Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

Ukipita huku mtaani watu wanashauku sana na uchaguzi wa 2025, ni uchaguzi wa kimkakati, Kati ya chadema na Ccm.
Kama hakutakuwa na uwizi wa kura na magumashi basi mpambano utakuwa mkali kuliko ule wa magufuli na lowasa.
Ni mpambano uliojificha ndani ya migogoro ya muungano, watu moyoni wanalao Jambo, matatizo ya muungano ndo yatakayoamua nani awe Rais wa Tanganyika(TZ), ikiruhusiwa mikutano ya siasa basi Zanzibar uru inaweza kupatikana 2025.
Navyoona utakuwa ni mpambano Kati ya Samia na Mbowe.
Tunaomba Mikutano iruhusiwe na kesi zifutwe Ili tuanze kupambana mapema kuelekea 2025.

Lazma watanzania wa Bata na Zanzibar msiruhusu Dola kuiba uchaguzi Ili tumpate Rais halali na anayependwa na wengi
Amka bro hii ndoto haina maana
 
Tatizo ni mchaga. Wachaga hawafai wale. Wanaubaguzi, ubinafsi na hawana upendo kwa mtu yeyote isipokuwa wao wenyewe. Siku mkipma mchaga uongozi wa nchi, mambo ya wakikikuyu dhidi ya wengine yaliyokenya, yanahamia hapa. Hatutaki.

Na kama hataondoa ukbalia kwenye chama chake, atabaki kuwa mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani bungeni maisha yote lakini hawawi viongozi wa nchi Ng'o!.

La kufanya ni vizuri watathmini muundo wa chama chao, waimarishe kwa kuruhusu mchanganyiko mzuri wa uongozi wa juu wa chama hadi chini, wateue mgombea asiye mchaga, na bila shaka watu watakichagua kwa kuwa walishachoka na zimwi ccm. Lakini kinyume cha pale, watu wanaoan bora zimwi likujualo.

CHADEMA rekebisheni mifumo na ukabila kwenye chama chenu, vinginevyo,wtu watafurahia kuibiwa kwenu kura ili wasiwe chini ya wachuuzi, wachaga, looters, wabaguzi, wabinafsi, wenye upendeleo na ujasiri wa kifisadi wakiwa tayari kwa lolote hata kama llina gharama gani ili wapate fedha. Tutakwisha, na kila kitu chetu hata vilivyosalia vitakwisha. Htuwezi kuruka mkojo tukaangukia kwenye m.a.v.
Wengi wanazungumzia sana hili,Wachaga na ubinafsi/Ukabila inawezekana lina ukweli ndani yake,lakini kwangu mimi ni bora Mchaga Mtanganyika kuliko Mzanzibar,Kama vipi tutampa hata John Momose Cheyo,haaaa Watanganyika tunachekwa na wenzetu tuamkeni.
 
Tukiachana na swala la wewe kutuma video ambavyo haihusiani kabisa na mada au hâta comment yangu uliyoquote , huyo anaewaita watu wenzake manyani mbona huyo ndo kafanana kabisa na nyani kimuonekano?

Video inayaeleza vyema mawazo yako ya kwenye comment yako ile:

"Kudhani kuwa mawazo yako ndiyo sahihi, final and terminate na si ya mwingine huo ni unyani."

"Kutokuheshimu haki, usawa na uhuru wa wengine nao kuwa na maoni yao ni unyani huo."

"Kudai Bulembo kuwa ni kichaa bila kutanguliza kiambishi cha angalau - 'kwa mawazo yang' - huo ni unyani halisi."

Video inazungumzia unyani. Kwa hakika ndipo unapokutana nayo.

Nikurejee sasa kwenye kufanana na nyani:

"Ni heri kufanana na nyani kwa maungo ya mwili kuliko akili."
 
Ndoto yako ikitimia Mbowe ndio atakuwa Rais alieingia madarakani kwa mara ya kwanza akiwa Kikongwe zaid


Julius aliingia akiwa na 40
Ally aliingia akiwa na 60
Benja akiwa na 58

Jakaya akiwa na 55
John akiwa na 56
Samia akiwa na 61
Trump na Biden ni vijana wa umri gani? Idio.t
 
Tatizo ni mchaga. Wachaga hawafai wale. Wanaubaguzi, ubinafsi na hawana upendo kwa mtu yeyote isipokuwa wao wenyewe. Siku mkipma mchaga uongozi wa nchi, mambo ya wakikikuyu dhidi ya wengine yaliyokenya, yanahamia hapa. Hatutaki.

Na kama hataondoa ukbalia kwenye chama chake, atabaki kuwa mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani bungeni maisha yote lakini hawawi viongozi wa nchi Ng'o!.

La kufanya ni vizuri watathmini muundo wa chama chao, waimarishe kwa kuruhusu mchanganyiko mzuri wa uongozi wa juu wa chama hadi chini, wateue mgombea asiye mchaga, na bila shaka watu watakichagua kwa kuwa walishachoka na zimwi ccm. Lakini kinyume cha pale, watu wanaoan bora zimwi likujualo.

CHADEMA rekebisheni mifumo na ukabila kwenye chama chenu, vinginevyo,wtu watafurahia kuibiwa kwenu kura ili wasiwe chini ya wachuuzi, wachaga, looters, wabaguzi, wabinafsi, wenye upendeleo na ujasiri wa kifisadi wakiwa tayari kwa lolote hata kama llina gharama gani ili wapate fedha. Tutakwisha, na kila kitu chetu hata vilivyosalia vitakwisha. Htuwezi kuruka mkojo tukaangukia kwenye m.a.v.
Wabongo kwa uchonganishi Chana chochite kinaweza kuongo nchi sio lazima chadema
 
Mbowe anaweza kuwa mgombea bora kuliko lisu?!

Nime angalia kuona japo kama kuna ulipoandika "kwa mawazo yangu."

Hizi elimu za kina waziri Prof. Ndalichako, Dr. Jaffo, Dr. Biteko, Dr. Majaliwa, Dr. Kasheku, Dr. Samia na wenzao zinaligharimu taifa hili.
 
OpoOTE="Jumbe Brown, post: 41111979, member: 600565"]
Acha uhaini.....

TANGANYIKA haipo.....huo ni UHAINI......
[/QUOTE]

Usijipakazie unajua Tanganyika ipo imevaa joho la Tanzania
 
Nime angalia kuona japo kama kuna ulipoandika "kwa mawazo yangu."
Niliyemnukuu marc alpho kaandika kuwa
"Kama CDM watamsimisha Mbowe kama mgombea 2025 uchaguzi utakuwa ngumu, Labda wafanye makosa tena wamsimamishe LISSU".

Narudia swali langu kwake tena; mbowe anaweza kuwa mgombea bora kuliko lisu?!
 
Bila ya kumuomba Magufuli msamaha no chance, chadema na Mbowe hawawezi kushinda uchaguzi Tanzania kwa kumtukana na kumdhihaki Magufuli (RIP).

Magufuli anajeshi kubwa sana nchi hii la Watanzania Waislamu na Wakristo wote, ndo maana hata CCM wenyewe hawajielewi.
Yule jambazi acha tu aendelee kupumzika huko aliko.
 
kelele za humu jf ,sio ndo wapiga kura wa huko nje!! ngoja tuone!japo cdm na upinzani wakicheza karata vizuri wanaweza kubadili history ya tz kwa Mara ya 1,japo sio rahisi kihivyo ,ccm bado ni chama chenye nguvu,na mashabk wengi,halafu ni chama ambacho kinaweza kubadili hali ya upepo withn a sec.leo mtaona Kama wanampasuko baina yao,Ila wakishamsmamisha mmoja wa kutoka nje,hawa jamaa wanaunganaga fasta na kusahau mpasuko wao wthn a second.
 
Halafu Tundu Lisu itakuwaje wakati ndio Rais wetu.... wale jamaa hata EL akienda tena kugombea 2025 watampa tu...
Kwa sasa anaandaliwa PolePole mkuu, Lisu hana chake. Chadema huwezi kugombea mara mbili. Mwaka 2005- Mbowe, mwaka 2010- dr Slaa, mwaka 2015- Lowasa, Mwaka 2020- Lisu, na mwaka 2025 anaandaliwa PolePole akalete amsha amsha zaidi ya ile aliyoleta Lisu mwaka jana.
 
Hivi kuna kipi kilichobadilika? Mwendo utakuwa uleuke wa uchafuzi waliyofanya hiyo shughuli chini ya Rais Magufuli bado wapo na watafanya hakuna wkuwazuia hivyo msijipe tumaini lisilokuwepo.
 
Ndoto yako ikitimia Mbowe ndio atakuwa Rais alieingia madarakani kwa mara ya kwanza akiwa Kikongwe zaid


Julius aliingia akiwa na 40
Ally aliingia akiwa na 60
Benja akiwa na 58

Jakaya akiwa na 55
John akiwa na 56
Samia akiwa na 61
Kama Joe biden. Sema wazee wa ulaya wana akili
 
Hivi kuna kipi kilichobadilika? Mwendo utakuwa uleuke wa uchafuzi waliyofanya hiyo shughuli chini ya Rais Magufuli bado wapo na watafanya hakuna wkuwazuia hivyo msijipe tumaini lisilokuwepo.
Ni kweli lakini zama hubadilika.
 
Akili za ukilaza kutoka kwa kilaza mkuu wa mavilaza.
Siwezi kuandika uwongo kukufurahisha wewe Mmawia, bali naandika ninachokijuwa. Namfahamu Mbowe kuanzia 1980 tukiwa Ihungo Secondary A-Level.

Unachokiona usoni kwake siyo hicho kilichoko moyoni mwake. Sasa hivi anawatumia tu hao wanaojiita makamanda ili kufikia matarajio yake. Akiyapata tu, mtamtamani Dr Slaa arudi
 
Back
Top Bottom