Hahahah K Vant ni gongo iliochangamka πππ huwa tunatumia tukifulia tu!Hapana, msingi ni mtu kupata mix of taste kati ya K vant na any other taste.
Lakini sishauri unywaji K vant mixed na energy drink, insteady mnywaji atumie kinywaji kama Tonic water au soda water.
Over
Hahahah hapo Al Haji jiwe alikuwa hajakamata nchi bado! πππKuna boss flani wa police mwaka 2014 tulimualika sehemu(tulikua watatu) pale Arusha ilikua, akaagiza hio kitu akainywa kiasi then akachukua na take away akisema ni ya mke wake.
Laki 5 ikawa imetutoka hio(250,000Γ2) watu wakabaki wanatoa macho tu,wkt sisi wenyeji wake tulikua tunakunywa castle lager tu.,hahah.
We mitungi lazma ulie kwenye kelele eeh πππNaona kama ni wewe ndo upo hivyo thats why limekuwa wazo lako la kwanza ukahimishia kwangu,
Unawezaje kusemea taste anayofeel mtu mwingine?
Yaani how?
Mie pombe ya kunywea ndani haina ladha hata robo.
Kibongo kwenye 150k ambayo ni kama $60+ hv kwa marekani ambayo ni hela ndogo sana tofauti na Ace of spade zinauzwa $900 na kuendeleaIla vipi kibongo bongo imesimamaje sokoni?
Hako ka gari ni kaajabu hata hakanistuagi. Kamekaa utadhani king'amuzi cha startimesNothing special with Hennessy ni trending tu kwa wabongo
Kama unavyoona trending kwenye gari aina ya Rumion kwa wabongo
Hahahah ndio mangi jamaa alimchukulia na mkewe aiseee,sijui alikua anatupima imani au la maana tulikua tunaongea nae inshu ya mpunga.Hahahah hapo Al Haji jiwe alikuwa hajakamata nchi bado! πππ
Kwahio chupa moja yake moja ya mkewe...