Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

Wapi aliwanyooshea wasukuma? Weka vyanzo.

Wapi nimeongea habari za mtu mwingine? Sina mpango.

Nimeandika kwa ufahamu na uelewa wangu wa moja kwa moja kwa kuwa naifahamu Tanganyika na hsitoria yake na tabia za matabaka yetu.

Usinipeleke nisikokujua.

Nimekwambia kuna habari hiyo kama wewe hujui haina maana kuwa haipo.

Wapi unasoma kwamba nimekwambia unaongea habari za mtu mwingine au wapi hata kuwa unampango huo? Wapi nimekwambia hukuandika kwa ufahamu wako?

Kwa nini kama vile wewe ulivyo na unaufahamu wako, hudhani kuwa kila mtu ana ufahamu wake?

Kwanini katika mazingira kama hayo basi tusikae kwenye mchakato na uchaguzi ulio huru, wa haki na wenye kuaminika kumpata kiongozi aliye bora zaidi?

Kwani wewe ni almighty? Kwa vile wala si yule wala mimi, kwanini hii ngoma isiachwe kuwa wengi wape?

Kwanini unaonekana kutaka kulazimisha tu ufahamu wako uwe wetu sote?

Huoni kuwa huku hujitendei haki wewe mwenyewe?

Looh!
 
Ndoto yako ikitimia Mbowe ndio atakuwa Rais alieingia madarakani kwa mara ya kwanza akiwa Kikongwe zaid


Julius aliingia akiwa na 40
Ally aliingia akiwa na 60
Benja akiwa na 58

Jakaya akiwa na 55
John akiwa na 56
Samia akiwa na 61
Kama marekan Biden kaingia na 70+ maana yake Hakuna ajabu hapo
 
Hii sio comment ni fact

Wengi wenu hamjui tofauti ya comment na fact ndio sababu unajikuta unapinga chochote kinachoandikwa kwa kuwa tu kimeandikwa na mtu usiemkubali

Inaonekana umetoa hiyo comment makusudi kabisa na kwa uzito mkubwa.

Inaonyesha una ajenda iliyo nyuma ya pazia juu ya mh Mbowe.
 
Hii sio comment ni fact

Wengi wenu hamjui tofauti ya comment na fact ndio sababu unajikuta unapinga chochote kinachoandikwa kwa kuwa tu kimeandikwa na mtu usiemkubali
Obviously kama simkubali mtu basi hata comment yake ni vigumu nikaikubali
 
Kwani wapi nimeandika ajabu? Tatizo mnajistukia sana halaf hakuna haja ya kubishania age ya Mbowe ya 2025 kwa kuwa haina uhusiano na Rais wa 2025
Kama marekan Biden kaingia na 70+ maana yake Hakuna ajabu hapo
 
Tatizo ni mchaga. Wachaga hawafai wale. Wanaubaguzi, ubinafsi na hawana upendo kwa mtu yeyote isipokuwa wao wenyewe. Siku mkipma mchaga uongozi wa nchi, mambo ya wakikikuyu dhidi ya wengine yaliyokenya, yanahamia hapa. Hatutaki.

Na kama hataondoa ukbalia kwenye chama chake, atabaki kuwa mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani bungeni maisha yote lakini hawawi viongozi wa nchi Ng'o!.

La kufanya ni vizuri watathmini muundo wa chama chao, waimarishe kwa kuruhusu mchanganyiko mzuri wa uongozi wa juu wa chama hadi chini, wateue mgombea asiye mchaga, na bila shaka watu watakichagua kwa kuwa walishachoka na zimwi ccm. Lakini kinyume cha pale, watu wanaoan bora zimwi likujualo.

CHADEMA rekebisheni mifumo na ukabila kwenye chama chenu, vinginevyo,wtu watafurahia kuibiwa kwenu kura ili wasiwe chini ya wachuuzi, wachaga, looters, wabaguzi, wabinafsi, wenye upendeleo na ujasiri wa kifisadi wakiwa tayari kwa lolote hata kama llina gharama gani ili wapate fedha. Tutakwisha, na kila kitu chetu hata vilivyosalia vitakwisha. Htuwezi kuruka mkojo tukaangukia kwenye m.a.v.
Sijamaliza kusoma ila naunga mkono hoja. Binafsi nimeoa uchagani ila hawa watu sio wa kuwapa NCHI period.
 
🤣🤣🤣🤣🤣

Mjombaa eee kwa hiyo MBOWE ni bora zaidi ya Samia ?!!😳😳

Ubora wa hulka njema ,staha ya kweli ,huruma na kupenda haki na usawa u

View attachment 2048394
wafikie wale wanaomzunguka ?!!!

Mjombaeee Mbowe humjui peke yako 🤣🤣
Wewe haujawahi kujadili hoja, as long as CCM inahusishwa sehemu ni lazima utaenda na mipasho tu.

Mpaka kufikia 2015 CCM ilikuwa imeshajifia kiasi kwamba watu waliojaribu hâta kuvaa nguo za ukada walizomewa, ponapona ya CCM ilikuwa ni kumsimamisha Magufuli kwakuwa watu walikuwa na matarajio makubwa kwake kutokana na record zake nyuma japo nae aliharibu kwa kiasi chake.

Sio swala gumu kuona kwamba kuna baadhi ya watu (raia) waliokuwa ni mitaji ya CCM wakati uke ila kwasasa wameitegea mgongo, hii CCM kiuhalisia haina nguvu tena uraiani kwakua wananchi wengi walimpenda mtu na sio chama. Huyu aliyepo kwenye kiti hana nguvu yoyote ya ushawishi.

Kama CDM watamsimisha Mbowe kama mgombea 2025 uchaguzi utakuwa ngumu, Labda wafanye makosa tena wamsimamishe LISSU.
 
Mie naunga mkono hoja na kuipinga hoja bila ya ku consider jina la alieleta hoja wala ya anaezungumziwa ndio sababu zipo thread naunga mkono issue positive za Mbowe na zipo nazopinga issue zinazomhusu Samia

Ila pia una uhuru wa kuamua kwa kadri ya elimu na utashi wako
Obviously kama simkubali mtu basi hata comment yake ni vigumu nikaikubali
 
Nimekwambia kuna habari hiyo kama wewe hujui haina maana kuwa haipo.

Wapi unasoma kwamba nimekwambia unaongea habari za mtu mwingine au wapi hata kuwa unampango huo? Wapi nimekwambia hukuandika kwa ufahamu wako?

Kwa nini kama vile wewe ulivyo na unaufahamu wako, hudhani kuwa kila mtu ana ufahamu wake?

Kwanini katika mazingira kama hayo basi tusikae kwenye mchakato na uchaguzi ulio huru, wa haki na wenye kuaminika kumpata kiongozi aliye bora zaidi?

Kwani wewe ni almighty? Kwa vile wala si yule wala mimi, kwanini hii ngoma isiachwe kuwa wengi wape?

Kwanini unaonekana kutaka kulazimisha tu ufahamu wako uwe wetu sote?

Huoni kuwa huku hujitendei haki wewe mwenyewe?

Looh!
Uhuru wa kutoa mawazo. Kama mtu hafai hafai, kama kuna demografia moja haifai, haifai. Hakuna sababu ya kukosana katika hilo Kuongea si kulazimisha. Mchakato ulio huru, kumpata kingozi aliyebora kwa uwazi haina maana kwamba hatufanyi chaguzi kabla ya kuweka majina kwenye public arenas. Kwa wachaga, hapand ndugu yangu. Kwenye hilo tutakosana bure tu. Kikubwa, tupate katiba bora, na kuwa na vyombo huru lakini hatuwi vipofu. Is not everybody can be the head of state regardless kuna uhuru na ubora katika mifumo.

Twende pamoja.
 
Mie naunga mkono hoja na kuipinga hoja bila ya ku consider jina la alieleta hoja wala ya anaezungumziwa ndio sababu zipo thread naunga mkono issue positive za Mbowe na zipo nazopinga issue zinazomhusu Samia

Ila pia una uhuru wa kuamua kwa kadri ya elimu na utashi wako
Hapo elimu inaingiaje tena kwenye maamuzi yangu tena?
 
Age is just a number ila mwenye number 39 kwenda chini hawezi kuwa Rais kwa mujibu wa Katiba

Nusiache kujazia Nyerere alikuwa rais bora kabisa katika wote tuliowahi kupata.

Katiba siyo msahafu kutokea kwa Mola.

Ndiyo maana tuna wivu kweli kweli na katiba mpya itakayo tambua "age is just a number." Kote yaani chini na juu.

Wanaochagua mmoja ni watu wengi. Penye wengi hapa haribiki jambo!

Tunataka katiba mpya itakayo hakikisha wakiwamo viongozi watakuwa watapatikana wale walio bora zaidi kupitia mchakato huru wa haki na wenye kuaminika.

Si wahuni, matapeli au viroboto tunaowasikia kutamalaki.
 
Huyu Bulembo ni kichaa kama vichaa wengine tu.
Kama nakusoma vyema, kulikuwa na habari kuwa Nyerere alikuwa kawanyooshea kidole pia wasukuma?

Kama hilo ni kweli, basi ukichanganya na hoja kama hizi:

View attachment 2048390

Mwendazake atakuwa ndiyo amewaharibia hivyo na moja kwa moja 😁😁.
 
Back
Top Bottom