Pre GE2025 Kuna kila dalili uchaguzi mkuu 2025 Upinzani ukikazana unachukua, je Mwenyekiti Mbowe ataruhusu hili?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mara Paap January Makamba huyu hapa, kule Madelu kampeni manager.
Kwa mwamba kila kitu kinawezekana.

Shida ya El mipango ya mjini alikuwa haiwezi na alizungukwa na watoto watoto, wale jamaa naamini wakiamua kuudondosha mbuyu wanaweza, wanastyle yao yakuneutralize mambo for future purpose.
 
Hivi kama kuna Viongozi Waandamizi wamepewa Rushwa na wamekubali, unategemea watakomaa kweli? Zaidi watafanya tu maigizo na kujitengenezea mazingira ya kupiga Pesa lakini si kuchukua Dola, ndiyo maana kuna Viongozi wa Upinzani hawataki kuachia uongozi ili waendelee kula.

Rushwa ni Adui wa Haki, hakuna Mtu anayepokea Rushwa akatenda Haki, Imani yangu ni kuwa kuna Viongozi Mamluki ndani ya Upinzani ambao wapo kwa ajili ya kuvuruga tu, watakaa vikao vya ndani na baadae watatoa Siri kwa Watawala.
 
Endeleeni kuota tu,

Ccm ni mpaka ichoke yenyewe inchi hii
Hakuna wa kuitoa ccm, si upinzani wala ccm yenyewe
 
Kila nikikumbuka kauli ya ccm si mama wala baba yangu na kilichotokea baadae na baadae tena, basi hata mwenyekiti mwenyewe sasa hivi aende agombee upinzani atashindwa na katibu kata wa ccm
Ccm ni habari nyingine kabisa, jamaa wameiva na kuiva, ona hapo kwenye picha halafu subirini kinachofuata sasa
Ndio mtajua hamjui
 
Hatari sana
 
Kinachoonekana ni kuwa kuna Viongozi Mamluki ndani ya Upinzani ambao wamechukua "Mpunga" na kuendelea kubaki kama Wapinzani huku wakiwa ni wavurugaji..
Washajulikana hao:- ni Wenje na Msigwa
 
2025 ni moto mkali CCM wapo kwenye hali mbaya wasipofanya kama 2020.
 
Ukweli ni kwamba hata ccm isiibe kura upinzani hauwezi kuchukua nchi uchaguzi huo labda ile 2015 not now. Labda kuambulia idadi kubwa ya wabunge.
tanzania kuna masikini wengi hasa huko vijijini na ndio wapiga kura wakubwa na wao wanaifahamu ccm zaidi
 
Kila siku tunasema chadema ni upumbavu kama ccm ...Mbowe anatumiwa na Genge la Raia feki wanao miliki serikali na ccm kwa sasa ambao kiongozi wao mkuu ni bwana ROSTAM AZIZI NA KISERIKALI NI SAMIA wakati Tundu lissu ana tumiwa na mafisadi mabeberu wa kimataifa ...nitakuja siku nieleze kuhusu huu mfumo....wakati huo huo Msoga Gang ni vitoto vidogo vinavyo rubuniwa tu na Genge la Bwana ROSTAM AZIZI ...ila kwa sasa wameanza kushitukiana baina ya MSOGA GANG NA GENGE LA BWANA ROSTAM AZIZI LENYE ANJENDA YA RAIA FEKI KUSHIKA HATAMU...kuna kakashikashi kidogo baina yao ila kama nilivyo sema MSOGA GANG NI VITOTO VIDOGO NDIYO SABABU TATIZO BAINA YAO LIMEKUA VIGUMU KUONEKANA WAZIWAZI.
 
Mkuu Dawa zako jana ulimeza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…