Makanisa ya kina Masanja, MC pilipili, Mwamposa, Gwajima n.k nayo unayaweka kwenye hili kundi la kunyimwa misaada?Zamani makanisa yalikuwa yanapata sana misaada toka nje lakini kwa sasa nje hawatoi sana misaada (wanasema mioyo yao kuhusu dini imepoa) so inabidi makanisa yajiendeshe yenyewe. Hapo ndipo uhitaji mkubwa wa hela unapoanzia
Viongozi wa Dini watafute kazi za kufanya, waache kutegemea sadaka kuendesha maisha Yao, kazi ya kuingoza ibada malipo yake ni mbinguni.Kwakuwa waislamu wanajitambuwa sana katika hili ni wakati sasa kwa wakristu wote kuamka na kupinga dhulma hii ambayo cha kusikitisha sasa imeingia radmi kanisa katoliki na hakuna hata mkatoliki mmoja aliwahi kuhoji miradi yote ya kanisa hadi mkombozi bank ipo kwa faida ya nani na inalisaidia vipi kanisa?
Tumsifu Yesu kristu.
Allah atakuongoza katika njia iliyosahihi
Kwani wasipokuzika wao ndio wanaamua kwenda paradiso au motoni?Ukifa hawakuziki. Hapo ndipo wametushika pabaya
karibuuuuKuweni waislamu, Kule mpaka chenchi wanarudisha ukitoa buku unarudishiwa jero lako ngoja nifikirie
,Life is a choice
Missionaries vs Explorers, Traders vs Missionaries & Explorers vs Traders
Kwa ufupi tu, wanapojenga kitegauchumi maanake wanataka kuondokana na michango kutoka kwa waumini, hiyo michango sio ya uhakika sana kama faida itokayo bank, shule, hospital nkNilijuwa watetezi hamuwezi kukosekana, hebu nieleze tu miradi ya kanisa katoliki ina faida gani kwa kanisa? Na ile benki yetu ya Mkombozi inalifaidisha vipi kanisa?
Kwani huko nyuma tuliweza vipi kujenga makanisa na mashule kwa sadaka za kawaida bila huu uharamia mpya ulioingia? Ni nini kilichobadirika?
Sisi parokia yetu ilikuwa na vigango vitatu na vyote vimekuwa parokia sasa zenye makanisa makubwa tu, tuliwezaje hayo kwa mwendo wa kawaida bila watu kunung'unika na leo kimebadirika nini?
Uzuri wake ni kuwa usipotoa si kosa la jinai🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wambie huna hela wakikulazimisha na utishie kujitoa roho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hutatoa lakini ni kama utakuwa unashambuliwa kisaikolojia! Kila wenzako wakiamka kutoa sadaka hii ama Ile wewe umekaa TU benchi Sio Kwa kupenda Bali Hata Hela kula huna! Kwa Nini uende Tena Kanisani!Uzuri wake ni kuwa usipotoa si kosa la jinai.
Kwani mkisema sadaka ya maintenance ya kanisa kuna shida gani?Toa ndugu toa ndugu..ulichonacho..halafu unataka usitoe hilo kanisa litapelekaje injili..unataka usitoe hilo kanisa litalipaje wahudumu..unataka usitoe hilo kanisa litalipaje bills tofauti kama umeme na maji...unataka usitoe hilo kanisa litafanyeje logistics mbali mbali...unataka usitoe maintaince na repairs ya vifaa na miundombinu mbalimbali utatoa wewe.??
Acha kulalamika sana kama huna hela kaa kutulia
Uzuri hujalazimishwa..ila mkristo wa kweli hawezi kuona kama ni wizi mana hayo ndio mahitaji muhimu ya kuendesha taasisi.
Kingine kutoa ni upendo..kiwango itachojaliwa kutoa kinatosha sana.
Kama unaona hufiti nenda huko ambako hawatoi sadaka..hakuna aliyekushikiria unabaki kanisani.
Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi nyote.
#MaendeleoHayanaChama
Hakuna taasisi yeyote ya kidini inayotufikia kanisa katiliki kwa investment lakini mbona hali inazidi kuwa mbaya?Kwa ufupi tu, wanapojenga kitegauchumi maanake wanataka kuondokana na michango kutoka kwa waumini, hiyo michango sio ya uhakika sana kama faida itokayo bank, shule, hospital nk