Kuna kisa cha kweli kwa fumanizi ambalo mwanaume aliekutwa kalala na mke wa mtu aliachwa aondoke kwa amani, hali yake ilikuwaje?

Kuna kisa cha kweli kwa fumanizi ambalo mwanaume aliekutwa kalala na mke wa mtu aliachwa aondoke kwa amani, hali yake ilikuwaje?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Huwaga naskia stori kwamba kwenye fumanizi ni heri upewe kichapo kizito sana kuliko uachwe uende kwa amani.

Kuna kisa ambacho kimetamba sana ila nadhani ni stori ya kijiweni tu nadhani wengi mtakua mmesikia, Hapa tumiwite mwenye mke anaitwa Michael, sasa kuna siku Michael alistukiza kurudi kininja nyumbani kwake akamkuta jamaa anakamua mzigo wa wife, Michael alipoingia chumba cha tukio alienda kabatini kuchukua begi la kazini, yeye akawaambia mnaweza kuendelea wala msihofu , jamaa hakuweza kuendelea aliondoka hapo, akawa ni mtu wa mawazo sana alafu ila Michael akimuona anampungia mkono kabisa, hata alipohama mji Michael alienda kumsalimia huko alikohamia, kiufupi jamaa ni kama alipatwa na uchizi flani hivi. wife alitoroka kurudi kwao ila huko kwao hataki kusema kilichotokea, Michael anaenda huko kwao kutaka kumrudisha binti analia machozi mpaka basi yani.

kuna kisa cha kweli ambacho mtu anacho akiweke hapa.
 
I will forgive, forget. Life is full of misfortunes
 
Huwaga naskia stori kwamba kwenye fumanizi ni heri upewe kichapo kizito sana kuliko uachwe uende kwa amani.

Kuna kisa ambacho kimetamba sana ila nadhani ni stori ya kijiweni tu nadhani wengi mtakua mmesikia, Hapa tumiwite mwenye mke anaitwa Michael, sasa kuna siku Michael alistukiza kurudi kininja nyumbani kwake akamkuta jamaa anakamua mzigo wa wife, Michael alipoingia chumba cha tukio alienda kabatini kuchukua begi la kazini, yeye akawaambia mnaweza kuendelea wala msihofu , jamaa hakuweza kuendelea aliondoka hapo, akawa ni mtu wa mawazo sana alafu ila Michael akimuona anampungia mkono kabisa, hata alipohama mji Michael alienda kumsalimia huko alikohamia, kiufupi jamaa ni kama alipatwa na uchizi flani hivi. wife alitoroka kurudi kwao ila huko kwao hataki kusema kilichotokea, Michael anaenda huko kwao kutaka kumrudisha binti analia machozi mpaka basi yani.

kuna kisa cha kweli ambacho mtu anacho akiweke hapa.
Huyu michael ni mwanaume kweli kweli. Mke kutomber sio kitu cha kukupa stress bwana, hela ndio ikupe stress
 
Huwaga naskia stori kwamba kwenye fumanizi ni heri upewe kichapo kizito sana kuliko uachwe uende kwa amani.

Kuna kisa ambacho kimetamba sana ila nadhani ni stori ya kijiweni tu nadhani wengi mtakua mmesikia, Hapa tumiwite mwenye mke anaitwa Michael, sasa kuna siku Michael alistukiza kurudi kininja nyumbani kwake akamkuta jamaa anakamua mzigo wa wife, Michael alipoingia chumba cha tukio alienda kabatini kuchukua begi la kazini, yeye akawaambia mnaweza kuendelea wala msihofu , jamaa hakuweza kuendelea aliondoka hapo, akawa ni mtu wa mawazo sana alafu ila Michael akimuona anampungia mkono kabisa, hata alipohama mji Michael alienda kumsalimia huko alikohamia, kiufupi jamaa ni kama alipatwa na uchizi flani hivi. wife alitoroka kurudi kwao ila huko kwao hataki kusema kilichotokea, Michael anaenda huko kwao kutaka kumrudisha binti analia machozi mpaka basi yani.

kuna kisa cha kweli ambacho mtu anacho akiweke hapa.
Kwanza umetupa chai ili tukupe.madini
 
Back
Top Bottom