Kuna kiongozi yeyote wa CCM kalaani kauli ya RPC wa Dodoma kuhusu binti aliyebakwa?

Kuna kiongozi yeyote wa CCM kalaani kauli ya RPC wa Dodoma kuhusu binti aliyebakwa?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Baada ya RPC wa Dodoma kutoa kauli inayoonekana kuhalalisha kitendo cha binti kubakwa, watu wengi wakiwemo wanasiasa na wanaharakati, wamelaani kauli ile na kutaka RPC awajibishwe.

Hata kuondolewa kwa huyu RPC bila shaka ni matokeo ya watu waliopoza sauti na si vinginenyo.

Swali ni je, kuna kiongozi hata mmoja wa CCM aliejitokeza hadharani na kulaani hiyo kauli?

Inashangaza sana hata Raisi wa nchi japo ni mwanamke, sijui kama amewahi kutoa kauli yoyote kuhusu hili tukio walau kufariji umma wa watanzania kuhusiana na hili tukio.

Pia soma>> Polisi: Wanaotuhumiwa kubaka na kulawiti ni kama wavuta bangi, hawakutumwa na Afande, yule dada alikuwa kama anajiuza
 
Baada ya RPC wa Dodoma kutoa kauli inayoonekana kuhalalisha kitendo cha binti kubakwa, watu wengi wakiwemo wanasiasa na wanaharakati, wamelaani kauli ile na kutaka RPC awajibishwe.

Hata kuondolewa kwa huyu RPC bila shaka ni matokeo ya watu waliopoza sauti na si vinginenyo.

Swali ni je, kuna kiongozi hata mmoja wa CCM aliejitokeza na kulaani hiyo kauli?
Dr Gwajima amelaani ndiye aliyeongea na Masauni.

Naamini haya siyo maamuzi ya IGP bali ni amri ya Masauni ndio inetekelezwa na IGP.
 
Baada ya RPC wa Dodoma kutoa kauli inayoonekana kuhalalisha kitendo cha binti kubakwa, watu wengi wakiwemo wanasiasa na wanaharakati, wamelaani kauli ile na kutaka RPC awajibishwe.

Hata kuondolewa kwa huyu RPC bila shaka ni matokeo ya watu waliopoza sauti na si vinginenyo.

Swali ni je, kuna kiongozi hata mmoja wa CCM aliejitokeza na kulaani hiyo kauli?
Kwani RPC kasemaje? Kwa maneno yake mwenyewe. Kuna audio au video?

Mpaka sasa kuna utata wa alichosema RPC na alichoripotiwa kusema, msemqji wa Polisi kaandika waraka kuelezea hili.

See attached
Screenshot 2024-08-19 at 11.18.44.png
 
Baada ya RPC wa Dodoma kutoa kauli inayoonekana kuhalalisha kitendo cha binti kubakwa, watu wengi wakiwemo wanasiasa na wanaharakati, wamelaani kauli ile na kutaka RPC awajibishwe.

Hata kuondolewa kwa huyu RPC bila shaka ni matokeo ya watu waliopoza sauti na si vinginenyo.

Swali ni je, kuna kiongozi hata mmoja wa CCM aliejitokeza na kulaani hiyo kauli?

Inashangaza sana hata Raisi wa nchi japo ni mwanamke, sijui kama amewahi kutoa kauli yoyote kuhusu hili tukio walau kufariji umma wa watanzania kuhusiana na hili tukio.
Ypk stivu nyerere
 
Dr Gwajima amelaani ndiye aliyeongea na Masauni.

Naamini haya siyo maamuzi ya IGP bali ni amri ya Masauni ndio inetekelezwa na IGP.
IGP Wambura amepokea maagizo toka kwa Waziri Masauni baada ya Mama Gwajima kuingilia kati. Wambura huyo ni katili tu kama walivyo mapolisi wote alikuwa anajionea sawa tu kauli ya RPC wake.
 
Kwani RPC kasemaje? Kwa maneno yake mwenyewe. Kuna audio au video?

Mpaka sasa kuna utata wa alichosema RPC na alichoripotiwa kusema, msemqji wa Polisi kaandika waraka kuelezea hili.

See attachedView attachment 3074186
Swali lako lina mantiki lakini kwa tabia za Polisi wetu na danadana zinazoendelea wala watu hawahitaji evidence zaidi.

Inasemekana afande anayelindwa ni huyu.
IMG-20240812-WA0029.jpg
 
Swali lako lina mantiki lakini kwa tabia za Polisi wetu na danadana zinazoendelea wala watu hawahitaji evidence zaidi.

Inasemekana afande anayelindwa ni huyu.
View attachment 3074191

Siko hapa kuwatetea polisi, polisi wa Tanzania wana matatizo mengi sana.

Lakini, mpaka sasa sijaelewa kosa halisi la polisi kwa muktadha wa maongezi haya ni nini.

Kwa mujibu wa maelezo ya msemajinwa polisi (attached hapi juu post #6), RPC kaulizwa kama huyo binti alikuwa anajiuza. RPC akajibu hata kama binti alikuwa anajiuza, hakustahiki kufanyiwa hivyo.

Muandishi wa habari kaandika kuwa RPC kasema binti alikuwa anajiuza. Hatuoni hapo kuwa alichosema RPC na kilichoandikwa na muandishi ni vitu viwili tofauti?

Kama alichoandika msemaji wa polisi ni sahihi, muandishi akiandika hivyo kwa kutokujua au kwa kupotisha makusudi ili auze magazeti yake tu?

Naona kama kwenye thread hii, kwa hoja hii soecificalky, mpaka sasa, watu wanaoshutumu polisi wanaenda kwa mazoea na bila evidence wala fact.

Tunajua polisi wetu wanakosea sana, lakini pia tunajua kuwa waandishi wetu wa habari wanaharibu reporting sana.

Sasa, kwa kujua hayo yote na kusoma communique ya msemaji wa polisi, tunawezaje kujiridhisha polisi alisema nini na muandishi wa habari alichoandika kinaendana vipi na uhalisia wa alichosema polisi?

Muandishi wa habari ana recording ya sauti ya polisi ili kukanusha madai ya msemaji wa polisi?
 
Baada ya RPC wa Dodoma kutoa kauli inayoonekana kuhalalisha kitendo cha binti kubakwa, watu wengi wakiwemo wanasiasa na wanaharakati, wamelaani kauli ile na kutaka RPC awajibishwe.

Hata kuondolewa kwa huyu RPC bila shaka ni matokeo ya watu waliopoza sauti na si vinginenyo.

Swali ni je, kuna kiongozi hata mmoja wa CCM aliejitokeza hadharani na kulaani hiyo kauli?

Inashangaza sana hata Raisi wa nchi japo ni mwanamke, sijui kama amewahi kutoa kauli yoyote kuhusu hili tukio walau kufariji umma wa watanzania kuhusiana na hili tukio.
Nakumbuka wale wapumbavu walivyojitokeza kutoa tamko mtandao wa x twitter ufungwe.
Kwa sbb ya kuwepo na maudhui/content mabaya kwa taifa.

Ajabu wako kimya, kwa walio fanya unyama, ukatili na ushetani na wakaandaa maudhui mabaya na kusambaza.
 
Baada ya RPC wa Dodoma kutoa kauli inayoonekana kuhalalisha kitendo cha binti kubakwa, watu wengi wakiwemo wanasiasa na wanaharakati, wamelaani kauli ile na kutaka RPC awajibishwe.

Hata kuondolewa kwa huyu RPC bila shaka ni matokeo ya watu waliopoza sauti na si vinginenyo.

Swali ni je, kuna kiongozi hata mmoja wa CCM aliejitokeza hadharani na kulaani hiyo kauli?

Inashangaza sana hata Raisi wa nchi japo ni mwanamke, sijui kama amewahi kutoa kauli yoyote kuhusu hili tukio walau kufariji umma wa watanzania kuhusiana na hili tukio.
Kiongozi siyo kazi yake kulaani. Kazi yake kuongoza.

Hujawahi kusikia kauli ya Mkapa?
 
Back
Top Bottom