JMT inabidi ziwe 21% tokea Zenji kwenye 1.5m tu na hata raslimali nyingi zilipelekwa huko.
Unakua ni kwa kiasi gani Zanzibar imekosa haki yake kwenye keki ya muungano!?..inajua lipi la muungano lipi siyo!?
 
Nyerere alikuwa na hoja zake ambazo ni za msingi.

"Umuhimu wa kabila kwenye matambiko."
"Hoja haipigwi rungu."
"Nchi huongozwa kwa kuheshimu katiba.'
"Ukiambiwa la kipumbavu ukakubali .."

.
.
.

Yako innumerable.

Nyerere hakuwa mtupu.

Kiongozi gani huna hata cha thamani cha kukumbukwa nacho?

Au "kila mtu na abakie na m@vi yake?"
Uzuri wa kiongozi haupimwi kwa kujengwa hoja jukwaani,Hilo hata polepole anaweza,uzuri wa kiongozi unapimwa kwa unafuu wa maisha kwa watu wake anaowaongoza na utu wao
 
Ndoto yako ikitimia Mbowe ndio atakuwa Rais alieingia madarakani kwa mara ya kwanza akiwa Kikongwe zaid


Julius aliingia akiwa na 40
Ally aliingia akiwa na 60
Benja akiwa na 58

Jakaya akiwa na 55
John akiwa na 56
Samia akiwa na 61
John alikuwa hajui umri wake huyo
 
Uzuri wa kiongozi haupimwi kwa kujengwa hoja jukwaani,Hilo hata polepole anaweza,uzuri wa kiongozi unapimwa kwa unafuu wa maisha kwa watu wake anaowaongoza na utu wao

Uzuri wa kiongozi unapimwa kwa hoja. Tunashindana kwa hoja. Sera ni hoja.

Bila hoja kwenye siasa ndugu zako hawa hapa:

IMG_20211213_131504_032.jpg


IMG_20211212_185614_232.jpg


Kama migambo wanaruka na kukanyagana.

Hawafai!
 
Ukipita huku mtaani watu wanashauku sana na uchaguzi wa 2025, ni uchaguzi wa kimkakati, Kati ya chadema na Ccm.
Kama hakutakuwa na uwizi wa kura na magumashi basi mpambano utakuwa mkali kuliko ule wa magufuli na lowasa.
Ni mpambano uliojificha ndani ya migogoro ya muungano, watu moyoni wanalao Jambo, matatizo ya muungano ndo yatakayoamua nani awe Rais wa Tanganyika(TZ), ikiruhusiwa mikutano ya siasa basi Zanzibar uru inaweza kupatikana 2025.
Navyoona utakuwa ni mpambano Kati ya Samia na Mbowe.
Tunaomba Mikutano iruhusiwe na kesi zifutwe Ili tuanze kupambana mapema kuelekea 2025.

Lazma watanzania wa Bata na Zanzibar msiruhusu Dola kuiba uchaguzi Ili tumpate Rais halali na anayependwa na wengi

Yani unataka kampeni zianzie sasa hivi mpaka 2025? Shughuli za maendeleo zitafanyika sa ngapi! Ndio maana mama kamfungia mbowe gerezani ili apishe kazi iendelee
 
Hatuwezi ONGOZWA na WACHAGA mzee, nendeni mkaambizane this DECEMBER mbwa nyie.
Kauli kama hizi ndio haswa nilizozielezea kwamba zinaleta uhasama bila sababu.

MBWA MWENYEWE..aliyekuambia mimi mchagga ni nani 😳 Na utatawaliwa na mchagga tu..penda usipende
Ungekuwa karibu ningeondoka na hiyo shingo...nyumbu kasoro mkia.
 
Kauli kama hizi ndio haswa nilizozielezea kwamba zinaleta uhasama bila sababu.

MBWA MWENYEWE..aliyekuambia mimi mchagga ni nani [emoji15] Na utatawaliwa na mchagga tu..penda usipende
Ungekuwa karibu ningeondoka na hiyo shingo...nyumbu kasoro mkia.
Mbwa nyie, hatotokea mchaga atawale. Na ww nakuambia NJOO hapa UHASIBU utanikuta.
 
Kama amekosekana kabisa mtu wa kuwa Rais wa JMT ni bora hiyo nafasi iwe wazi tu kuliko huyo jamaa.

Mbowe ana uwezo mdogo mno wa kufikiri,angalia tu hata namna alivyokuwa anatafuta "
walinzi wake binafsi"

Kwa mazingira ya siasa za nchi hii na habari za kupandikizwa watu wa kitengo kwenye vyama vya siasa,unaanzaje kumwamini stranger tu akuunganishe na strangers wenzake wa kukulinda?

Kisa ni HOMEBOY tu?
 
Back
Top Bottom