Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

Ukitaka kugombea kiti cha uraisi basi hakikisha unakutwa na mikasa hapo kupewa kiti ni rahisi mno...kule huwa hawaandai wagombea ila itategemea na upepo tuu..

NB Siyafurahii matatizo anayoyapitia Chairman, namuombea kwa namna atakayoitaka yeye kesi iishe.
 
Siwezi kuandika uwongo kukufurahisha wewe Mmawia, bali naandika ninachokijuwa. Namfahamu Mbowe kuanzia 1980 tukiwa Ihungo Secondary A-Level.

Unachokiona usoni kwake siyo hicho kilichoko moyoni mwake. Sasa hivi anawatumia tu hao wanaojiita makamanda ili kufikia matarajio yake. Akiyapata tu, mtamtamani Dr Slaa arudi
Kawadanganye walevi wenzio wa kusujudu na kuabudu ili mradi umepata mkate wako wakila siku.

Habari za Mbowe huzijui na hutozijua kamwe.
 
Ukitaka kugombea kiti cha uraisi basi hakikisha unakutwa na mikasa hapo kupewa kiti ni rahisi mno...kule huwa hawaandai wagombea ila itategemea na upepo tuu..

NB Siyafurahii matatizo anayoyapitia Chairman, namuombea kwa namna atakayoitaka yeye kesi iishe.
Nadhani wewe ni mushuti wa kule Ngara.
 
Niliyemnukuu marc alpho kaandika kuwa
"Kama CDM watamsimisha Mbowe kama mgombea 2025 uchaguzi utakuwa ngumu, Labda wafanye makosa tena wamsimamishe LISSU".

Narudia swali langu kwake tena; mbowe anaweza kuwa mgombea bora kuliko lisu?!

Maoni yako kama m@vi kama alivyosema mzee baba. Kila mtu ana yake.

Uzuri zaidi ni kuwa kura katika nchi zote huwa zina haki sawa.
 
Adui mkubwa wa bulembo ni elimu yake ndogo.

IMG_20211212_224003_053.jpg
 
Ni ndoto za alinacha cha pombe kuwa raisi labda uraisi wa mtaa wa ufipa [emoji23][emoji1787]
 
Kurisk kuwapa uongozi hao watu ni hatari,Kuna mmoja alikua Waziri wa fedha,kabila lake likajaa tra,bandari nk,mpaka watakapostaarabika watapata madaraka

Unaweza kuwa na hoja mjomba kwa maana kulikuwa na mmoja aliwahi kuwa rais kutokea kanda fulani basi kila post nyeti ilikuwa ya watu kutokea huko.

Inasemekana hata alipokuja mzanzibari ajira JMT inabidi ziwe 21% tokea Zenji kwenye 1.5m tu na hata raslimali nyingi zilipelekwa huko.
 
Unaweza kuwa na hoja mjomba kwa maana kulikuwa na mmoja aliwahi kuwa rais kutokea kanda fulani basi kila post nyeti ilikuwa ya watu kutokea huko.

Inasemekana hata alipokuja mzanzibari ajira JMT inabidi ziwe 21% tokea Zenji kwenye 1.5m tu na hata raslimali nyingi zilipelekwa huko.
Wachache na wenye akili kubwa ndiyo watakao kuelewa
 
Hii nchi haipaswi tena kuongozwa na makabila makubwa kama Wahaya, Wachaga, Wasukuma, Wanyakyusa nk nafikiri somo tumeshalipata..

Bora vikabila vidogo vidogo viendelee kutawala na ikiwezekana dip system itengeneze maelfu ya watu kutoka hivyo vikabila kuliko nchi kushikwa na hizi giants..
 
Wachache na wenye akili kubwa ndiyo watakao kuelewa

Badala ya kujiunga na upande wenye kudai katiba madhubuti kama muarobaini lakini sasa viroboto, wahuni na matapeli wanatumia nini kufikiria?!
 
Tatizo ni mchaga. Wachaga hawafai wale. Wanaubaguzi, ubinafsi na hawana upendo kwa mtu yeyote isipokuwa wao wenyewe. Siku mkipma mchaga uongozi wa nchi, mambo ya wakikikuyu dhidi ya wengine yaliyokenya, yanahamia hapa. Hatutaki.

Na kama hataondoa ukbalia kwenye chama chake, atabaki kuwa mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani bungeni maisha yote lakini hawawi viongozi wa nchi Ng'o!.

La kufanya ni vizuri watathmini muundo wa chama chao, waimarishe kwa kuruhusu mchanganyiko mzuri wa uongozi wa juu wa chama hadi chini, wateue mgombea asiye mchaga, na bila shaka watu watakichagua kwa kuwa walishachoka na zimwi ccm. Lakini kinyume cha pale, watu wanaoan bora zimwi likujualo.

CHADEMA rekebisheni mifumo na ukabila kwenye chama chenu, vinginevyo,wtu watafurahia kuibiwa kwenu kura ili wasiwe chini ya wachuuzi, wachaga, looters, wabaguzi, wabinafsi, wenye upendeleo na ujasiri wa kifisadi wakiwa tayari kwa lolote hata kama llina gharama gani ili wapate fedha. Tutakwisha, na kila kitu chetu hata vilivyosalia vitakwisha. Htuwezi kuruka mkojo tukaangukia kwenye m.a.v.
Painful lakini ni kweli tupu.
 
Badala ya kujiunga na upande wenye kudai katiba madhubuti kama muarobaini lakini sasa viroboto, wahuni na matapeli wanatumia nini kufikiria?!
Bado wapo kwenye hangover ya msiba wa malaika wao
 
Hii nchi haipaswi tena kuongozwa na makabila makubwa kama Wahaya, Wachaga, Wasukuma, Wanyakyusa nk nafikiri somo tumeshalipata..

Bora vikabila vidogo vidogo viendelee kutawala na ikiwezekana dip system itengeneze maelfu ya watu kutoka hivyo vikabila kuliko nchi kushikwa na hizi giants..
Tatizo si ukubwa wa makabila. Wanaweza wakaungana na wakashika nchi milele kwa zamu. Kikubwa ni aina za makabila na mila zao. WAnajulikana mbona?
 
Ukipita huku mtaani watu wanashauku sana na uchaguzi wa 2025, ni uchaguzi wa kimkakati, Kati ya chadema na Ccm.
Kama hakutakuwa na uwizi wa kura na magumashi basi mpambano utakuwa mkali kuliko ule wa magufuli na lowasa.
Ni mpambano uliojificha ndani ya migogoro ya muungano, watu moyoni wanalao Jambo, matatizo ya muungano ndo yatakayoamua nani awe Rais wa Tanganyika(TZ), ikiruhusiwa mikutano ya siasa basi Zanzibar uru inaweza kupatikana 2025.
Navyoona utakuwa ni mpambano Kati ya Samia na Mbowe.
Tunaomba Mikutano iruhusiwe na kesi zifutwe Ili tuanze kupambana mapema kuelekea 2025.

Lazma watanzania wa Bata na Zanzibar msiruhusu Dola kuiba uchaguzi Ili tumpate Rais halali na anayependwa na wengi
Kwani mtashiriki uchaguzi mkuu wa 2025 bila Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi? 🙄
 
Siwezi kuandika uwongo kukufurahisha wewe Mmawia, bali naandika ninachokijuwa. Namfahamu Mbowe kuanzia 1980 tukiwa Ihungo Secondary A-Level.

Unachokiona usoni kwake siyo hicho kilichoko moyoni mwake. Sasa hivi anawatumia tu hao wanaojiita makamanda ili kufikia matarajio yake. Akiyapata tu, mtamtamani Dr Slaa arudi

Kwa hicho unachokijua wewe tukichukulie ni sahihi na ndiyo kuwa imetoka (yaani final and terminate) mjomba? Hutupi hata nafasi ya kutuambia ubora au ufyongo wako binafsi bali unapuyanga tu kama huna akili nzuri tu?

Kwani wewe ni nani hasa? Kwanini hata udhani kuna anayeweza kukupa umuhimu wowote? Hata kama ungekuwa mkewe mbona bado tungependa kujua kama wewe ni almighty?

Kwani kuna binadamu anayeaminika? Si unamwona aliyemwaminisha hadi Bulembo kuwa yeye ni mzalendo kweri kweri kumbe tapeli baba lao:

IMG_20211212_185614_232.jpg


Kama wewe si almighty huoni umuhimu wa uhuru, haki na kuaminika kwa sanduku la kura viroboto, wahuni na matapeli nyie?
 
Back
Top Bottom