Kuna kiongozi yeyote wa CCM kalaani kauli ya RPC wa Dodoma kuhusu binti aliyebakwa?

Kuna kiongozi yeyote wa CCM kalaani kauli ya RPC wa Dodoma kuhusu binti aliyebakwa?

Muandishi anawajibika kutuwekea audio hapa. Tusijie mahojiano wenyewe. Ama sivyo aombe radhi kwa kupitisha maneno ya RPC kuhusu binti kujiuza.

Kwa sababu, msemaji wa polisi na RPC mwenyewe wamesema kuwa RPC hakusema kuwa binti alikuwa anajiuza.

Kwa mujibu wa msemaji wa polisi na RPC, RPC Aliulizwa kama binti anajiuza, akasema hata kama binti alikuwa anajiuza, hakustahili kufanyiwa hivyo.

Muandishi wa habari akaandika kuwa RPC kasema binti alikuwa anajiuza, kitu ambacho RPC hakusema.

Mpaka hapo, kama walichosema msemaji wa polisi na RPC ni kweli, muandishi wa habari kapotosha.

Ikiwa walichosema msemaji wa polisi na RPC ni sahihi, kuna uwezekano mkubwa kuwa muandishi wa habari kakosea kwa ujinga wake. Lakini uwezekano mkubwa zaidi ni kwamba muandishi wa habari kapotisha makusudi ili auze magazeti yake.

Muandishi wa habari anatakiwa ama kukubali makosa na kutuomba radhi kwa kutupa habari potofu, ama kutoa ushahidi (kama wa audio na mahojiano) kwamba msemaji wa polisi na RPC wanafanya spinning.

Mpaka hapo tu muandishi wa habari ana a big credibility issue na haaminiki chochote alichoandika, anaonekana ni mtu wa kuungaunga habari na kuweka nukuu nje ya muktadha.

Anatakiw akujieleza kwanza.

Haya hapa maongezi ya muandishi mwingine wa habari wa Bongo FM akimuhoji RPC kutaka kupata ufafanuzi zaidi kuhusu kauki hizo tata zilizoripotiwa na Mwananchi.


View: https://x.com/habaridigital_/status/1825486215514100164?s=48&t=jWAcnldKo9nLRz35dWFJbg

Ukiunganisha na kauli nyingine alizosema huyu RPC ambazo hajazikanusha siwezi kushangaa kwamba aliweza pia kusema huyo binti ni kama kahaba (either kwa kumlinda mmoja wa watuhumiwa muhimu au kutokuwa sensitive vya kutosha na kesi yenyewe). Hii kesi imeshakuwa na utata mkubwa kupita kiasi, huwezi kudhania tu kirahisi kwamba mwandishi wa mwananchi alipotosha kauli ya RPC na sio kwamba RPC mwenyewe na jeshi la polisi wanajisafisha kwa sasa baada ya kelele nyingi, shughuli itakuwa kama hakuna audio, lakini pia audio inaweza kuwepo na zikifanyika jitihada za makusudi kutoka upande mmoja kuipoteza, uwezekano wa kupata kauli sahihi katika haya mazungumzo ni finyu sana. Jambo la muhimu kwa sasa ni kesi ipelekwe mahakamani iendeshwe kwa haraka iishe watu waendelee na mambo mengine.
 
Dr Gwajima amelaani ndiye aliyeongea na Masauni.

Naamini haya siyo maamuzi ya IGP bali ni amri ya Masauni ndio inetekelezwa na IGP.

Narudia tena kitengo cha Mawasiliano "GESHI LA POLISH" kimepwaya ,watafute watu wenye taaluma hasa,critical thinkers wawape hizo nafasi....Afande Mallya amekuja kuweke petrol kwenye moto ulikuwa unaanza kupoa.
 
Muandishi anawajibika kutuwekea audio hapa. Tusijie mahojiano wenyewe. Ama sivyo aombe radhi kwa kupitisha maneno ya RPC kuhusu binti kujiuza.

Kwa sababu, msemaji wa polisi na RPC mwenyewe wamesema kuwa RPC hakusema kuwa binti alikuwa anajiuza.

Kwa mujibu wa msemaji wa polisi na RPC, RPC Aliulizwa kama binti anajiuza, akasema hata kama binti alikuwa anajiuza, hakustahili kufanyiwa hivyo.

Muandishi wa habari akaandika kuwa RPC kasema binti alikuwa anajiuza, kitu ambacho RPC hakusema.

Mpaka hapo, kama walichosema msemaji wa polisi na RPC ni kweli, muandishi wa habari kapotosha.

Ikiwa walichosema msemaji wa polisi na RPC ni sahihi, kuna uwezekano mkubwa kuwa muandishi wa habari kakosea kwa ujinga wake. Lakini uwezekano mkubwa zaidi ni kwamba muandishi wa habari kapotisha makusudi ili auze magazeti yake.

Muandishi wa habari anatakiwa ama kukubali makosa na kutuomba radhi kwa kutupa habari potofu, ama kutoa ushahidi (kama wa audio na mahojiano) kwamba msemaji wa polisi na RPC wanafanya spinning.

Mpaka hapo tu muandishi wa habari ana a big credibility issue na haaminiki chochote alichoandika, anaonekana ni mtu wa kuungaunga habari na kuweka nukuu nje ya muktadha.

Anatakiw akujieleza kwanza.

Haya hapa maongezi ya muandishi mwingine wa habari wa Bongo FM akimuhoji RPC kutaka kupata ufafanuzi zaidi kuhusu kauki hizo tata zilizoripotiwa na Mwananchi.


View: https://x.com/habaridigital_/status/1825486215514100164?s=48&t=jWAcnldKo9nLRz35dWFJbg

Napata mashaka na uwezo wako wa ku reasoning.
 
Nani abadilike? Abadilike nini?

Jenga hoja zako ueleweke, usiandike neno moja na kuacha sintofahamu unaongelea nini.
Upo JF mkuu sio FB humu umeshaelewa nini na maanisha na wapi mmeteleza na nini mnatakiwa kufanya au unafikiri ukiwa nyuma ya keyboard watu tutashindwa kuunganisha ABC?
 
Muandishi anawajibika kutuwekea audio hapa. Tusijie mahojiano wenyewe. Ama sivyo aombe radhi kwa kupitisha maneno ya RPC kuhusu binti kujiuza.

Kwa sababu, msemaji wa polisi na RPC mwenyewe wamesema kuwa RPC hakusema kuwa binti alikuwa anajiuza.

Kwa mujibu wa msemaji wa polisi na RPC, RPC Aliulizwa kama binti anajiuza, akasema hata kama binti alikuwa anajiuza, hakustahili kufanyiwa hivyo.

Muandishi wa habari akaandika kuwa RPC kasema binti alikuwa anajiuza, kitu ambacho RPC hakusema.

Mpaka hapo, kama walichosema msemaji wa polisi na RPC ni kweli, muandishi wa habari kapotosha.

Ikiwa walichosema msemaji wa polisi na RPC ni sahihi, kuna uwezekano mkubwa kuwa muandishi wa habari kakosea kwa ujinga wake. Lakini uwezekano mkubwa zaidi ni kwamba muandishi wa habari kapotisha makusudi ili auze magazeti yake.

Muandishi wa habari anatakiwa ama kukubali makosa na kutuomba radhi kwa kutupa habari potofu, ama kutoa ushahidi (kama wa audio na mahojiano) kwamba msemaji wa polisi na RPC wanafanya spinning.

Mpaka hapo tu muandishi wa habari ana a big credibility issue na haaminiki chochote alichoandika, anaonekana ni mtu wa kuungaunga habari na kuweka nukuu nje ya muktadha.

Anatakiw akujieleza kwanza.

Haya hapa maongezi ya muandishi mwingine wa habari wa Bongo FM akimuhoji RPC kutaka kupata ufafanuzi zaidi kuhusu kauki hizo tata zilizoripotiwa na Mwananchi.


View: https://x.com/habaridigital_/status/1825486215514100164?s=48&t=jWAcnldKo9nLRz35dWFJbg

Unaonekana kumtetea huyo RPC . Pole sana.

Muda utasema.
 
Napata mashaka na uwezo wako wa ku reasoning.
Hujaeleza uwezo wangu wa reasoning una matatizo wapi.

Inawezekana uwezo wako wa reasoning ni mdogo mpaka umeshindwa hata kujieleza.

Afadhali mimi nimejieleza kwa hoja zangu.

Jenga hoja, acha hizi logical fallacy za "ad hominem".

Umeandika logical fallacy ya "ad hominem".

Googoe hiyo, najua hujui.
 
Upo JF mkuu sio FB humu umeshaelewa nini na maanisha na wapi mmeteleza na nini mnatakiwa kufanya au unafikiri ukiwa nyuma ya keyboard watu tutashindwa kuunganisha ABC?
Kwa Kiranga hapo umemkosea adabu.

Kiranga ni one of JF icon, simaanishi yuko perfect kwa kila hoja
 
Baada ya RPC wa Dodoma kutoa kauli inayoonekana kuhalalisha kitendo cha binti kubakwa, watu wengi wakiwemo wanasiasa na wanaharakati, wamelaani kauli ile na kutaka RPC awajibishwe.

Hata kuondolewa kwa huyu RPC bila shaka ni matokeo ya watu waliopoza sauti na si vinginenyo.

Swali ni je, kuna kiongozi hata mmoja wa CCM aliejitokeza hadharani na kulaani hiyo kauli?

Inashangaza sana hata Raisi wa nchi japo ni mwanamke, sijui kama amewahi kutoa kauli yoyote kuhusu hili tukio walau kufariji umma wa watanzania kuhusiana na hili tukio.

Pia soma>> Polisi: Wanaotuhumiwa kubaka na kulawiti ni kama wavuta bangi, hawakutumwa na Afande, yule dada alikuwa kama anajiuza
CC Lucas Mwashambwa kwa utetezi
 
Ila mimi kwenye uzi huu nataka pia kuwamulika waandishi wa habari wanaopotosha ili kuuza magazeti yao.

Yani mtu kabakwa, halafu muandishi anapindisha maneno ili auze magazetu tu?

Kwa mujibu wa msemaji wa polisi na RPC.

Mahojiano yalienda hivi.

Muandishi: Binti alikuwa anajiuza?
RPC : Hata kama binti alikuwa anajiuza, hakustahili kufanyiwa hivyo.

Muandishi kaandika kichwa cha habari "RPC Asema Binti alikuwa anajiuza".

This is so wrong.
Kwa nini umekimbilia kumuamini huyu RPC na taarifa ya jeshi la polisi bila kusikiliza kwanza upande mwingine wa mwandishi wa mwananchi? Vipi kama mwandishi aliropiti kwa usahihi na sasa wanataka kumgeuzia kibao??
This is so wrong too
 
Unaonekana kumtetea huyo RPC . Pole sana.
Simtetei RPC. Kwanza mimi nina bias against Tanzanian police, sasa nitamtetea vipi polisi wakati mini bias yangu ni against the police?

Nimewalaumu pokisi hapo juu kwa kusema kesi ya mtu akiywchoma moto picha ya Samia inefikishwa mahakamani mara moja, hii wanaichelewesha, kwa nini? Sasa hapo namtetea vipi RPC?

Nimeweka communique ya msemaji wa polisi na link ya audio ya RPC.

Wote wanasema RPC hakusema binti alikuwa anajiuza.

Wanasema RPC aliulizwa kama binti alikuwa anajiuza.

RPC akajibu kuwa, hata kama binti alikuwa anajiuza, hakustahili kufanyiwa alivyofanyiwa.

Muandishi wa habari akaandika kuwa RPC kasema binti alikuwa anajiuza.

Sasa, kama kweli mahojiano yalikuwa hivyo, huoni kuwa huyo muandishi wa habari ni mzushi aliandika nukuu ya nje ya muktadha ili kuuza magazeti yaje tu?

Tutamuamini vipi muandishi kama huyo?

Hapo nimemtetea vipi RPC?

Kwa nini mnataka kuifanya hii habari iwe simple story ya "Us against them"?

Kwani haiwezekani ikawa pilisi wana makosa mengi, kama nilivyisema hapo juu, kwa mfano, wamechelewesha kuifikisha kesi mahakamani, halafu pia, kuna waandishi wa habari washenzi, wanataka kupindisha maneno ili kuuza magazeti yao wakati kuna mtu kabakwa?

Haiwezekani mawili yote yakawa kweli?

Where does this false dichotomy come from?
 
Kwa nini umekimbilia kumuamini huyu RPC na taarifa ya jeshi la polisi bila kusikiliza kwanza upande mwingine wa mwandishi wa mwananchi? Vipi kama mwandishi aliropiti kwa usahihi na sasa wanataka kumgeuzia kibao??
This is so wrong too
Nimemtaka muandishi aweke audio.

Muandishi kashutumiwa kuandika uongo, hajajibu tuhuma.

Usipojibu tuhuma, unaacha ombwe la habari linalofanya tuhuma zile ziaminike.

Muandishi wa habari anatakiwa kujua hilo.

Muandishi kajibu wapi tuhuma za polisi?

Unataka kuniambia Tanzania hakuna waandishi wa habari wanaopindisha habari ili kuuza magazeti?

Kwa nini muandishi hajibu tuhuma za polisi kwamba kaandika uongo?
 
Simtetei RPC. Kwanza mimi nina bias against Tanzanian police, sasa nitamtetea vipi polisi wakati mini bias yangu ni against the police?

Nimewalaumu pokisi hapo juu kwa kusema kesi ya mtu akiywchoma moto picha ya Samia inefikishwa mahakamani mara moja, hii wanaichelewesha, kwa nini? Sasa hapo namtetea vipi RPC?

Nimeweka communique ya msemaji wa polisi na link ya audio ya RPC.

Wote wanasema RPC hakusema binti alikuwa anajiuza.

Wanasema RPC aliulizwa kama binti alikuwa anajiuza.

RPC akajibu kuwa, hata kama binti alikuwa anajiuza, hakustahili kufanyiwa alivyofanyiwa.

Muandishi wa habari akaandika kuwa RPC kasema binti alikuwa anajiuza.

Sasa, kama kweli mahojiano yalikuwa hivyo, huoni kuwa huyo muandishi wa habari ni mzushi aliandika nukuu ya nje ya muktadha ili kuuza magazeti yaje tu?

Tutamuamini vipi muandishi kama huyo?

Hapo nimemtetea vipi RPC?

Kwa nini mnataka kuifanya hii habari iwe simple story ya "Us against them"?

Kwani haiwezekani ikawa pilisi wana makosa mengi, kama nilivyisema hapo juu, kwa mfano, wamechelewesha kuifikisha kesi mahakamani, halafu pia, kuna waandishi wa habari washenzi, wanataka kupindisha maneno ili kuuza magazeti yao wakati kuna mtu kabakwa?

Haiwezekani mawili yote yakawa kweli?

Where does this false dichotomy come from?
Ukiona mpaka wameamua kumuweka pembeni huyo RPC, ujue si bure. Na huyo Mwandishi angekuwa amepotosha, sidhani kama angekuwa salama muda huu.

Anyway, tuache muda utaongea.
 
Nimemtaka muandishi aweke audio.

Muandishi kashutumiwa kuandika uongo, hajajibu tuhuma.

Usipojibu tuhuma, unaachabombwe la habari linalofanya tuhuma zile ziaminike.

Muandishi wa habari anatakiw akujua hilo.

Muandishi kajibu wapi tuhuma za polisi?

Unatakankuniambia Tanzania hakuna waandishi wa habari wanaopindiaha habari ili kuuza magazeti?

Kwa nini muandishi hajibu tuhuma za pilisi kwamba kaandika uongo?
Hili jambo sio rahisi kama unavyotaka kulirahisisha.
Kwanza uwezekano wa kuwepo audio au audio yenyewe kama iwepo kuwekwa public ni mdogo kwa sababu ya sera za kampuni au sheria za nchi kuhusu ni maongezi ya gani hasa yanaweza kurekodiwa na yanaweza kuwekwa public. Hatujui kama polisi tayari wameshawafikia Mwananchi na mwandishi mwenyewe na wamezungumza nini, nakumbuka hata Ruge hakuitoa clip ya Bashite kuvamia Cluods kirahisi, alisema mwenyewe ilihitaji ujasiri kufanya hivyo. Hizi kesi za watu wakubwa popote pale zina vurumai nyingi sana ni vyema kumpa benefit of doubt mwandishi wa mwananchi mpaka sasa.
 
Ukiona mpaka wameamua kumuweka pembeni huyo RPC, ujue si bure. Na huyo Mwandishi angekuwa amepotosha, sidhani kama angekuwa salama muda huu.

Anyway, tuache muda utaongea.
Sijasema RPC hajakosea. Mpaka sasa watuhumiwa kutofikishwa mahakamani tu ni issue. Nimetaja hii kama issue hapo juu.

Na mpaka sasa, kwa kuangalia rekodi ya majibizano, muandishi anaonekana alipotosha, tena inavyoonekana ni kwa makusudi ili auze gazeti lake tu

Kama hajapotosha, ajitokeze na kuweka rekodi yake sawa.

Hizi habari za asingekuwa salama zinatuondoa kwenye mazungumzo yaliyo evidence based tunaleta conjecture.

Waandishi wa habari wanatakiwa kusimamia haki za wanajamii wote.

Sasa muandishi wa habari gani anayesingiziwa uongo yeye mwenyewe na kukaa kimya tu?

Yani ni hivi, hata kama polisi wanamzushia muandishi wa habari kuwa kawazushia uongo polisi, muandiahi wa habari kukaa kinya bila kujibu ni kosa.
 
Back
Top Bottom