Kuna kila dalili wachambuzi Wasafi FM wamemchoka Maulid Kitenge

Kuna kila dalili wachambuzi Wasafi FM wamemchoka Maulid Kitenge

Ww sio yanga pambaba na mikia wenzio lakn nyie mikia mnanifrahisha sehemu moja ivi kwel mnaweza kuwa mnajivunia kuingia robo fainal badala mjivunie kuchukua kombe sisi wana arsenal tunaumia hatujawai kuchukua UEFA lakn fainal tumefika na hatujivunii kufika fainal A.Madrid hawajivunii kuingia fainal 2 mfululizo lakn wanaumia kukosa kuchukua kombe kwahy mikia nyie ni timu ndogo kwa sababu mnafrahia kufika robo fainal
Naona umeanza kupata akili kidogo kufananisha simba na timu za ulaya nq sio walioweka mwiko nyuma
 
Kwa mara ya kwanza ile habari ya Morison ilitolewa na mtandao wa African Sports. Kitenge akaja kuirusha ile habari kama tetesi (i.e inasemekana). Sasa hapo tatizo lipo wapi? Si kweli inasemekana?

Haya, njooni kwa Dauda. Wewe umemsikia Bumbuli akimtukana Dauda, au kumkashifu?
Simba ni timu yenye mashabiki hovyo sana.
Unajua maana ya kubalance story, mwandishi kabla ya kutoa habari lazima awasiliane na pande husika kisha atoe habari sasa huyo kitenge wenu hana tofauti na wambeya keahasikia habari kakimbilia kuitoa bila kumhoji Morison wala Gomes ambao ndio wahusika
 
Mmh umeandika kiushabiki mno...Mimi pia nilisikiliza kipindi hicho Kama ilivyo kwa watu wengine...wewe ulitarajia CEO wa sImba aseme nini na kocha aseme nini...kikubwa Kama wewe ni mtu unayechambua issues ni kile alichosema kocha kuwa kilichotokea Kati yake na Morrison ni suala la 'kifamilia'...Sasa sijui wewe ulielewa vipi hapo?!...wakati mwingine muwe fair...naona watu wa Simba mmelishupalia sana suala la Kitenge...Na hamjui kuwa msemaji wa Simba anatamka Mambo mengine ambayo ni very unprofessional na hata jinai...kutamka matusi ya nguoni hadhrani au mitandaoni ni jinai...
Mwambie kitenge akashitaki kama anahisi kaonewa
 
Hilo jambo liliwahi kutamkwa na wajumbe wa utendaji waliolazimishwa kujiuzulu, walikuwa kwenye kikao wakawa wanahoji kuhusu mdhamini kuingilia uendeshaji wa timu kumbe kuna wengine wanawarekodi na kupeleka clip kwa mdhamini mpaka mdhamini akatishia kujitoa ni jambo la kusikitisha sana na leo yanajirudia
Sasa pale utopolo mdhamini wale herufi 3 tu pekee ? Shida ya wana utopolo yaan wao waliamini gerufi 3 watakuwa wawekezaji kama ilivyo kwa MO.

Na mmoja kati ya wajumbe leo alihojiwa na Efm alisema ktk usajili BM 3 kamati ilikuwa ktk kikao chao gafla ktk mitandao ya kijamii wanaona habari itopolo wame sajili mchezaji mghana yaan mwenyekiti alikuwaa hajui kama kuna mchezaji analetwa 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mwambie kitenge akashitaki kama anahisi kaonewa
Maneno yako au kauli zako ni za kibabe..jiepushe na kauli za Aina hii ndani ya jamii...wengi huja kujuta baadaye kwa kauli Kama hizi...kunyamaza kimya ni jambo jema na Wala hakuna gharama yoyote...
 
Maneno yako au kauli zako ni za kibabe..jiepushe na kauli za Aina hii ndani ya jamii...wengi huja kujuta baadaye kwa kauli Kama hizi...kunyamaza kimya ni jambo jema na Wala hakuna gharama yoyote...
Yeye anavyoropoka hajui kuwa kuna sheria, mwambie akashitaki akimwaga mboga watu wanamwaga ugali
 
Simba hamna amani yeyote. Muhindi akitajwa mnaruka ka pimbi. Akiumwa tumbo la kuhara mnaanza kufukiza ubani, dua mji mzima.
Morison hana nidhamu na hapatani na kocha. Kubalini tu, kwani ndiyo nini?
Mbona magazeti yameandika kuhusu Ntibanzokiza etc ... na watu wamechuna tu.
Huo ndiyo ubovu wa Simba, wengi wenu ni mapolisi, wanajeshi na mgambo. Pia madalali wengi ni Simba.
wale ambao huwa wanadanganywa na mwakalebela, wale ambao huenda airport kuwabeba wachezaji n viongozi kama wafalme, wale ambao waliambiwa Morrison kesi yake ipo CAS na hatocheza tena ni wapenzi wa Team gani? wale ambao juzi juzi tu haoa LUC EYYMAEL alisema ni Kama MANYANI NA MBWA NI MASHABIKI WA TEAM GANI? WALE WANOLILA LIA KWENYE MITANDAO NI MASHABIKI WA TEAM GANI? WANAOSEMA SIMBA IKISHINDA WATATAMBEA UCHI AU WAINGILIWE KINYUME NA MAUMBILE NI MASHABIKI WA TEAM GANI? Mashabiki wengi wa YANGA NI MASHOGA. ndo maana wanaaamua kutumia mwiko kwa matendo yao hayo ya kifedhuli na wanasema kabisa NYUMA MWIKO. sisi tutauchomoa huo mwiko tuine kunavyovuja.
 
Sio kweli mkuu bali ni hivi..kitenge amewameza wale madogo mle ndani yaan jambo analo tqka yeye ndilo lizungumziwe ukibishana nae itakupasa ukae kimya tu.

Na shida ya kitenge ni Unanzi wa kuipenda yanga. Binafssi nilimsikiliza shafii dauda leo ktk Hili game shafii alipasua JIPU leo na ule ndio ukweli. Shafii amesemaa wazi kabisaa wadhamini wale wa herufi tatu ndio shida maana wao ndio wana ratibu kila kitu ktk club ile na shafii alisema wazi ata maamuzi ya kumfukuza kocha M/kiti wa club na Makamu wake wote hawakuwepo.

Lwambano akaongezea akasema ndani ya club ya utopolo kuna wajanja wachache ambao wanaendesha maisha yao kupitia club ile wamejificha kwa mgongo wa mdhamini wa herufi tatu

Sasa kuamini hili binafsi huwa najiuliza iv ina kuwaje sponsor anaingia ktk vikao vya kuongoza club tena wao sio main sponsor mbona wale michezo pesa hawa play part kama mdhamini wa herufi 3
Acha upumbavu, GSM ndio anatoa pesa ana haki ya kufanya hayo,Jichange wewe na Shafii mkaidhamini Yanga km mnaweza
 
Sioni sababu ya Kitenge na Manara kutupiana maneno yasiyo na staha mitandaoni. Wote wamekosa busara. Kiukweli CEO na kocha wa Simba hawawezi kuja hadharani kukiri kuwa kuna ugomvi kati ya kocha na Morison hata kama ugomvi huo upo. Kitenge kama mwandishi nguli wa habari za michezo nilitegemea afanye uchunguzi wa kiuandishi (investigative journalism) halafu aje hadharani na vielelezo vya kuthibitisha madai yake. Lakini kukomaa tu kuwa kuna ugomvi kati ya Gomes na Morison wakati CEO na Gomess wameshakanusha na mhusika mkuu Morison hajasema chochote hii inamfanya Kitenge kujishushia hadhi kama mwandishi nguli wa habari za mchezo na watu kumuona hamnazo. Kwa hali kama hii hana tofauti na mashabiki maandazi tu walioujua mpira hivi karibuni.

Lakini napata shida sana kumwelewa Manara pale anapoamua kurushiana maneno yasiyo na staha mitandaoni na Kitenge. Nashindwa kuwatofautisha kati yao nani anajielewa na nani hajielewi. Anachofanya Manara ni sawa na mtu anayeoga mtoni halafu akatokea chizi akabeba nguo zake na kuanza kukimbilia sokoni halafu mwenye nguo anaanza kumkimbiza badala ya kusubiri mtoni ili wakipita watu awaombe nguo ya kumsitiri. Kitendo cha kumkimbiza chizi sokoni wewe ukiwa uchi wastaarabu hawataelewa sanasana wataona machizi mawili yanakimbizana. Kwa hiyo Manara aachane na huyo Kitenge kwani watanzania wengi hata baadhi ya mashabiki wa Yanga wameshamjua huyo Kitenge ana matatizo yake binafsi.
 
Zeru zeru anapata tabu mnoo kumbe alitafunwa na mzee tozi
 
Kumekuwapo na sakata siku mbili hizi kati ya msemaji wa Simba, Haji Manara na mtangazaji wa Wasafi FM, Maulid Kitenge.

Hii ni baada ya Kitenge kupost kwenye page zake kwamba kuna ugomvi kati ya Morrison na kocha wake Gomes, na ndio maana Morrison aliachwa Dar safari ya Khartoum, madai ambayo Manara aliyakanusha na kumuonya Kitenge aache uzushi.

Leo katika kipindi cha michezo asubuhi, amehojiwa CEO wa Simba, akakanusha kuwapo ugomvi huo na akadai ni waandishi tu wanaotafuta followers kwenye pages zao ndio wanazusha hilo. Pia akahojiwa kocha Gomes kama ana ugomvi na kwa nini alimuacha Dar, akasema taarifa hizo si za kweli na Morrison ni mchezaji mwenye kipaji kikubwa ambaye atawasaidia sana Simba, na akasema alimuacha Dar kwa sababu za matatizo ya kifamilia.

Pamoja na ufafanuzi huo wa CEO na kocha mwenyewe, lakini bado Kitenge akawa anamlazimisha Zingizi aongelee ugomvi ili kuhalalisha habari yake ya mitandaoni, na wakati wakizungumza hayo, wachambuzi wengine wa soka akina Musa, Ambangile nk waliamua kupiga kimya kuwaachia Kitenge na Zingizi wakifarijiana kuwa CEO na kocha wamekanusha tu ila kuna habari wao wanazo, hadi ikafikia hatua ya Ambangile kuvunja ukimya na kuanzisha habari nyingine mpya.

Kitendo cha wachambuzi wenye akili zao kuamua kukalia kimya ushawishi wa Kitenge ili wasiwaamini CEO na Gomes kimenifanya nipate picha kuwa huenda waliona watajiondolea heshima kujadili kitu ambacho kimeshakanushwa, tena mmoja wa wakanushaji nihuyo huyo Gomes anayehusishwa na ugomvi!

Hongera Musa Kawambwa, George Ambangile na wachambuzi wote mliokuwapo studio kwa kumuachia Kitenge alibebe zigo lake, wala asiwasumbue, mpeni makavu!
Ndio ujue kudukua same time sio fresh utatoka show
 
Ila morison ndani ya mwezi utasikia timwili kaliwasha ....yanga aliwavuruga wakavurugika.... Sasa issue ipo kwa main spiker na chitenge.....ngoja tuone final
 
Na nakuhakikishia hamuendi robo fainal narudia tena hamuendi robo final
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Shida sana. Tuendelee kutafuta Kocha mzuri.
 
Sema ujinga wako wewe,Kitenge kazungumzia tetesi za wachezaji.....na wala si yeye pekee aliyepost hiyo tetesi......sasa mambo ya tetesi za mikia yanahusiana nini na Yanga ? Acha kutumia kile kiungo alichokisema Dr Masaburi kufikiria
Nyie ndo huwa mnasema tufukuze kocha wakati wachezaji asilimia kubwa ni Maboga. Nakushauri uende shule
 
Nyie ndo huwa mnasema tufukuze kocha wakati wachezaji asilimia kubwa ni Maboga. Nakushauri uende shule
Siwezi kubishana na mtu anajiita Chizi,kama unaelimu yoyote ada imepotea bure tu,kama Kaze ni kocha kweli kwenye situation ya 1-1 na zimeongezwa dk 2 na unataka matokeo huwezi mwinua mchezaji sub aingie.......yaani 91+ unamwingiza mchezaji kwenda kufanya nini ? Kwahiyo kupiga mbele tu ndiyo unaona mpira? Mechi zote, Coastal na Police tumecheza kama underground sijui wa wapi.......yes tuna average players kwa baadhi ya position ila siyo kwa mpira ule wa piga mbele wala huoni goli linatengenezwa kupitia wapi........
 
hv unategemea kabisa Babra au Gomes wangekubali kua kuna ugonvi? halafu hili swala baadhi ya mashabiki wanalikuza tu, hizo Kitenge alizosema ni tetesi tu, na mbona hata Ulaya kusemwa semwa kutokuelewana kati ya coach na player ni jambo la kawaida sana? inakuaje hiii inakua ishuuuu wakati ni jambo la kawaida tu katika soka? Kite na Haj seems wana mambo yao binafsi wao kama wao, sema teams zinatumika tu kujifichia
Mkuu,

Wengi wanamfuatilia myunanaitwa fabrizio romano.. romano ni mtu wa tetesi muda wote..unakumbuka sakatabla david alaba la kuongeza mkataba yali alilishikilia kama anaugomvi na bayern..kila dakika alaba alaba alaba...bila kusahau sakata la mkataba la eric garcia wa man city .. lakini sijasikia akiambiwa na watubwa bayern kwamba anawasema bayern vibaya au watu wa man city..

Maulidi kitenge yuko sahihi kabisaaa..kwenye hili haji kakurupuka..kwani simba ni nani mpaka kusiwe na tetesi?? kazi ya haji ndo sio kumtisha mwandishi asiandike tetesi yeye anatakiwa aje either akubali kuwa tetesi ni zakweli or akatae then maisha yaendeleee

Tetesi zipo na zitaendelea kuwepo
 
Mkuu,

Wengi wanamfuatilia myunanaitwa fabrizio romano.. romano ni mtu wa tetesi muda wote..unakumbuka sakatabla david alaba la kuongeza mkataba yali alilishikilia kama anaugomvi na bayern..kila dakika alaba alaba alaba...bila kusahau sakata la mkataba la eric garcia wa man city .. lakini sijasikia akiambiwa na watubwa bayern kwamba anawasema bayern vibaya au watu wa man city..

Maulidi kitenge yuko sahihi kabisaaa..kwenye hili haji kakurupuka..kwani simba ni nani mpaka kusiwe na tetesi?? kazi ya haji ndo sio kumtisha mwandishi asiandike tetesi yeye anatakiwa aje either akubali kuwa tetesi ni zakweli or akatae then maisha yaendeleee

Tetesi zipo na zitaendelea kuwepo
Fabrizio Romano huwa anasema, wachezaji wamegombana na kocha?
Mara kagere ampiga kichwa kocha Sven?
Hivi hizi ni tetesi au lengo kuu ni kuwatoa watu mchezoni? Hasa katika ardhi yetu ya Tanzania ambapo kila kitu ni mtandaoni.
 
Simba kitenge anawanyoosha kweli kweli, na bado

Usisahau kumkumbusha Dada Kitenge kujibu ile Post ya Manara hasa zile hoja mbili za Kudondosha Herizi na kutimuliwa Radio one na ile ya kuwa na Bwana Marekani.
 
Back
Top Bottom