katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
Yaani huyu mtu sio wa humu nimefundishwa humu niache umalaya wa mdomo nije kusocialize. So kuna jamaa yangu mmoja anamzungu huyu jamaa alitoka tz akaenda kusoma sasa kwa miaka mingi akarudi na mkewe nawatoto.
Kama kawaida wakamkanyaga akafilisika kiasi fulani so hivi ninavyoongea asingekuwa amejenga. Angekuwa hana ramani ifikie kuapprociate na kuacha uchawi.
Wenzetu wanasoma , wanaweka jitihada kwenye maendeleo. Ila wa tz kwa kuchafua mtu hamjamboo.
Hii nikweli kabisa... Hivi hizi tabia zakuharibu watu kama huyu watu waataacha lini ???mzee wawatu ni kutukana na kunywa ovyo na hana tena future ya kilichonleta ni pombe tu.
INAKATISHA TAMAA KABISA
Kama kawaida wakamkanyaga akafilisika kiasi fulani so hivi ninavyoongea asingekuwa amejenga. Angekuwa hana ramani ifikie kuapprociate na kuacha uchawi.
Wenzetu wanasoma , wanaweka jitihada kwenye maendeleo. Ila wa tz kwa kuchafua mtu hamjamboo.
Hii nikweli kabisa... Hivi hizi tabia zakuharibu watu kama huyu watu waataacha lini ???mzee wawatu ni kutukana na kunywa ovyo na hana tena future ya kilichonleta ni pombe tu.
INAKATISHA TAMAA KABISA