Kuna Kitu Rais Samia Amekisema Kuhusu Kurejea Kizimkazi “Post 2025”. Nashauri na Nasisitiza Wenye Uwezo Kusaidia, Tumsaidie Kumshauri Ukweli!

= nafikiri

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Kama kuna kabila ambalo linajifanya haikubali kutawaliwa na mwanamke basi ya kwanza ni Wasukuma, wamezowea wao kupigiwa magoti na wanawake.

Haiwaingii akilini hata chembe kuwa mwanamke anaweza kuwaongoza.

Ni ujinga wa asili walionao.

Sasa ujinga wao unafika mbali, kuwa mwanamke anaweza kuongoza kichawi tu.
 
Hamumpendi Lissu ni yeye tu aliyebaki kulikomboa Taifa.

Mungu azidi kukutunza Lissu. This time around lipo jambo na jambo litatambua jambo…

Tuombeane uzima

Ni muda mfupi sana uliobaki lakini ushindi dhidi ya dhuluma unafiki usaliti unyang’anyi ubabe karibu kunakucha…
 
Hata waislamu,hususan waarabu,hawaamini katika kutawaliwa na mwanamke.
 
Aya mtaalam. 😁😁
Nilikuwa nataka tu kutoa angalizo
 
Mzee Pascal Mayalla, Jibu la yote hayo liko hapa👇👇
‭Isaya 55:8-9 SUV‬
"....Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA. Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu..."

Acha mwanadamu atambe na kufikiri kibinadamu. Lakini mpango wa Mungu wetu ni tofauti kabisa..

Huyu mama na watu wake masikini hata hawajui Kilichopo mbele yao..

Watumishi wengi wa Mungu wa kweli wameshamwambia kuwa "utawala wako na CCM kwa ujumla ulishakataliwa". Bila shaka haamini haya..

Yeye na watu wake wanawaza kutawala watu wa Mungu wa Taifa lake hili zuri la Tanganyika kwa hila kama walivyofanya miaka yote..

Mungu amesikia kilio cha watu. Sasa anashuka mwenyewe kuja kutuokoa..

Ni ajabu na kweli. Lakini nyakati na majira mapya ya taifa letu yaneshafika. Tujiandae..
 
Topic ya probability Iko sekondari na sio shule ya Msingi na sekondari ni Form 4 na Advanced level , kuhusu hoja yako simamia post ya Mwisho, Je Dr. Mpango ni Mpango Mzima? au Kuna mabadiliko tofauti na hapo utakuwa unajichanganya na kukosa uhalisia katika informer wako, tambua unaaminika ila utapoteza uaminifu kwa kutokuwa na consistency
 
I am very optimistic too.

Kwamba, huyu mama na CCM yake hawataamini kitakachowakuta kama ambavyo wafuasi wa Goliath walipoachwa ktk mshangao pale ambapo mfalme wao, shujaa wao wa vita na aliyekuwa na kila aina ya silaha za kupiga adui zake na kushinda vita yoyote alivyoshindwa ktk namna ya ajabu, rahisi na wasijue kitu gani kimetokea mbele yao mbele ya Kijana mdogo tu aitwaye Daudi akiwa na manati (kombeo) tu mikononi mwake..!

Scenario ya Goliath vs Daudi inafanana 109% na scenario iliyopo mbele yetu; i.e Samia/CCM (jitu kubwa) vs Wananchi Wazalendo wanaotaka kuikomboa nchi na taifa lao toka mikononi mwa hayawani..

Li CCM ndilo li - Goliath lenye kumdhihaki na kumtukana Mungu aliye hai, lenye umbo kubwa (wao husema wana "Dola" i.e polisi, Tume ya Uchaguzi (NEC), UWT, JWTZ nk..

Lakini wananchi Wazalendo wa nchi hii wao hawana polisi wala NEC haiko upande wao kama ilivyo kwa UWT na JWTZ wasiona wala kujali Bali nao walishakuwa sehemu ya uhalifu na uovu..

Lakini sisi wana wa nchi hii, wazalendo kwelikweli, mikono yetu, na miguu yetu, na mioyo yetu imetiwa nguvu ya Mungu aliye juu mbinguni. TUTASHINDA..!

Tumeshachoka na unyanyasaji na uonevu wa huyu Goliath - CCM mwovu na muasi. Sasa atapigwa tu na hawataamini kinachokwenda kutokea. Tunamwamini Mungu aliye hai. Amesikia maombi na kilio chetu. Ameshuka mwenyewe invincibly kutukomboa..!!

Hawataamini kitachowatokea..
 
Mkuu umeongea kiroho sana, ni wachache wanaweza kukuelewa , ila Hawataamini kitakachowatokea , kama uchaguzi ukifanyika . Thanks roho wa Bwana akawe juu yako na imekua.
 
Dunia inakoelekea haitabiriki

Kila nikiwaangalia Ruto na Sir Starmer sioni furaha ya kuongoza kwenye nyuso zao 🐼
Aisee Kumbe kuna wakati unakuwa “deep”. Unaweka mizaha pembeni.

Umeona. Kwenye nchi makini iliyosheheni raia waelewa na majasiri, uongozi ni MZIGO.

Nchi ikisheheni mazoba (walking dead), uongozi ni pepo. A walk in the park! Waeleze mazoba jambo zito na la maana kwa taifa, wanashangilia sana. Waeleze ujinga wanabubujikwa na machozi ya furaha! 😳. Hapo wahuni wanajiandaa kutawala milele tu.
 
Hili sio bandiko la ukabila wala la jinsia,
Unamjua aliyemchagua Samia awe running mate wake ni kabila gani?.
Kuhusu kuteua wanawake ni kweli JPM alipoingia ni kweli ilikuwa na changamoto ya uteuzi wa wanawake, Tuacheni Kumlaumu Rais Kuteua Wanaume, TZ Hatuna Wanawake Wenye Sifa na Vigezo vya Kuteuliwa! humo nilisema Baada ya bandiko hilo, JPM alianza kuteua wanawake kwa wingi, akianzia yule wa Immigration, kutokana na yale macho, watu wa maneno maneno na vineno vineno hawakuchelewa kutia neno kuwa kila mwanamke anayeteuliwa ni nanihino wake, JPM hakopeshi akawapasha live
View: https://youtu.be/WWLwTqTkzew?si=kEXsbOpUeD5E3wvy
Wasukuma na Kanda yote ya Ziwa sasa tunawakubali sana wanawake na 2025 utashuhudia kura determinants za urais zitakavyo miminika kutoka Kanda determinant ya kura za urais wa Tanzania ambayo ni Kanda ya Ziwa.

Na kwa upande mwingine, sisi wenzenu Wakristo ukiondoa Kanisa Katoliki, Wakristo wengine wote tunawakubali wanawake kuwa makasisi wetu na tunakubali kuongozwa na mwanamke vipi nyinyi wenzetu Waislamu?.
Utanijibu ukimaliza swala maana mida hii ni mida ya swala
P
 
Maneno mazito sana !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…