Kuna kitu kibaya Wema Sepetu kafanyiwa(mtazamo wa jicho la tatu)

Tamthilia ya wema muda wote ipo online yani ye anaigiza muda wote wa maisha yake na kama ni tamthilia itakuwa kama ISIDINGO , uuuh uuh ngoja nimtume dogo akaniletee series ya kikorea bhana maana nshachoka
 
Ana mafanikio gani huyo binti?
Bwana we unajifanya hujui mafanikio ya wema! Ok ok aliwahi kuwa na nyumba ya million 400, anaendesha range ya million 200, ana Duka la lipstick & perfumes la billion 16. Amedate celebrity wa kibongo wengi na wa Namibia mmoja, ana uwezo wa kumpandisha mwanaume kimafanikio kutoka kuwa star wa kitaifa hadi star wa international [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] . Mi naishia hapa. Cc. warumi akija ataendelea kukutajia mafanikio yake.
 
Yaani umeandika uzi mrefu hivi kwa ajili ya Wema? Unahitaji maombi
 
Anajitafutia yeye mwenyewe kuchukiwa coz anapenda sana kiki za kishamba wema anapenda kuona muda wote wanamuongelea yeye tu midomoni wangapi hawana watoto mbn hawatukanwi km yeye anavyotukanwa deileeee wolper hana mtoto jide hana mtoto lkn walaa hawana habari , lkn sasa yeye toka 2006 mpk sasa mmmh muhimu ajirekebisha
 
Kwa maneno machafu ya mama ake mzazi anayotoa hadharani akwa discovered by Mange Kimambi kwenye ulimwengu wa umiss na u star, hapa tutapata mtu wa aina gani zaidi ya huyu wema tumjuae leo?
 
Ana mafanikio gani huyo binti?
Mafanikio ni kuwa na huyu leo yule kesho na mlolongo unaendelea na media zinapata wasomaji zaidi beside that ni mwendelezo wa maisha yale yale ya mwaka juzi jana leo na kesho . Interesting in deed!
 
chinga umerudi? nafurahi wambea wenzangu mmerudi
 
ameigiza movie na ma staa wakubwa kama vanvicker, movie ambayo imegharimu milion 900 , japokua hyo movie mpaka leo hatujaisikia, pia aliwahi mleta omotola jalande ekehinde kwenye uzinduz wa movie yake ya super star ambayo mpaka ninavyoandika haijajulikana itatoka lini
 
Aende kuishi kijiji cha nakawale,kijiji cha mwisho kabla ya kuingia msumbiji,mtwara huko
 
Aende kuishi kijiji cha nakawale,kijiji cha mwisho kabla ya kuingia msumbiji,mtwara huko
Acheni maskhara mjue huyu binti kuna kitu si cha kawaida kimemtokea hata replies nyingi za hapa ni za kumponda kumbeza na kumdhihaki
It's a burden too heavy to carry....mimi naliona tatizo lakini wengine hawalioni kuna nini hapa????
 
Ama kweli! Wabunge watammiss Wema. Angalishinda viti maalum!!!! Sijui ingekuaje Dodoma.
 
Hivi hiyo picha ya makalio Ni wema au alieditiwa Tu,wema zamani alikua chombo sasa hivii sio yule WA zamanii kachoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…