Huwa tunatunza post za wanafiki, leo atakwambia mimi sina dini, kesho atakwambia mimi Mkatoliki, ili mradi afanye justification ya kile anachotaka kupost wakati huo. Mimi nina server yangu kabisa kwa ajili ya vitu kadhaa, na JF huwa naweka backup mida fulani fulani
Hawaji makaasisi kukuzika.Uzuri wake ni kuwa usipotoa si kosa la jinai.
Sawa na kusema mtu alietapewa, ametapeliwa kwa hiyari yake...Huwa nawashangaa watu wanapolalama kwenye institution ambayo kujiunga na kutoka ni hiyari na tena haulazimishwi kutoa chochote.
Kama unaona makanisa yaliyopo hayafai, si kasajili la kwako Wizara ya mambo ya ndani uweke utaratibu unaouona unafaaa?
Huwezi tengwa na kanisa ama kunyimwa huduma?Uzuri wake ni kuwa usipotoa si kosa la jinai.
Kwa umri aliofikia hadi kujiunga JF mwaka 2010, ni dhahiri unamtosha kuwa ameshaamua kuendelea na dini ya waafrika, ambayo haina mabenchi ya kuinuliwa mara saba kwenda kutoa sadaka... amezaliwa amejikuta yeye ni Mrc hivyo hana budi kuamini alivyorithishwa....
Hongera Sana Mkuu, MUNGU akubariki sana.Lengo lako upate support?
Mimi nimetoa shukrani mwaka huu laki 6.
Wala sijaona nilipopungua.
Unataka hadi mfalme wa Morocco aje aombwe kukujengea kanisa?
Hata vichaa huwa wanawaona wengine kuwa haziwatoshi, kwa hiyo unastahili kutuona hivyo..., akili zangu si kama zako shake well before use.
Umemjibu vizuri.Hata vichaa huwa wanawaona wengine kuwa haziwatoshi, kwa hiyo unastahili kutuona hivyo
Hataree
Mm pia natoa sadaka tu na zakaMimi naamini sadaka na zaka ndio michango ninayopaswa kutoa......
hayo mambo mengine yamekaa kimchongo zaidi
Mm najiulizaga pia..Hiyo sio sbb, sadaka za Jpili peke yake zinatosha sana, na kanisa ina miradi mikubwa mingi sana, iweje ikamue waumini kiasi hicho.
Kwnn kanisa liwe na matumizi makubwa hivyo, kisa ni nn? Yesu hakuwa na hayo yote, ukiona hivyo ni binadamu wanakula fedha hizo na kuzitumia sbb zinapatikana bure bure.
Mimi kanisani naenda wakati wa Pasaka na Christmas tu, siku nyinginezo nasali kwangu na familia yangu, makanisa yamekuwa tofauti kabisa, ni kukusanya fedha na michango isiyoisha, imekuwa biashara ya uhuni sana, narudia, Yesu Kristo hajawahi kuwa hivyo, full stop
Sisi leo tumeingia saa moja kasoro,ibada ikaanza saa moja kamili,tulianza kwa kuimba hadi saa tatu na robo,mahubiri yakaanza hiyo tatu na robo hadi saa sita na dakika 25,ikafuata sadaka session,hiyo ilienda hadi kama saa saba kasoro kidogo,ikafuatia mnada wa sadaka,ikaenda sijui hadi saa nane kasoro,ndiyo tukatoka,tukasimama hapo nje kuagana kwa dakika tano,nilipoingia kwenye gari niondoke mara mwinjilisti kagonga dirisha,eti samahani mtumishi,naomba usiondoke,tuna kikao kifupi cha kama robo saa tu hivi,nimetoka hapo saa kumi na madakika yake,na bado kuna semina inaendelea ndaniUkishaingia mfumo wa jumuia lazima utowe pesa ya kuwa mkatoliki kila mwezi.
Pili harambee za kipuuzi na sadaka nyingi kwenye ibada inaondoa system ya kikatoliki ambayo tulizoea ibada ya misa ya jumapili ni lisaa limoja na nusu tu na ikizidi kwa special case ni masaa mawili tu, sasa kwa huu upumbavu ulioanza ibada inakwenda mpaka masaa matatu, misa ya kwanza mnaingia saa 12 asubuhi mnatoka saa mbili na kitu.
Amina kiongozi. Matoleo hayakuanza Leo tangia Kaeni na Abel miaka mingi nyuma. Leo hii kijana shababi analalamika bahasha ya elfu 10. Kila sehemu kuna michango haya makanisa na misikiti hayajashuka tu kama mvua yamejengwa na michango ya watuHongera Sana Mkuu, MUNGU akubariki sana.
Hata Ukipata Msiba usipoangalia unaweza ita Shehe akufanyie ibada maana Kanisa linagoma,mchungaji harushi mguu msibani.Siku hizi mamilooo, usipotoa ni kosa kwani wanaangalia registaa, hivyo huduma za kikanisa kama vile ubatizo, ndoa nk haupati.
Watu ni ngumu kuelewa. Ni kweli kanisa litajengwa na wauminiMimi naamini sadaka na zaka ndio michango ninayopaswa kutoa......
hayo mambo mengine yamekaa kimchongo zaidi
Kanisa litajengwa na Waumini (Absolutely !!!).Haya mambo yanaumiza, sitaki niandike sana ila haya makanisa ukireason sana utaishia kusalia nyumbani tu.
Kanisani nitaenda ila msimamo wangu kuhusu michango hautoyumba, principle ni moja tu, kutoa kadri ya uwezo wangu na nilivyoguswa na si vinginevyo.
Wakinifuata viongozi nitawajibu live bila chenga, tatizo nasi wabongo waoga sana.
Hata Ukipata Msiba usipoangalia unaweza ita Shehe akufanyie ibada maana Kanisa linagoma,mchungaji harushi mguu msibani.
Bahasha ya ahadi lazima iwe imechangamka changamka kidogo umejaza raw kazaa palee.
Tatizo ni maneno laini amna ndio nimelionaWakati unatusifia Waislamu, sisi huku wenyewe tunatamani tungekuwa na moyo wa kutoa sadaka kama wenu.
Sisi ni changamoto watu wazito kutoa sadaka, madrasa na misikiti mingi inahitaji ukarabati na shule pia. Ila watu wetu wazito mno wa kutoa sadaka. Sadaka mpaka zitokee kwa waarabu ndio madrasa zijengwe
Unajua kwamba kwa sasa kuna wimbi kubwa la makanisa ya wachungaji binafsi, kwa hiyo lazima Paroko ajiridhishe na Ukatoliki wako. Sasa kama rejesta inaonyesha hauhudhurii jumuiyani, na kanisani hauonekani, ni ishara gani hiyo? Kwamba unawezaje kujiita Mkatoliki wakati haushiriki jambo lolote linaloelekezwa na Kanisa Katoliki? Ndoa hutaki kufunga, unaishi tu na mtu wako, nani atakuchukulia kama wewe ni Mkatoliki? Hakuna Paroko atakayekunyima huduma kwa kigezo cha kutoa fedha, ila ubatizo, ndoa na mahudhurio kanisani vinaweza kukuondolea sifaSiku hizi mamilooo, usipotoa ni kosa kwani wanaangalia registaa, hivyo huduma za kikanisa kama vile ubatizo, ndoa nk haupati.
Si ndio hapo!!!, Halafu unakuta pesa yake anaimalizia kwenye ishu za kipuuzi kweli kweli.Amina kiongozi. Matoleo hayakuanza Leo tangia Kaeni na Abel miaka mingi nyuma. Leo hii kijana shababi analalamika bahasha ya elfu 10. Kila sehemu kuna michango haya makanisa na misikiti hayajashuka tu kama mvua yamejengwa na michango ya watu