Kuna kitu hakipo sawa makanisani, ni muda wa wakristo kuamka na kuhoji

Aya ya mwisho tayari inathibitisha wewe siyo mkatoliki.
 
Ndiyo maana nimesema wewe siyo mkatoliki tena, itakuwa unajilazimisha tu ili uwe huru ubadili dini uwe Muslim, maelezo yako yanakuelezea na kuonyesha imani yako juu ya dini inaelekea upande hupi.
 
Mkuu fikilia Sana imani zingini ni kukomoana tu bora waislamu ya menyewe ni kuswali tu basi.
 
Hahahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu mbona vitu vidogo tu ndugu!
Utatafuta mbadala mfano kuku au mbuzi.
 
Waislamu wanajali sana muda yaani wao siku ya Ijumaa wanaingia kama saa saba na ushee lakini saa nane tu tayari walishatoka.
Halafu zile sala zao fupifupi yaani ni Kama kanu saa au dakika 20 tu hao duh.
Time management hapa wapo vizuri.
 

Kwakweli waislam ukiugua hata mskitini inasemwa unachangiwa bd kuna wale wa kujitolea kutembelea wagonjwa wasojiweza na kuwapa misaada ya vyakula na dawa
 
Ukifiwa ndipo jinai unaiona
guys ! sikuzote kaa mkijua padre au mchungaji hawezi kukupeleka kwa mbingu( kama waamini mbingu). Matrndo yako ukiwa hai yatakupeleka. Hivyo basi wakuzike wasikuzike hawasaidii chochote. Hata ukizikwa na jiji poa tu
 

Na kwenye biblia hamna why watu hawahoji?!
 
kimsingi miradi ya kanisa haina faida ya moja kwa moja kwa muumini asilani. Utadikia eti wanajenga shule na wakati huwezi kumpeleka mwanao akasoma bure kwenye shule zao. Na hata hospitali zao kama huna hela hutibiwi na wakati sadaka na michango unatoa. Kwa ufupi, haya madhehebu yana fanya biashara tu. na ni wakati muafaka wa sisi waumini kuamka
 
ukristo wako uko na muumba wako na sio mwanadamu mwenzio. Padre/ mchungaji ni mwanadamu kama wewe , ana mahitaji kama ww tena wanaspend hata kukuzidi. Ni ww kuamua kuwa kitegauchumi chao au kujikomboa.
 
huu ni uongo na misconception. Kristo alipokufa msalabani aliwakomboa wanadamu wote. Pesa yako haiwezi kumwokoa mtu aliyekwisha kufa, wake up.
 
Mkuu pole sana kwa yaliyomkuta bi mkubwa! Tatizo linakuja pale mtu mweusi anapojivika kazi ya Mungu na kujiona bira kuliko mwenzake. Hebu jiulize hivi sadaka yako unayotoaga kanisani ungekuwa anawasaidia wasiojiweza ni wapi ungepata baraka zaidi? These churches are just institutions established by human beings to fullfull thier objectives. Time to wake up
 
U nailed it
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…