Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,167
- 5,613
Huwa nawashangaa watu wanapolalama kwenye institution ambayo kujiunga na kutoka ni hiyari na tena haulazimishwi kutoa chochote.Uzuri wake ni kuwa usipotoa si kosa la jinai.
Kama unaona makanisa yaliyopo hayafai, si kasajili la kwako Wizara ya mambo ya ndani uweke utaratibu unaouona unafaaa?