Kuna kitu hakipo sawa makanisani, ni muda wa wakristo kuamka na kuhoji

Kuna kitu hakipo sawa makanisani, ni muda wa wakristo kuamka na kuhoji

Leo ni Jumapili ya matawi Yesu anaingia Jerusalem, lakini nikitafakari imani yangu ya ufuasi wa kristu napata mashaka makubwa sana.

To declare interest mimi nimezaliwa nimejikuta tu ni mkatoliki kwahiyo nipo hivyo mpaka leo, mahusiano yangu na Mungu naamini ni mazuri kiroho lakini mahudhurio yangu kanisani kwa miaka ya karibuni si mazuri huwa nakwenda na kuacha kwenda.

Basi mambo yasiwe mengi last Sunday nikatimba church kwenye parokia yetu mambo niliyokutana nayo huko ni ya kusikitisha na nathubutu kuita kile alichokikemea mwokozi wetu Yesu kristu kwamba wasigeuze nyumba ya baba yake kuwa pango la walanguzi, kwa hakika hicho ndicho kinachoendelea parokiani kwetu si kanisa tena bali ni pango la walanguzi.

Sisi Wakatoliki huko nyuma tulikuwa tukiwacheka Lutheran kwa utaratibu wa sadaka nyingi na bahasha nyingi kumbe sasa utaratibu huo umeingia kwa speed kubwa kwenye kanisa katoliki ibada ya misa moja sadaka mnatowa mara saba, sina hakika na parokia zingine hali ikoje.

Sasa kila mwanaparokia unapewa kadi ya kuchanga pesa ya kuwa mkatoliki mume na mke 10,000)= kwa mwezi na watoto buku mbilimbili kila mwezi hii ni nje ya sadaka harambee na michango mingine, tunakwenda wapi?

Najuwa wapo watetezi waliolewa mvinyo wa dini watatetea uharamia huu kwa utetezi ni lazima tuchangie ujenzi wa kanisa, hakuna anayekataa hilo na tumekuwa tukijitolea miaka yote kwa kiasi, lakini naamini mtu ambaye yuko free minded hawezi kutetea uharamia huu kugeuza kanisa kuwa pango la walanguzi, na wasiokuwa na pesa za kuamka kwenye mabenchi mara saba kutowa hizo sadaka hawatojisikia vizuri na wataacha kuja kanisani kwa kuteswa kihisa kila watu wakiinuliwa kwenye mabenchi wao hawana kitu.

Hiyo sasa tisa kumi ni hawa jamaa zetu born again, nipo hapa nyumbani namsikiliza mtumishi wa Mungu akitangaza viwango vya sadaka ya kugombowa uzao wa kwanza ni laki mbili, uzao wa pili laki na na nusu, uzao wa tatu laki.

Kutokana na uharamia huu na unyang'anyi unaoendelea kupitia mwamvuli wa dini serikali haiwezi kusaidia lolote katika hili kwa sababu ni partners muhimu in crime.

Kwakuwa waislamu wanajitambuwa sana katika hili ni wakati sasa kwa wakristu wote kuamka na kupinga dhulma hii ambayo cha kusikitisha sasa imeingia radmi kanisa katoliki na hakuna hata mkatoliki mmoja aliwahi kuhoji miradi yote ya kanisa hadi mkombozi bank ipo kwa faida ya nani na inalisaidia vipi kanisa?

Tumsifu Yesu kristu.
Lengo lako upate support?
Mimi nimetoa shukrani mwaka huu laki 6.
Wala sijaona nilipopungua.
Unataka hadi mfalme wa Morocco aje aombwe kukujengea kanisa?
 
naamini katika MUNGU namuomba mahali popote ila kwenye mijumuiko sikumbuki kama nmewahi kwenda tokea nmekuwa mtu mzima na akili timamu
 
Kama unaufahamu vizuri ukatoliki ruzuku hazikuwa zinatoka Vaticano, bali ni mashirika ya kitawa ndio yalikuwa yanaboost, pale ambapo walipoona malengo yamekamilika walihamia sehemu nyingine.

Madhehebu ya Kilokole sasa hivi ndio yanapata ufadhiri kutoka kwa wazungu wa madhehebu hayo ili kuyapa nguvu, nao target yao ikikamilika hutoona hawa manabii wakiendesha tena magari ya kifahari na kulindwa na bodyguard, hizo zote ni jeuri ya hela za wazungu ukichanganya na sadaka za mazezeta ni full kunoga.
Mashirika mengi yameanzisha miradi ya kujiendesha. Kule Sakarani watawa wa Rosminian wanalima Macadamia nuts. Hata ma Bruda wa Francisco wanatengeneza rosary na kuuza.

Zamani sana matajiri wengi waliacha sehemu kubwa ya urithi kwa kanisa, hii ilisaidia kanisa kujenga majengo mengi katika miji mikubwa na mpaka leo kanisa linakusanya kodi.

Miaka ya 50,60 ujenzi wa kanisa lolote, Kadinali alipokea pesa moja kwa moja kutoka Vatican. Sikuhizi ujenzi wa makanisa mapya unategemea harambee. Miji inapanuka na watu wanaongezeka.
 
Kusema kweli kusali niliaacha kitambo..
Watumishi wamegeuka walanguzi wafanya biashara wa&@nzi waongo walaghai matapeli kuvuruga nyumba za watu kuwatia watu hofu eti 'usipokuja kusali ukifa kanisa halikuziki....

Wazazi wetu wanashindwa kujikimu kimaisha ukiwapa pesa kidogo anakuambia ongeza na ya kanisani sijui fungu la kumi na sadaka za ujenzi nk

Serikali ikemee haya ama sivyo walipishwe kodi kwani Makanisa ni biashara
Mungu yupo ulipo ukiomba anasikia fungu la kumi katembelee na kuwasaidia wenye uhitaji wagonjwa sio kupeleka pesa kanisani huku ni kujengeana umaskini wa kulazimisha

Funga makanisa watu wasali majumbani

Mtoa Mada Asante sana kwa ujumbe huu


Milele Amina
Serikali haiwezi kuingilia kati hao ni partners in crime.
 
kanisani toa jero ya silva inatosha!
[ 500/= X watu 300(makadirio) = 150,000/= inawatosha kabisa kugawana posho wale wahusika wanaoendesha ibada pale madhabauni ]

sadaka nyingi wapelekee wahitaji (yatima, wajane, wagonjwa, masikini na wafungwa)

vinginevyo mtapigwa tu hakuna namna, maisha yanazidi kuwa magumu kila siku ukijumlisha na hii vita ya ukraine hakuna rangi mtaacha kuona!
 
Serikali haiwezi kuingilia kati hao ni partners in crime.
1649602553851.png

1649602612704.png

1649602648551.png


a.k.a WANAKULAGA SAHANI MOJA, TONGE NYAMA TONGE NYAMA!
 
Kwani waislamu wanaendeshaje misikiti yao bila ya kuwa na sadaka kubwa zenye kuwakamua waumini?
 
Mashirika mengi yameanzisha miradi ya kujiendesha. Kule Sakarani watawa wa Rosminian wanalima Macadamia nuts. Hata ma Bruda wa Francisco wanatengeneza rosary na kuuza.

Zamani sana matajiri wengi waliacha sehemu kubwa ya urithi kwa kanisa, hii ilisaidia kanisa kujenga majengo mengi katika miji mikubwa na mpaka leo kanisa linakusanya kodi.

Miaka ya 50,60 ujenzi wa kanisa lolote, Kadinali alipokea pesa moja kwa moja kutoka Vatican. Sikuhizi ujenzi wa makanisa mapya unategemea harambee. Miji inapanuka na watu wanaongezeka.
Kwani kwa upeo wako kadinali ni kiongozi wa Tanzania nzima?

Mfumo wa kanisa katoliki kila Askofu ni mkuu katika jimbo lake na wote wanateuliwa na Papa.

Hakuna Askofu wa jimbo mkubwa kuliko mwenzanke na hakuna mkuu wa kanisa katoliki Tanzania nzima, elewa hili kwanza.

Kwa kifupi Dr Shoo ndio Askofu mkuu wa KKKT Tanzania lakini kanisa katoliki hakuna cheo hicho, hata Rais wa Tec ni kiongozi tu wa maaskofu wenzake na siyo mkuu wa kanisa.
 
Leo ni Jumapili ya matawi Yesu anaingia Jerusalem, lakini nikitafakari imani yangu ya ufuasi wa kristu napata mashaka makubwa sana.

To declare interest mimi nimezaliwa nimejikuta tu ni mkatoliki kwahiyo nipo hivyo mpaka leo, mahusiano yangu na Mungu naamini ni mazuri kiroho lakini mahudhurio yangu kanisani kwa miaka ya karibuni si mazuri huwa nakwenda na kuacha kwenda.

Basi mambo yasiwe mengi last Sunday nikatimba church kwenye parokia yetu mambo niliyokutana nayo huko ni ya kusikitisha na nathubutu kuita kile alichokikemea mwokozi wetu Yesu kristu kwamba wasigeuze nyumba ya baba yake kuwa pango la walanguzi, kwa hakika hicho ndicho kinachoendelea parokiani kwetu si kanisa tena bali ni pango la walanguzi.

Sisi Wakatoliki huko nyuma tulikuwa tukiwacheka Lutheran kwa utaratibu wa sadaka nyingi na bahasha nyingi kumbe sasa utaratibu huo umeingia kwa speed kubwa kwenye kanisa katoliki ibada ya misa moja sadaka mnatowa mara saba, sina hakika na parokia zingine hali ikoje.

Sasa kila mwanaparokia unapewa kadi ya kuchanga pesa ya kuwa mkatoliki mume na mke 10,000)= kwa mwezi na watoto buku mbilimbili kila mwezi hii ni nje ya sadaka harambee na michango mingine, tunakwenda wapi?

Najuwa wapo watetezi waliolewa mvinyo wa dini watatetea uharamia huu kwa utetezi ni lazima tuchangie ujenzi wa kanisa, hakuna anayekataa hilo na tumekuwa tukijitolea miaka yote kwa kiasi, lakini naamini mtu ambaye yuko free minded hawezi kutetea uharamia huu kugeuza kanisa kuwa pango la walanguzi, na wasiokuwa na pesa za kuamka kwenye mabenchi mara saba kutowa hizo sadaka hawatojisikia vizuri na wataacha kuja kanisani kwa kuteswa kihisa kila watu wakiinuliwa kwenye mabenchi wao hawana kitu.

Hiyo sasa tisa kumi ni hawa jamaa zetu born again, nipo hapa nyumbani namsikiliza mtumishi wa Mungu akitangaza viwango vya sadaka ya kugombowa uzao wa kwanza ni laki mbili, uzao wa pili laki na na nusu, uzao wa tatu laki.

Kutokana na uharamia huu na unyang'anyi unaoendelea kupitia mwamvuli wa dini serikali haiwezi kusaidia lolote katika hili kwa sababu ni partners muhimu in crime.

Kwakuwa waislamu wanajitambuwa sana katika hili ni wakati sasa kwa wakristu wote kuamka na kupinga dhulma hii ambayo cha kusikitisha sasa imeingia radmi kanisa katoliki na hakuna hata mkatoliki mmoja aliwahi kuhoji miradi yote ya kanisa hadi mkombozi bank ipo kwa faida ya nani na inalisaidia vipi kanisa?

Tumsifu Yesu kristu.
1649602844554.png

Christian Revenue Authority
 
Leo ni Jumapili ya matawi Yesu anaingia Jerusalem, lakini nikitafakari imani yangu ya ufuasi wa kristu napata mashaka makubwa sana.

To declare interest mimi nimezaliwa nimejikuta tu ni mkatoliki kwahiyo nipo hivyo mpaka leo, mahusiano yangu na Mungu naamini ni mazuri kiroho lakini mahudhurio yangu kanisani kwa miaka ya karibuni si mazuri huwa nakwenda na kuacha kwenda.

Basi mambo yasiwe mengi last Sunday nikatimba church kwenye parokia yetu mambo niliyokutana nayo huko ni ya kusikitisha na nathubutu kuita kile alichokikemea mwokozi wetu Yesu kristu kwamba wasigeuze nyumba ya baba yake kuwa pango la walanguzi, kwa hakika hicho ndicho kinachoendelea parokiani kwetu si kanisa tena bali ni pango la walanguzi.

Sisi Wakatoliki huko nyuma tulikuwa tukiwacheka Lutheran kwa utaratibu wa sadaka nyingi na bahasha nyingi kumbe sasa utaratibu huo umeingia kwa speed kubwa kwenye kanisa katoliki ibada ya misa moja sadaka mnatowa mara saba, sina hakika na parokia zingine hali ikoje.

Sasa kila mwanaparokia unapewa kadi ya kuchanga pesa ya kuwa mkatoliki mume na mke 10,000)= kwa mwezi na watoto buku mbilimbili kila mwezi hii ni nje ya sadaka harambee na michango mingine, tunakwenda wapi?

Najuwa wapo watetezi waliolewa mvinyo wa dini watatetea uharamia huu kwa utetezi ni lazima tuchangie ujenzi wa kanisa, hakuna anayekataa hilo na tumekuwa tukijitolea miaka yote kwa kiasi, lakini naamini mtu ambaye yuko free minded hawezi kutetea uharamia huu kugeuza kanisa kuwa pango la walanguzi, na wasiokuwa na pesa za kuamka kwenye mabenchi mara saba kutowa hizo sadaka hawatojisikia vizuri na wataacha kuja kanisani kwa kuteswa kihisa kila watu wakiinuliwa kwenye mabenchi wao hawana kitu.

Hiyo sasa tisa kumi ni hawa jamaa zetu born again, nipo hapa nyumbani namsikiliza mtumishi wa Mungu akitangaza viwango vya sadaka ya kugombowa uzao wa kwanza ni laki mbili, uzao wa pili laki na na nusu, uzao wa tatu laki.

Kutokana na uharamia huu na unyang'anyi unaoendelea kupitia mwamvuli wa dini serikali haiwezi kusaidia lolote katika hili kwa sababu ni partners muhimu in crime.

Kwakuwa waislamu wanajitambuwa sana katika hili ni wakati sasa kwa wakristu wote kuamka na kupinga dhulma hii ambayo cha kusikitisha sasa imeingia radmi kanisa katoliki na hakuna hata mkatoliki mmoja aliwahi kuhoji miradi yote ya kanisa hadi mkombozi bank ipo kwa faida ya nani na inalisaidia vipi kanisa?

Tumsifu Yesu kristu.

Umetumwa si bure ila nakukumbusha tu kuwa wewe endelea kusali huko huko ulikokengeushwa na kusikokuwa na kusomewa mapato na matumizi waache wakatoliki nao wapuyange kivyao.

Sadaka na toa toa hazitokupeleka peponi
 
Hamna mtu aliyefirisika kwa kutoa michango kanisani. Kama hauna usiwatake wengine nao wasitoe.
 
Ni kwa nini vifungu vya Biblia unavyonukuu wewe uone ndio sahihi na mimi nimekuwekea verse moja tu ya Timotheo unataka kuaminisha umma wa JF kwamba hiyo siyo biblia?

Au tukubaliane kwamba Biblia ni magumashi inajipinga yenyewe?

Namuarika Kiranga sasa.
The problem of evil proves that the foundation of organized religion, specifically Abrahamic religions, the all knowing, all capable and all graceful God, does not exist.

This God is a manufactured reality, a figment of the collective human imagination throughout the years.

The Bible, The Quran and similar books, are fictional narratives made by humans, for humans, to navigate human problems.

Once you understand this, everything else makes sense.
 
Basi mambo yasiwe mengi last Sunday nikatimba church kwenye parokia yetu mambo niliyokutana nayo huko ni ya kusikitisha na nathubutu kuita kile alichokikemea mwokozi wetu Yesu kristu kwamba wasigeuze nyumba ya baba yake kuwa pango la walanguzi, kwa hakika hicho ndicho kinachoendelea parokiani kwetu si kanisa tena bali ni pango la walanguzi.

Sisi Wakatoliki huko nyuma tulikuwa tukiwacheka Lutheran kwa utaratibu wa sadaka nyingi na bahasha nyingi kumbe sasa utaratibu huo umeingia kwa speed kubwa kwenye kanisa katoliki ibada ya misa moja sadaka mnatowa mara saba, sina hakika na parokia zingine hali ikoje.
Makanisa ya sasa yamejaa uporaji kwa kisingizio cha kumtolea Mungu,
  1. Lutheran waliwakosoa RC kuwa wanatumia vikaratasi vya utakaso, ati ili kupata msamaha wa dhambi ni lazima ujazishwe hicho kikaratasi, lakini nyani haoni kundule, Lutherani haohao hivi sasa wana vibahasha ambavyo unakaguliwa umeweka sadaka (kwa kisingizio cha ahadi) kiasi gani wakati mafundisho yanasema utoapo kwa mkono wako wa kuume, mkono wako wa kushoto usijue ikimaanisha sadaka ni siri, leo hii KKKT pamekuwa sehemu ya kujipambanua umetoa kiasi gani, ukitoa sana utathaminiwa sana na utazikwa kifahari tena na Askofu.
  2. Migogoro kila Dayosisi, ukiuliza sababu kubwa ni pesa, kama wanapinga basi watumishi wa KKKT ongozeni ibada kwa kujitolea kama Mashahidi wa Yehova tuone kama yupo atakayethubutu kufanya hivyo, imani ya kweli hivi sasa ni mtu binafsi kujilinda na dunia asitende dhambi, asaidie wenye shida inatosha.
 
Kuna ile ya kuwataka waumini waliofiwa na wapendwa wao eti watoe sadaka kubwa kubwa kadri wawezavyo kama kikokotoo cha kuwawezesha hao wapendwa wao waliotangulia mbele ya haki kupata ahueni ya maisha huko kaburini. Yaani mimi hii haijawahi kuniingia akilini kabisa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom