idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,364
Huwa tunatunza post za wanafiki, leo atakwambia mimi sina dini, kesho atakwambia mimi Mkatoliki, ili mradi afanye justification ya kile anachotaka kupost wakati huo. Mimi nina server yangu kabisa kwa ajili ya vitu kadhaa, na JF huwa naweka backup mida fulani fulani
Mkuu mbona ulicho quote ni kile kile, amezaliwa amejikuta yeye ni Mrc hivyo hana budi kuamini alivyorithishwa.... post ya pili anahoji ina maa waafrika hatuna imani zetu za asili