Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

Kwa hicho unachokijua wewe tukichukulie ni sahihi na ndiyo kuwa imetoka (yaani final and terminate) mjomba? Hutupi hata nafasi ya kutuambia ubora au ufyongo wako binafsi bali unapuyanga tu kama huna akili nzuri tu?

Kwani wewe ni nani hasa? Kwanini hata udhani kuna anayeweza kukupa umuhimu wowote? Hata kama ungekuwa mkewe mbona bado tungependa kujua kama wewe ni almighty?

Kwani kuna binadamu anayeaminika? Si unamwona aliyemwaminisha hadi Bulembo kuwa yeye ni mzalendo kweri kweri kumbe tapeli baba lao:

View attachment 2048662

Kama wewe si almighty huoni umuhimu wa uhuru, haki na kuaminika kwa sanduku la kura viroboto, wahuni na matapeli nyie?
Unachoelezwa ni kweli mbowe siyo mpinzani ni ccm aliyepewa majukumu kuua upinzani i.e. mrema,silaa,n.k. wenye akili tu ndiyo wataelewa hili
 
Tanzania patakuwa mahali pabaya pa kuishi kama Mbowe atakuwa Rais. Nenda kaangalie historia yake kwenye familia ya Mzee Aikaeli Mbowe, utagundua kuwa amehodhi urithi wote peke yake na familia yake.

Nenda kamuangalie anavyoendesha CHADEMA, utagundua ni kama duka lake binafsi. Yeye ndiye anachagua wachagga wenzie kuwapa viti maalum including mahawara zake. Yeye hakubali uchaguzi wa kugombea kiti cha Mwenyekiti kuanzia alipochukua kwa Bob Makani mwaka 2003.

Freeman Mbowe ndiye anaiuzia magari mabovu CHADEMA na hakuna wa kumhoji. Kifupi Mbowe atakuwa DIKTETA mbaya kuliko Magufuli
Style aliyokuwa anatumia Magufuli kuongoza Nchi ndio hiyo anatumia Mbowe kuongoza CDM,style ya one man show-ndio maana baada ya yeye kukamatwa kila kitu kuhusu vuguvugu la Katiba kimekufa.Maana yake Mipango yote na utekelezaji wake ulikuwa unamtegemea yeye kama Magufuli alivyokuwa anafanya pasipo kutambua kuna kifo,ugonjwa na ajali.

Style za uongozi wa namna hiyo imeshwa pitwa na wakati,uongozi inatakiwa kuwa shirikishi-na wengine wanaofanya hivi ni Madikiteta.
 
Unachoelezwa ni kweli mbowe siyo mpinzani ni ccm aliyepewa majukumu kuua upinzani i.e. mrema,silaa,n.k. wenye akili tu ndiyo wataelewa hili

Anayeeleza hayo wewe hushangai kwanini haanzi kwa kujitambulisha wazi wazi na hasa kujieleza alikowapeleka kina Ben, Azory, Lijenje, Malema, Urio na wenzao?

Au wala kuainisha ni kina nani waliowasokomezea kwenye viroba?

Au hata katika zile risasi za Lissu zake alizofyatua zilikuwa ngapi?

Wenye akili tu ndiyo wanaweza kuelewa haya!
 
Ukipita huku mtaani watu wanashauku sana na uchaguzi wa 2025, ni uchaguzi wa kimkakati, Kati ya chadema na Ccm.
Kama hakutakuwa na uwizi wa kura na magumashi basi mpambano utakuwa mkali kuliko ule wa magufuli na lowasa.
Ni mpambano uliojificha ndani ya migogoro ya muungano, watu moyoni wanalao Jambo, matatizo ya muungano ndo yatakayoamua nani awe Rais wa Tanganyika(TZ), ikiruhusiwa mikutano ya siasa basi Zanzibar uru inaweza kupatikana 2025.
Navyoona utakuwa ni mpambano Kati ya Samia na Mbowe.
Tunaomba Mikutano iruhusiwe na kesi zifutwe Ili tuanze kupambana mapema kuelekea 2025.

Lazma watanzania wa Bata na Zanzibar msiruhusu Dola kuiba uchaguzi Ili tumpate Rais halali na anayependwa na wengi
Umekunywa pombe gani wewe? 2025 tunakwenda na ACT wazalendo kidogo kuna watu wenye akili. Hatuwezi kusahau alivyoiuza UKAWA 2015.
 
Style aliyokuwa anatumia Magufuli kuongoza Nchi ndio hiyo anatumia Mbowe kuongoza CDM,style ya one man show-ndio maana baada ya yeye kukamatwa kila kitu kuhusu vuguvugu la Katiba kimekufa.Maana yake Mipango yote na utekelezaji wake ulikuwa unamtegemea yeye kama Magufuli alivyokuwa anafanya pasipo kutambua kuna kifo,ugonjwa na ajali.

Style za uongozi wa namna hiyo imeshwa pitwa na wakati,uongozi inatakiwa kuwa shirikishi-na wengine wanaofanya hivi ni Madikiteta.

Mkuu wewe bila shaka utakuwa una style bora kabisa na utakuwa umefaulu kweri kweri kuliko hao unaojinasibu kuwananga hapo.

Unapatikana anga za wapi "self made role model wewe 😁😁?"
 
Ukipita huku mtaani watu wanashauku sana na uchaguzi wa 2025, ni uchaguzi wa kimkakati, Kati ya chadema na Ccm.
Kama hakutakuwa na uwizi wa kura na magumashi basi mpambano utakuwa mkali kuliko ule wa magufuli na lowasa.
Ni mpambano uliojificha ndani ya migogoro ya muungano, watu moyoni wanalao Jambo, matatizo ya muungano ndo yatakayoamua nani awe Rais wa Tanganyika(TZ), ikiruhusiwa mikutano ya siasa basi Zanzibar uru inaweza kupatikana 2025.
Navyoona utakuwa ni mpambano Kati ya Samia na Mbowe.
Tunaomba Mikutano iruhusiwe na kesi zifutwe Ili tuanze kupambana mapema kuelekea 2025.

Lazma watanzania wa Bata na Zanzibar msiruhusu Dola kuiba uchaguzi Ili tumpate Rais halali na anayependwa na wengi
Mungu ibariki CHADEMA..
 
Urais hautolewi kama pole kwa mtu aliyekaa jela
"Aiseee, wa donge, wa kisiwa ndui, aje wa mwanakwerekwe afu aje wa kibanda maiti, michenzani, miembeni. Aaah aje wa wete, wa nchamba wima... URAIS HAUENDI HIVYO, URAIS SI ASALI KWAMBA KILA MTU AONJE..." SALMIN AMOUR KOMANDOO.
 
Tanzania patakuwa mahali pabaya pa kuishi kama Mbowe atakuwa Rais. Nenda kaangalie historia yake kwenye familia ya Mzee Aikaeli Mbowe, utagundua kuwa amehodhi urithi wote peke yake na familia yake.

Nenda kamuangalie anavyoendesha CHADEMA, utagundua ni kama duka lake binafsi. Yeye ndiye anachagua wachagga wenzie kuwapa viti maalum including mahawara zake. Yeye hakubali uchaguzi wa kugombea kiti cha Mwenyekiti kuanzia alipochukua kwa Bob Makani mwaka 2003.

Freeman Mbowe ndiye anaiuzia magari mabovu CHADEMA na hakuna wa kumhoji. Kifupi Mbowe atakuwa DIKTETA mbaya kuliko Magufuli
Hawezi kuwa Rais labda kama nchi haina usalama wa taifa, yaan mbowe aongoze nchi?huu utani kabisa, Kama mtu chama chake tu kakifanya kama biashra yake yaan yeye ndo kila kitu alafu umpe urais!! Litakua kosa kubwa kuwahi kufanyika nchi hii
 
Waachane Watanzania wachague wenyewe. Kama hawapendi Wachagga, kura zitajieleza zenyewe. Siyo kundi la watu la wana-CCM watuchagulie Rais kwa msaada wa polisi. Tunastahili heshima yetu kama Watanzania wa kawaida.
Tatizo ni mchaga. Wachaga hawafai wale. Wanaubaguzi, ubinafsi na hawana upendo kwa mtu yeyote isipokuwa wao wenyewe. Siku mkipma mchaga uongozi wa nchi, mambo ya wakikikuyu dhidi ya wengine yaliyokenya, yanahamia hapa. Hatutaki.

Na kama hataondoa ukbalia kwenye chama chake, atabaki kuwa mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani bungeni maisha yote lakini hawawi viongozi wa nchi Ng'o!.

La kufanya ni vizuri watathmini muundo wa chama chao, waimarishe kwa kuruhusu mchanganyiko mzuri wa uongozi wa juu wa chama hadi chini, wateue mgombea asiye mchaga, na bila shaka watu watakichagua kwa kuwa walishachoka na zimwi ccm. Lakini kinyume cha pale, watu wanaoan bora zimwi likujualo.

CHADEMA rekebisheni mifumo na ukabila kwenye chama chenu, vinginevyo,wtu watafurahia kuibiwa kwenu kura ili wasiwe chini ya wachuuzi, wachaga, looters, wabaguzi, wabinafsi, wenye upendeleo na ujasiri wa kifisadi wakiwa tayari kwa lolote hata kama llina gharama gani ili wapate fedha. Tutakwisha, na kila kitu chetu hata vilivyosalia vitakwisha. Htuwezi kuruka mkojo tukaangukia kwenye m.a.v.
 
Waachane Watanzania wachague wenyewe. Kama hawapendi Wachagga, kura zitajieleza zenyewe. Siyo kundi la watu la wana-CCM watuchagulie Rais kwa msaada wa polisi. Tunastahili heshima yetu kama Watanzania wa kawaida.
Na hii ndiyo inawafanya mifumo isiwakubali kwa sababu hamna weledi wa kuongoza nchi. Nchi haiongozwi kiholela. Watu wanachagua miongoni mwa feasible canidates, na si kila mtu hovyo hovyo kama unavyomaanisha hapa. Watanzania ni pamoja na mimi. Na wala mimi si ccm lakini tuna serikali inayopashwa kusimamia mifumo yote.

Huwezi kuacha watu holela hata wasikuwa na sfa wagombee uongozi na ndiyo sababu kuna michujokabla mpendekezwa hajakubalika kwenda kupigiwa kura. Hatutaki vyama vy akikabila wa avya kidini ama vya itikadi moja ya tabia kama mashoga, umoja wa waganga, wachawi n.k.

Ccm ni zimwi kwa Tanzania, lakini kuliko kujikabidhi kwa kabila lenye wezi na hila kama wachaga, bora zimwi ccm ambalo angalau linawatu wenye sauti kutoka sehemu zote za nchi. Hata wewe unaona. Japo ccm ni majambazi kweli hilo liko dhahiri, na hakuna mtu anawapenda, na wana sura nyingi za hovyo kama ufisadi, ulaghai n.k, lakini angalau unaona wanadhibitiana ndani kwa ndani, wanaonyana, ingawa wanaaogopana hata kuachiana glass za maji, na ingawa hawaheshimiani.

Lakini vyama vyenu hivyo vingine, vinahitaji marekebisho makubwa ili angalau watu wawe na moyo wa kujikabidhi kwenu. Mfano, nenda ACT na CHADEMA, CUF n.k, kuna nani mwenye nguvu anayeweza kusimama kinyume na wakuu wao ama makundi yanayowaung amkono wakuu wao na bado akaonekana kuwa sawa?

Unataka huo mfumo wa kuwaogopa wachaga au viongzi wakuu wa chama uwe ndio serikali?

Hapana. Hatukubali sisi Watanzania wa kawaida.
 
Hata Kamuzu Banda, Lungu, Moi, Ghadaffi... waliwahi kusema hivyo.
Na hii ndiyo inawafanya mifumo isiwakubali kwa sababu hamna weledi wa kuongoza nchi. Nchi haiongozwi kiholela. Watu wanachagua miongoni mwa feasible canidates, na si kila mtu hovyo hovyo kama unavyomaanisha hapa. Watanzania ni pamoja na mimi. Na wala mimi si ccm lakini tuna serikali inayopashwa kusimamia mifumo yote.

Huwezi kuacha watu holela hata wasikuwa na sfa wagombee uongozi na ndiyo sababu kuna michujokabla mpendekezwa hajakubalika kwenda kupigiwa kura. Hatutaki vyama vy akikabila wa avya kidini ama vya itikadi moja ya tabia kama mashoga, umoja wa waganga, wachawi n.k.

Ccm ni zimwi kwa Tanzania, lakini kuliko kujikablidi kwa kakabila lenye wezi na hila kama wachaga, bora zimwi ccm ambalo angalau linawatu wenye sauti kutoka sehemu zote za nchi. Hata wewe unaona. Japo ccm ni majambazi kweli hilo liko dhahiri, na hakuan mtu anawapenda, lakini angalau unaona wanadhibitiana ndani kwa ndani, wanaonyana, wanaogopana hata kuachiana glass za maji, japo hawaheshimiani. Huko CHADEMA, kuna nani mwenye nguvu ya kuwasema na kuwakemea wachaga? Unataka huo mfumo wa kuwaogopa wachaga uwe ndio serikali?

Hapana. Hatukubali sisi Watanzania wa kawaida.
 
Back
Top Bottom