Kuna kiongozi yeyote wa CCM kalaani kauli ya RPC wa Dodoma kuhusu binti aliyebakwa?

Kuna kiongozi yeyote wa CCM kalaani kauli ya RPC wa Dodoma kuhusu binti aliyebakwa?

Namsikiliza mtu hapa anasema RPC kasema binti alikuwa anajiuza.

Yani watu hawawezi kufuatilia habari kabisa.

Halafu wanajadili mambo kwa emotions badala ya facts.
Kibongo bongo hakuna~ga kujadili mambo kwa facts.

Hata mijadala iliyo mingi hujadiliwa watu na sio issues.....kibongo bongo. Udaku unapewa nafasi kubwa sana kuliko uhalisia
 
Kibongo bongo hakuna~ga kujadili mambo kwa facts.

Hata mijadala iliyo mingi hujadiliwa watu na sio issues.....kibongo bongo. Udaku unapewa nafasi kubwa sana kuliko uhalisia
Halafu mijadala yote ni kama Simba na Yanga, lazima uwe team polisi au team wananchi.

Ukimsema muandishi wa habari kwa kuwa kaharibu kuandika, kaandika uongo baada ya kumuhoji RPC (polisi), hapo lazima uwachanganye sana wananchi.

Wao kiu yao ni kuwananga polisi tu.

Ukisema polisi wana matatizo mengi, lakini hapa muandishi wa habari pia kakosea, unawaharibia kabisa watu story yao ya kwamba polisi wote ni mashetani muda wote na muandishi wa habari akiwasema vibaya polisi hawezi kuwa kakosea.

Yani watu wengi hawawezi kukubali kwamba inawezekana polisi wakawa wamekosea na muandishi wa habari naye akawa kakosea, tunatakiwa tujirekebishe kote, kw apolisi na kwa muandishi wa habari.
 
Halafu mijadala yote ni kama Simba na Yanga, lazima uwe team polisi au team wananchi.

Ukimsema muandishi wa habari kwa kuwa kaharibu kuandika, kaandika uongo baada ya kumuhoji RPC (polisi), hapo lazima uwachanganye sana wananchi.

Wao kiu yao ni kuwananga polisi tu.

Ukisema polisi wana matatizo mengi, lakini hapa muandishi wa habari pia kakosea, unawaharibia kabisa watu story yao ya kwamba polisi wote ni mashetani muda wote na muandishi wa habari akiwasema vibaya polisi hawezi kuwa kakosea.

Yani watu wengi hawawezi kukubali kwamba inawezekana polisi wakawa wamekosea na muandishi wa habari naye akawa kakosea, tunatakiwa tujirekebishe kote, kw apolisi na kwa muandishi wa habari.
Sahihi 💯%. Wabongo uwezo wetu katika kufikiri na kuchakata mambo kwa uweledi bado tupo nyuma mno.

Hawakawii kukwambia wewe sio mzalendo kisa tu umezingumzia uhalisia wa jambo badala ya hisia na mihemko
 
ANATAFUTWA NA WABAKAJI WASIO AJIRA IJALISHI NI JOBLESS AU MNYWA SODA AU SIO MVUTA BANGI UKIMUONA JISHINDIE ILI KUTIMIZA WAKALA RPC
IMG-20240812-WA0029.jpg
 
Baada ya utumbuzi watakuja mbio shenz zao....utawaskia (huku wamebana pua)..."NAISHUKURU THELIKALI YA AWAMU YA THITA CHINI YA UONGODHI WAKE LAITHI DAKITALI THAMIA THULUU HATHANI KWA KUJALI UTU WA MWANAMUKE..*👹👹
Yaani hii mijitu,basi tu....hawajui wanikeravyo!
 
Swali ni je, kuna kiongozi hata mmoja wa CCM aliejitokeza hadharani na kulaani hiyo kauli?
ccm wapo bize kuanda counter reactions. Utasikia kuna tamasha la buree mahali likisheheni wasanii. Au utasikia goli la mama! Au utasikia kuna tenguzi/teuzi au mapokezi!
Ilmradi tu wateke akili za wadanganyika!

Kwa Gekuli, RC mfiraji, kesi ya madada poa, dhulma ya Mbeya, ubakaji/ufiraji binti wa Yombo n.k si SSH wala ccm yake wana ujasiri wa kusema chochote.
Tafsiri ipo wazi!
 
Swali lako lina mantiki lakini kwa tabia za Polisi wetu na danadana zinazoendelea wala watu hawahitaji evidence zaidi.

Inasemekana afande anayelindwa ni huyu.
View attachment 3074191
Kuna watu karma yao ikisha fika ni hawalindiki hata ufanyeje hutofanikiwa,Karma lazima ipige pigo lake takatifu,na wwe mtetezi uchwara ukijichanganya tu inakula kwako pia!!
 
Back
Top Bottom