king suleman
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 1,749
- 1,149
Kila mmoja anavutia kwake, apa Alie leta malalamiko ni Christian hakuna sehem hakuna changamoto, hata uko kwenu zipo Tena Sana sema haziwa displayed, ninazijua baadhi lakin siwez ziweka apa eti kushindanisha , big no sisi tubakitu kinaitwa upendo yaan kumpenda Mungu pasipo upeo, personal siwez lalamikia michango kanisan even if waseme nilete my whole salary , I love God personally Ila huwa nasikia watu wanasema michango mingi binafsi sijawah ona kama Kuna michango hata mmoja , kila siku naona ni shamba jipya linatangazwa la kupanda naona fursa ,Mkuu kwa iyo situation ilokukuta haihitaji kufikiria mara 2 kua kanisa linakunyonya.
Sasa kma anaumwa mbona kanisa halimsaidii kitu ila wao ndo wanataka?
Laiti angekua Muislamu huyo waislamu wangejichanga wangemuhudumia badala ya yy kudaiwa huduma
Uislamu ni dini ya haki
Kwa Hy tunatofautiana jinsi tunavo ona ,kwa kifupi tu Kuna watu wanalipa mchango ya mwezi ujao yaaan anatoa anasema kama mwez ujao kutakua na michango mingine ela hii apa kateni ,
Yupo huyo mtu na huwa hataki matangazo mm namjua kwa kua naishi nae,
Karibu kwa yesu