Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

Nasisitiza MBOWE hatokaa awe RAIS labda mimi NIFE. Lkn kama nitakuwa HAI, haitokaa itokee MCHAGA awe RAIS kwenye nchi.
 
Nimeongea ki ukweli sana. WAchaga si watu wa kuwapa nchi. Wanaweza sana kushika nyadhida za juu za serikali wakiwa chini ya mamlaka dhibiti, lakii si kuwaacha wao ndio wawe vingozi wa nchi. TUMEKWISHA.
Sema umekwisha wewe!

Akili yako imehorogeka,Hao ambao sio wachaga wameongoza hii nchi miaka 60 wameifikisha wapi!?

Hizi hisia na mawazo mabovu ya kikabila, kikanda, kidini na mengine yanayofanana na hayo ni hatari sana...hayajawahi kusaidia lolote wala chochote katika maendeleo ya binadamu(soma historia).
Ila ndio chimbuko kubwa la vita na mifarakano kote duniani.

Usitake watz tushabikie ujinga uliofanywa na Rwanda.
 
Sema umekwisha wewe!

Akili yako imehorogeka,Hao ambao sio wachaga wameongoza hii nchi miaka 60 wameifikisha wapi!?

Hizi hisia na mawazo mabovu ya kikabila, kikanda, kidini na mengine yanayofanana na hayo ni hatari sana...hayajawahi kusaidia lolote wala chochote katika maendeleo ya binadamu(soma historia).
Ila ndio chimbuko kubwa la vita na mifarakano kote duniani.

Usitake watz tushabikie ujinga uliofanywa na Rwanda.
Hatuwezi ONGOZWA na WACHAGA mzee, nendeni mkaambizane this DECEMBER mbwa nyie.
 
Ukipita huku mtaani watu wanashauku sana na uchaguzi wa 2025, ni uchaguzi wa kimkakati, Kati ya chadema na Ccm.
Kama hakutakuwa na uwizi wa kura na magumashi basi mpambano utakuwa mkali kuliko ule wa magufuli na lowasa.
Ni mpambano uliojificha ndani ya migogoro ya muungano, watu moyoni wanalao Jambo, matatizo ya muungano ndo yatakayoamua nani awe Rais wa Tanganyika(TZ), ikiruhusiwa mikutano ya siasa basi Zanzibar uru inaweza kupatikana 2025.
Navyoona utakuwa ni mpambano Kati ya Samia na Mbowe.
Tunaomba Mikutano iruhusiwe na kesi zifutwe Ili tuanze kupambana mapema kuelekea 2025.

Lazma watanzania wa Bata na Zanzibar msiruhusu Dola kuiba uchaguzi Ili tumpate Rais halali na anayependwa na wengi
CCM ni wazito sana kujifunza. Kumkamata, kumdhalilisha, kumtesa na kumfunga kiholela Mbowe ni moja ya makosa yatakayoigharimu CCM kwa miango kadhaa!
CCM na serikali yao wamempa Mbowe umaarufu usiotarajiwa. Ujinga wa watu wachache ndani ya CCM umeigawa CCM, Umeligawa Taifa na kumjengea tashwira ya u Mandela Mbowe. Kwa mara ya kwanza sasa watu makini ndani ya CCM wananung'unikia udhalilishaji wa kiongozi huyo unaofanywa na dola kwa ushauri wa genge la kihunihuni linalomzunguuka Mwenyekiti wao. Kesi ya Mbowe inaiharibu tashwira ya Rais Samia na Serikali yake. Inampamba kwa tashwira ya Dikteta mpya badala ya Magufuli! Mwenendo wa kesi hii Mahakamani ni sawa na kuanika nguo za ndani, chakavu na chafuchafu !hadharani. Mapungufu ya Mhimili huu sasa yak nje nje na kuna kila dalili Mhimili huu ukapoteza kabisa jina kwa maamuzi ya kesi ya kijinga hii. Wanaomshauri Rais ni washindani wa cheo chake! Lililoitwa "ombi" la Zitto la Mbowe asamehewe kosa asilolitenda wala kuthibitishwa si la kwake. Kuna uwezekano alikaririshwa na Dola (Bila shaka kila mmoja anajua ninaposema "dola") asemeje ili serikali na chama chao kipate njia ya kujinasua toka kwenye tope hili. Muda utashuhudia ukweli.
 
Kawadanganye walevi wenzio wa kusujudu na kuabudu ili mradi umepata mkate wako wakila siku.

Habari za Mbowe huzijui na hutozijua kamwe.
Niulize lolote nikujibu kuanzia maisha yake, kusoma sekondari, kutosoma chuo, biashara za baba yake, biashara zake chafu na kuingia siasa.

Kama kusujudu na kuabudunni wewe Mmawia unayemlamba viatu mtu humjui
 
Niulize lolote nikujibu kuanzia maisha yake, kusoma sekondari, kutosoma chuo, biashara za baba yake, biashara zake chafu na kuingia siasa.

Kama kusujudu na kuabudunni wewe Mmawia unayemlamba viatu mtu humjui
Hiyo kazi ni wajibu wa mke wa mh Mbowe siyo wewe.
 
Kwa hicho unachokijua wewe tukichukulie ni sahihi na ndiyo kuwa imetoka (yaani final and terminate) mjomba? Hutupi hata nafasi ya kutuambia ubora au ufyongo wako binafsi bali unapuyanga tu kama huna akili nzuri tu?

Kwani wewe ni nani hasa? Kwanini hata udhani kuna anayeweza kukupa umuhimu wowote? Hata kama ungekuwa mkewe mbona bado tungependa kujua kama wewe ni almighty?

Kwani kuna binadamu anayeaminika? Si unamwona aliyemwaminisha hadi Bulembo kuwa yeye ni mzalendo kweri kweri kumbe tapeli baba lao:

View attachment 2048662

Kama wewe si almighty huoni umuhimu wa uhuru, haki na kuaminika kwa sanduku la kura viroboto, wahuni na matapeli nyie?
Wewe mwenyewe brazaj ni tapelinna Mbowe naye tapeli. Au nikukumbushe alivyouza nafasi ya mgombea uRais wa Tz kwa Lowasa kwa Tsh 10 Billion?

Endeleeni kumtumikia makengeza
 
Hawezi kuwa Rais labda kama nchi haina usalama wa taifa, yaan mbowe aongoze nchi?huu utani kabisa, Kama mtu chama chake tu kakifanya kama biashra yake yaan yeye ndo kila kitu alafu umpe urais!! Litakua kosa kubwa kuwahi kufanyika nchi hii
Kweli tupu
 
Wewe mwenyewe brazaj ni tapelinna Mbowe naye tapeli. Au nikukumbushe alivyouza nafasi ya mgombea uRais wa Tz kwa Lowasa kwa Tsh 10 Billion?

Endeleeni kumtumikia makengeza

Jitendee haki kwa kuyaeleza makando kando yako kama hutajali tafadhali.

Kwamba umeng'ang'ania vibanzi kwenye macho ya wengine, hali mwenyewe una boriti kubwa machoni mwako?

Huo ni ushamba!

Uhalali wa awaye yote ni kwa kupitia sanduku la kura lililo huru, la haki na lenye kuaminika, pekee.

Uhalali wa awaye yote hauwezi kuharamishwa na watuhumiwa vinara wa kusokomeza wengine kwenye viroba:

IMG_20211015_144814_546.jpg
 
Jitendee haki kwa kuyaeleza makando kando yako kama hutajali tafadhali.

Kwamba umeng'ang'ania vibanzi kwenye macho ya wengine, hali mwenyewe una boriti kubwa machoni mwako?

Huo ni ushamba!

Uhalali wa awaye yote ni kwa kupitia sanduku la kura lililo huru, la haki na lenye kuaminika, pekee.

Uhalali wa awaye yote hauwezi kuharamishwa na watuhumiwa vinara wa kusokomeza wengine kwenye viroba:

View attachment 2048829
Unahamisha magoli baada ya kupokea knuckles!!
 
Nani ? Mbowe, yule aliyebadili gia angani mwaka 2015 ? Duh, pole sana haiwezi kutokea. Huo ndio ukweli mchungu
Ukipita huku mtaani watu wanashauku sana na uchaguzi wa 2025, ni uchaguzi wa kimkakati, Kati ya chadema na Ccm.
Kama hakutakuwa na uwizi wa kura na magumashi basi mpambano utakuwa mkali kuliko ule wa magufuli na lowasa.
Ni mpambano uliojificha ndani ya migogoro ya muungano, watu moyoni wanalao Jambo, matatizo ya muungano ndo yatakayoamua nani awe Rais wa Tanganyika(TZ), ikiruhusiwa mikutano ya siasa basi Zanzibar uru inaweza kupatikana 2025.
Navyoona utakuwa ni mpambano Kati ya Samia na Mbowe.
Tunaomba Mikutano iruhusiwe na kesi zifutwe Ili tuanze kupambana mapema kuelekea 2025.

Lazma watanzania wa Bata na Zanzibar msiruhusu Dola kuiba uchaguzi Ili tumpate Rais halali na anayependwa na wengi
 
Tanzania patakuwa mahali pabaya pa kuishi kama Mbowe atakuwa Rais. Nenda kaangalie historia yake kwenye familia ya Mzee Aikaeli Mbowe, utagundua kuwa amehodhi urithi wote peke yake na familia yake.

Nenda kamuangalie anavyoendesha CHADEMA, utagundua ni kama duka lake binafsi. Yeye ndiye anachagua wachagga wenzie kuwapa viti maalum including mahawara zake. Yeye hakubali uchaguzi wa kugombea kiti cha Mwenyekiti kuanzia alipochukua kwa Bob Makani mwaka 2003.

Freeman Mbowe ndiye anaiuzia magari mabovu CHADEMA na hakuna wa kumhoji. Kifupi Mbowe atakuwa DIKTETA mbaya kuliko Magufuli
Tuondolee upumbavu wako wa kuambukizwa. Kawadanganye wapumbavu wenzio wa CCM. Mbowe angefanya hivyo CCM kupitia Mahakama zenu za makada wenu za "maelekezo toka juu" angeshahukumiwa kunyongwa!
 
Huo ndio ukweli mchungu
Tatizo ni mchaga. Wachaga hawafai wale. Wanaubaguzi, ubinafsi na hawana upendo kwa mtu yeyote isipokuwa wao wenyewe. Siku mkipma mchaga uongozi wa nchi, mambo ya wakikikuyu dhidi ya wengine yaliyokenya, yanahamia hapa. Hatutaki.

Na kama hataondoa ukbalia kwenye chama chake, atabaki kuwa mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani bungeni maisha yote lakini hawawi viongozi wa nchi Ng'o!.

La kufanya ni vizuri watathmini muundo wa chama chao, waimarishe kwa kuruhusu mchanganyiko mzuri wa uongozi wa juu wa chama hadi chini, wateue mgombea asiye mchaga, na bila shaka watu watakichagua kwa kuwa walishachoka na zimwi ccm. Lakini kinyume cha pale, watu wanaoan bora zimwi likujualo.

CHADEMA rekebisheni mifumo na ukabila kwenye chama chenu, vinginevyo,wtu watafurahia kuibiwa kwenu kura ili wasiwe chini ya wachuuzi, wachaga, looters, wabaguzi, wabinafsi, wenye upendeleo na ujasiri wa kifisadi wakiwa tayari kwa lolote hata kama llina gharama gani ili wapate fedha. Tutakwisha, na kila kitu chetu hata vilivyosalia vitakwisha. Htuwezi kuruka mkojo tukaangukia kwenye m.a.v.
 
Ukipita huku mtaani watu wanashauku sana na uchaguzi wa 2025, ni uchaguzi wa kimkakati, Kati ya chadema na Ccm.
Kama hakutakuwa na uwizi wa kura na magumashi basi mpambano utakuwa mkali kuliko ule wa magufuli na lowasa.
Ni mpambano uliojificha ndani ya migogoro ya muungano, watu moyoni wanalao Jambo, matatizo ya muungano ndo yatakayoamua nani awe Rais wa Tanganyika(TZ), ikiruhusiwa mikutano ya siasa basi Zanzibar uru inaweza kupatikana 2025.
Navyoona utakuwa ni mpambano Kati ya Samia na Mbowe.
Tunaomba Mikutano iruhusiwe na kesi zifutwe Ili tuanze kupambana mapema kuelekea 2025.

Lazma watanzania wa Bata na Zanzibar msiruhusu Dola kuiba uchaguzi Ili tumpate Rais halali na anayependwa na wengi
Acha ndoto za mchana mkuu
 
Back
Top Bottom