rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Naona umeanza kupata akili kidogo kufananisha simba na timu za ulaya nq sio walioweka mwiko nyumaWw sio yanga pambaba na mikia wenzio lakn nyie mikia mnanifrahisha sehemu moja ivi kwel mnaweza kuwa mnajivunia kuingia robo fainal badala mjivunie kuchukua kombe sisi wana arsenal tunaumia hatujawai kuchukua UEFA lakn fainal tumefika na hatujivunii kufika fainal A.Madrid hawajivunii kuingia fainal 2 mfululizo lakn wanaumia kukosa kuchukua kombe kwahy mikia nyie ni timu ndogo kwa sababu mnafrahia kufika robo fainal
Ndiyo maana safari za huko haziishi kumbe anampelekea mumewe mdomo wa chupaMme wa kitenge yupo USA-Afande Sele
Unajua maana ya kubalance story, mwandishi kabla ya kutoa habari lazima awasiliane na pande husika kisha atoe habari sasa huyo kitenge wenu hana tofauti na wambeya keahasikia habari kakimbilia kuitoa bila kumhoji Morison wala Gomes ambao ndio wahusikaKwa mara ya kwanza ile habari ya Morison ilitolewa na mtandao wa African Sports. Kitenge akaja kuirusha ile habari kama tetesi (i.e inasemekana). Sasa hapo tatizo lipo wapi? Si kweli inasemekana?
Haya, njooni kwa Dauda. Wewe umemsikia Bumbuli akimtukana Dauda, au kumkashifu?
Simba ni timu yenye mashabiki hovyo sana.
Mwambie kitenge akashitaki kama anahisi kaonewaMmh umeandika kiushabiki mno...Mimi pia nilisikiliza kipindi hicho Kama ilivyo kwa watu wengine...wewe ulitarajia CEO wa sImba aseme nini na kocha aseme nini...kikubwa Kama wewe ni mtu unayechambua issues ni kile alichosema kocha kuwa kilichotokea Kati yake na Morrison ni suala la 'kifamilia'...Sasa sijui wewe ulielewa vipi hapo?!...wakati mwingine muwe fair...naona watu wa Simba mmelishupalia sana suala la Kitenge...Na hamjui kuwa msemaji wa Simba anatamka Mambo mengine ambayo ni very unprofessional na hata jinai...kutamka matusi ya nguoni hadhrani au mitandaoni ni jinai...
Sasa pale utopolo mdhamini wale herufi 3 tu pekee ? Shida ya wana utopolo yaan wao waliamini gerufi 3 watakuwa wawekezaji kama ilivyo kwa MO.Hilo jambo liliwahi kutamkwa na wajumbe wa utendaji waliolazimishwa kujiuzulu, walikuwa kwenye kikao wakawa wanahoji kuhusu mdhamini kuingilia uendeshaji wa timu kumbe kuna wengine wanawarekodi na kupeleka clip kwa mdhamini mpaka mdhamini akatishia kujitoa ni jambo la kusikitisha sana na leo yanajirudia
Maneno yako au kauli zako ni za kibabe..jiepushe na kauli za Aina hii ndani ya jamii...wengi huja kujuta baadaye kwa kauli Kama hizi...kunyamaza kimya ni jambo jema na Wala hakuna gharama yoyote...Mwambie kitenge akashitaki kama anahisi kaonewa
Yeye anavyoropoka hajui kuwa kuna sheria, mwambie akashitaki akimwaga mboga watu wanamwaga ugaliManeno yako au kauli zako ni za kibabe..jiepushe na kauli za Aina hii ndani ya jamii...wengi huja kujuta baadaye kwa kauli Kama hizi...kunyamaza kimya ni jambo jema na Wala hakuna gharama yoyote...
wale ambao huwa wanadanganywa na mwakalebela, wale ambao huenda airport kuwabeba wachezaji n viongozi kama wafalme, wale ambao waliambiwa Morrison kesi yake ipo CAS na hatocheza tena ni wapenzi wa Team gani? wale ambao juzi juzi tu haoa LUC EYYMAEL alisema ni Kama MANYANI NA MBWA NI MASHABIKI WA TEAM GANI? WALE WANOLILA LIA KWENYE MITANDAO NI MASHABIKI WA TEAM GANI? WANAOSEMA SIMBA IKISHINDA WATATAMBEA UCHI AU WAINGILIWE KINYUME NA MAUMBILE NI MASHABIKI WA TEAM GANI? Mashabiki wengi wa YANGA NI MASHOGA. ndo maana wanaaamua kutumia mwiko kwa matendo yao hayo ya kifedhuli na wanasema kabisa NYUMA MWIKO. sisi tutauchomoa huo mwiko tuine kunavyovuja.Simba hamna amani yeyote. Muhindi akitajwa mnaruka ka pimbi. Akiumwa tumbo la kuhara mnaanza kufukiza ubani, dua mji mzima.
Morison hana nidhamu na hapatani na kocha. Kubalini tu, kwani ndiyo nini?
Mbona magazeti yameandika kuhusu Ntibanzokiza etc ... na watu wamechuna tu.
Huo ndiyo ubovu wa Simba, wengi wenu ni mapolisi, wanajeshi na mgambo. Pia madalali wengi ni Simba.
Acha upumbavu, GSM ndio anatoa pesa ana haki ya kufanya hayo,Jichange wewe na Shafii mkaidhamini Yanga km mnawezaSio kweli mkuu bali ni hivi..kitenge amewameza wale madogo mle ndani yaan jambo analo tqka yeye ndilo lizungumziwe ukibishana nae itakupasa ukae kimya tu.
Na shida ya kitenge ni Unanzi wa kuipenda yanga. Binafssi nilimsikiliza shafii dauda leo ktk Hili game shafii alipasua JIPU leo na ule ndio ukweli. Shafii amesemaa wazi kabisaa wadhamini wale wa herufi tatu ndio shida maana wao ndio wana ratibu kila kitu ktk club ile na shafii alisema wazi ata maamuzi ya kumfukuza kocha M/kiti wa club na Makamu wake wote hawakuwepo.
Lwambano akaongezea akasema ndani ya club ya utopolo kuna wajanja wachache ambao wanaendesha maisha yao kupitia club ile wamejificha kwa mgongo wa mdhamini wa herufi tatu
Sasa kuamini hili binafsi huwa najiuliza iv ina kuwaje sponsor anaingia ktk vikao vya kuongoza club tena wao sio main sponsor mbona wale michezo pesa hawa play part kama mdhamini wa herufi 3
Ndio ujue kudukua same time sio fresh utatoka showKumekuwapo na sakata siku mbili hizi kati ya msemaji wa Simba, Haji Manara na mtangazaji wa Wasafi FM, Maulid Kitenge.
Hii ni baada ya Kitenge kupost kwenye page zake kwamba kuna ugomvi kati ya Morrison na kocha wake Gomes, na ndio maana Morrison aliachwa Dar safari ya Khartoum, madai ambayo Manara aliyakanusha na kumuonya Kitenge aache uzushi.
Leo katika kipindi cha michezo asubuhi, amehojiwa CEO wa Simba, akakanusha kuwapo ugomvi huo na akadai ni waandishi tu wanaotafuta followers kwenye pages zao ndio wanazusha hilo. Pia akahojiwa kocha Gomes kama ana ugomvi na kwa nini alimuacha Dar, akasema taarifa hizo si za kweli na Morrison ni mchezaji mwenye kipaji kikubwa ambaye atawasaidia sana Simba, na akasema alimuacha Dar kwa sababu za matatizo ya kifamilia.
Pamoja na ufafanuzi huo wa CEO na kocha mwenyewe, lakini bado Kitenge akawa anamlazimisha Zingizi aongelee ugomvi ili kuhalalisha habari yake ya mitandaoni, na wakati wakizungumza hayo, wachambuzi wengine wa soka akina Musa, Ambangile nk waliamua kupiga kimya kuwaachia Kitenge na Zingizi wakifarijiana kuwa CEO na kocha wamekanusha tu ila kuna habari wao wanazo, hadi ikafikia hatua ya Ambangile kuvunja ukimya na kuanzisha habari nyingine mpya.
Kitendo cha wachambuzi wenye akili zao kuamua kukalia kimya ushawishi wa Kitenge ili wasiwaamini CEO na Gomes kimenifanya nipate picha kuwa huenda waliona watajiondolea heshima kujadili kitu ambacho kimeshakanushwa, tena mmoja wa wakanushaji nihuyo huyo Gomes anayehusishwa na ugomvi!
Hongera Musa Kawambwa, George Ambangile na wachambuzi wote mliokuwapo studio kwa kumuachia Kitenge alibebe zigo lake, wala asiwasumbue, mpeni makavu!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Na nakuhakikishia hamuendi robo fainal narudia tena hamuendi robo final
Nyie ndo huwa mnasema tufukuze kocha wakati wachezaji asilimia kubwa ni Maboga. Nakushauri uende shuleSema ujinga wako wewe,Kitenge kazungumzia tetesi za wachezaji.....na wala si yeye pekee aliyepost hiyo tetesi......sasa mambo ya tetesi za mikia yanahusiana nini na Yanga ? Acha kutumia kile kiungo alichokisema Dr Masaburi kufikiria
Siwezi kubishana na mtu anajiita Chizi,kama unaelimu yoyote ada imepotea bure tu,kama Kaze ni kocha kweli kwenye situation ya 1-1 na zimeongezwa dk 2 na unataka matokeo huwezi mwinua mchezaji sub aingie.......yaani 91+ unamwingiza mchezaji kwenda kufanya nini ? Kwahiyo kupiga mbele tu ndiyo unaona mpira? Mechi zote, Coastal na Police tumecheza kama underground sijui wa wapi.......yes tuna average players kwa baadhi ya position ila siyo kwa mpira ule wa piga mbele wala huoni goli linatengenezwa kupitia wapi........Nyie ndo huwa mnasema tufukuze kocha wakati wachezaji asilimia kubwa ni Maboga. Nakushauri uende shule
Mkuu,hv unategemea kabisa Babra au Gomes wangekubali kua kuna ugonvi? halafu hili swala baadhi ya mashabiki wanalikuza tu, hizo Kitenge alizosema ni tetesi tu, na mbona hata Ulaya kusemwa semwa kutokuelewana kati ya coach na player ni jambo la kawaida sana? inakuaje hiii inakua ishuuuu wakati ni jambo la kawaida tu katika soka? Kite na Haj seems wana mambo yao binafsi wao kama wao, sema teams zinatumika tu kujifichia
Fabrizio Romano huwa anasema, wachezaji wamegombana na kocha?Mkuu,
Wengi wanamfuatilia myunanaitwa fabrizio romano.. romano ni mtu wa tetesi muda wote..unakumbuka sakatabla david alaba la kuongeza mkataba yali alilishikilia kama anaugomvi na bayern..kila dakika alaba alaba alaba...bila kusahau sakata la mkataba la eric garcia wa man city .. lakini sijasikia akiambiwa na watubwa bayern kwamba anawasema bayern vibaya au watu wa man city..
Maulidi kitenge yuko sahihi kabisaaa..kwenye hili haji kakurupuka..kwani simba ni nani mpaka kusiwe na tetesi?? kazi ya haji ndo sio kumtisha mwandishi asiandike tetesi yeye anatakiwa aje either akubali kuwa tetesi ni zakweli or akatae then maisha yaendeleee
Tetesi zipo na zitaendelea kuwepo
Simba kitenge anawanyoosha kweli kweli, na bado