Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

Nyerere alichukua Nchi akiwa na Miaka 36?

Nimezungumzia kuwa Rais wewe umezungumzia kuchukua Nchi

Alichukua nchi akiwa na miaka 39 i.e 1922-1961

Amekuwa Rais akiwa na miaka 40 i.e 1922-1962


Ukikosoa jitahidi kuwa makini zaid ya yule unaemkosoa
Nisiache kukusahihisha Nyerere alichukua nchi akiwa na miaka 36. Akiwa rais bora kabisa katika wote tuliowahi kupata.

Katiba siyo msahafu kutokea kwa Mola.

Ndiyo maana tuna wivu kweli kweli na katiba mpya itakayo tambua "age is just a number." Kote yaani chini na juu.

Wanaochagua mmoja ni watu wengi. Penye wengi hapa haribiki jambo!

Tunataka katiba mpya itakayo hakikisha wakiwamo viongozi watakuwa watapatikana wale walio bora zaidi kupitia mchakato huru wa haki na wenye kuaminika.

Si wahuni, matapeli au viroboto tunaowasikia.
 
Nisiache kukusahihisha Nyerere alichukua nchi akiwa na miaka 36. Akiwa rais bora kabisa katika wote tuliowahi kupata.

Katiba siyo msahafu kutokea kwa Mola.

Ndiyo maana tuna wivu kweli kweli na katiba mpya itakayo tambua "age is just a number." Kote yaani chini na juu.

Wanaochagua mmoja ni watu wengi. Penye wengi hapa haribiki jambo!

Tunataka katiba mpya itakayo hakikisha wakiwamo viongozi watakuwa watapatikana wale walio bora zaidi kupitia mchakato huru wa haki na wenye kuaminika.

Si wahuni, matapeli au viroboto tunaowasikia kutamalaki.
Nyerere si rais Bora kuliko wote tuliopata,ujamaa ulifeli,maisha yalikua magumu,aliweka Katiba yenye harufu ya udikteta,hapakua na Uhuru wa habari/maoni,zaidi alikua hodari kuhubiri siasa jukwaani
 
Ahueni ya CCM ni kuhakikisha kwamba SAMIA hasimami tena 2025, huyo Mother hajachukua attention kwa raia kabisa hâta anapoenda sehemu ni kama hayupo vile , anapohutubia sikuizi watu humchukulia kama mtangazaji wa kipindi fulani kwenye redio na Tv maana daily ni lazima asikike.

Humohumo CCM kuna njemba mpaka leo haziamini kama zinaongozwa na mwanamke😅.

Kipindi cha yule jamaa alipendwa yéyé na sio chama, watu ni lazima mtambue kuwa imebaki asilimia ndogo sana ya wajinga ambao bado wanaiamini CCM.
 
Kabila lenye wezi nalo Hapana
Kabila lenye wavivu nalo hapana

Kabila lenye wachawi nalo hapana

Kabila lenye waoga nalo hapana

Itabidi tukodi Rais toka nje ya Nchi maana kila kabila lina doa lake
Kurisk kuwapa uongozi hao watu ni hatari,Kuna mmoja alikua Waziri wa fedha,kabila lake likajaa tra,bandari nk,mpaka watakapostaarabika watapata madaraka
 
Ahueni ya CCM ni kuhakikisha kwamba SAMIA hasimami tena 2025, huyo Mother hajachukua attention kwa raia kabisa hâta anapoenda sehemu ni kama hayupo vile , anapohutubia sikuizi watu humchukulia kama mtangazaji wa kipindi fulani kwenye redio na Tv maana daily ni lazima asikike.

Humohumo CCM kuna njemba mpaka leo haziamini kama zinaongozwa na mwanamke[emoji28].

Kipindi cha yule jamaa alipendwa yéyé na sio chama, watu ni lazima mtambue kuwa imebaki asilimia ndogo sana ya wajinga ambao bado wanaiamini CCM.
Pamoja na hilo ila SIO KUMCHAGUA MBOWE.....
 
Kabila lenye wezi nalo Hapana
Kabila lenye wavivu nalo hapana

Kabila lenye wachawi nalo hapana

Kabila lenye waoga nalo hapana

Itabidi tukodi Rais toka nje ya Nchi maana kila kabila lina doa lake
Tukiangalia kitu ambacho kitaathiri taifa moja kwa moja ni wizi, hivyo ili kuminimize risk tuwaepuke wezi zaidi.
 
Uhuru wa kutoa mawazo. Kama mtu hafai hafai, kama kuna demografia moja haifai, haifai. Hakuna sababu ya kukosana katika hilo Kuongea si kulazimisha. Mchakato ulio huru, kumpata kingozi aliyebora kwa uwazi haina maana kwamba hatufanyi chaguzi kabla ya kuweka majina kwenye public arenas. Kwa wachaga, hapand ndugu yangu. Kwenye hilo tutakosana bure tu. Kikubwa, tupate katiba bora, na kuwa na vyombo huru lakini hatuwi vipofu. Is not everybody can be the head of state regardless kuna uhuru na ubora katika mifumo.

Twende pamoja.

Ninaheshimu mawazo yako kama ilivyokuwa busara nadhani kwako kuheshimu ya wengine bila shuruti.

Vipi hadi udhani kunaweza kutokezea kukosana badala ya japo kukubaliana kutokukubaliana, hata kama?

"Umuhimu wa kabila la mtu unaishia kwenye kufanya matambiko." -- JKN.

Tupo wengi aghalabu kuliko nyie wenye hisia za kibaguzi wenye kuuthamini utu wa mtu kuliko kabila, dini, jinsia, nk vya mtu.

Vipi mjomba uko kwenye kukusanya ndugu kwa ajili ya kutambika 😁😁?
 
Kabila lenye wezi nalo Hapana
Kabila lenye wavivu nalo hapana

Kabila lenye wachawi nalo hapana

Kabila lenye waoga nalo hapana

Itabidi tukodi Rais toka nje ya Nchi maana kila kabila lina doa lake
Kuna kabila wezi Kama Moshi na arusha,Cha msingi ukabila ni mbaya zaidi
 
Pamoja na hilo ila SIO KUMCHAGUA MBOWE.....
Nitafungana na wewe ila sababu sio uchaga wake, sababu ni visasi alivyonavyo moyoni mwake.

Hivi ulishawahi kujiuliza hatima ya CCM ikiwa CHADEMA wataingia ikulu kwa kutumia hii katiba inayompa nguvu mtawala? Aiseeh ndomaana CCM huwa hawataki hâta kufikiria, kuna watu watavuka mto uchi.
 
Nyerere alichukua Nchi akiwa na Miaka 36?

Nimezungumzia kuwa Rais wewe umezungumzia kuchukua Nchi

Alichukua nchi akiwa na miaka 39 i.e 1922-1961

Amekuwa Rais akiwa na miaka 40 i.e 1922-1962


Ukikosoa jitahidi kuwa makini zaid ya yule unaemkosoa

😁😁

Hoja iliyopo ni zaidi mno ya hii "very elementary mathematics hii ya 1961 - 1922."

Bottom line:

"Age is just a number" tunahitaji mtu bora zaidi kupitia mchakato na uchaguzi ulio huru, wa haki na wenye kuaminika.

Kwa sababu hiyo hatutakoma kuidai katiba itakayo itakayo tuhakikishia hayo.

Wapiga ndiyo kura pekee watakaomua anayefaa siyo hizi janja janja uchwara zenu.
 
Nyerere si rais Bora kuliko wote tuliopata,ujamaa ulifeli,maisha yalikua magumu,aliweka Katiba yenye harufu ya udikteta,hapakua na Uhuru wa habari/maoni,zaidi alikua hodari kuhubiri siasa jukwaani

Nyerere alikuwa na hoja zake ambazo ni za msingi.

"Umuhimu wa kabila kwenye matambiko."
"Hoja haipigwi rungu."
"Nchi huongozwa kwa kuheshimu katiba.'
"Ukiambiwa la kipumbavu ukakubali .."

.
.
.

Yako innumerable.

Nyerere hakuwa mtupu.

Kiongozi gani huna hata cha thamani cha kukumbukwa nacho?

Au "kila mtu na abakie na m@vi yake?"
 
Huyu Bulembo ni kichaa kama vichaa wengine tu.

Hayo ni mawazo yako kama ambavyo wengine wanaweza kukuona wewe ni kiroboto.

Uchaguzi huru, wa haki na wenye kuaminika ndiyo ufumbuzi wa yote katika jamii ya watu ambao unyani ulisha watoka:

 
Ameongea UKWELI. WATANZANIA HAWAWEZI KUMPA NCHI MCHAGA, NI MARA KUMI WASUKUMA.

Kwa sifa zenu hizi hizi?

IMG_20211212_185614_232.jpg
 
Hayo ni mawazo yako kama ambavyo wengine wanaweza kukuona wewe ni kiroboto.

Uchaguzi huru, wa haki na wenye kuaminika ndiyo ufumbuzi wa yote katika jamii ya watu ambao unyani ulisha watoka:

View attachment 2048453
Tukiachana na swala la wewe kutuma video ambavyo haihusiani kabisa na mada au hâta comment yangu uliyoquote , huyo anaewaita watu wenzake manyani mbona huyo ndo kafanana kabisa na nyani kimuonekano?
 
Tatizo ni mchaga. Wachaga hawafai wale. Wanaubaguzi, ubinafsi na hawana upendo kwa mtu yeyote isipokuwa wao wenyewe. Siku mkipma mchaga uongozi wa nchi, mambo ya wakikikuyu dhidi ya wengine yaliyokenya, yanahamia hapa. Hatutaki.

Na kama hataondoa ukbalia kwenye chama chake, atabaki kuwa mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani bungeni maisha yote lakini hawawi viongozi wa nchi Ng'o!.

La kufanya ni vizuri watathmini muundo wa chama chao, waimarishe kwa kuruhusu mchanganyiko mzuri wa uongozi wa juu wa chama hadi chini, wateue mgombea asiye mchaga, na bila shaka watu watakichagua kwa kuwa walishachoka na zimwi ccm. Lakini kinyume cha pale, watu wanaoan bora zimwi likujualo.

CHADEMA rekebisheni mifumo na ukabila kwenye chama chenu, vinginevyo,wtu watafurahia kuibiwa kwenu kura ili wasiwe chini ya wachuuzi, wachaga, looters, wabaguzi, wabinafsi, wenye upendeleo na ujasiri wa kifisadi wakiwa tayari kwa lolote hata kama llina gharama gani ili wapate fedha. Tutakwisha, na kila kitu chetu hata vilivyosalia vitakwisha. Htuwezi kuruka mkojo tukaangukia kwenye m.a.v.
Mkuu acha ubaguzi
 
Ndoto yako ikitimia Mbowe ndio atakuwa Rais alieingia madarakani kwa mara ya kwanza akiwa Kikongwe zaid


Julius aliingia akiwa na 40
Ally aliingia akiwa na 60
Benja akiwa na 58

Jakaya akiwa na 55
John akiwa na 56
Samia akiwa na 61
Mwai Kibaki 72
Trump........
Nelson Mandela....
 
Back
Top Bottom