Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

MUKAMASIMBA Kasome ripoti ya Dr Theogene Rudasigwa, Former RPF secretary general, ambassador to the US and chief of staff for Paul Kagame ya 1/10/2011.

Uone PK anahusika na mauaji ya Habyarimana Na mauaji ya kimbari. Alafu Wewe unawatuhumu FDLR kwa hayo mauaji na wakati rais wako ndio mtuhumiwa no Moja!
 
Last edited by a moderator:
Even if you envestigate us ukwel utabaki palepale tunataka kuleta aman kongo kwa ustawi wa uchumi wa nchi zote za maxiwa makuu.
 

News of Rwanda
investigations have led us to two very luxurious “shops” in Dar es Salaam. One of them is named RENZO located within the upper class MIKOCHENI Shopping Mall opposite SAVERIOS Pizza. The other “shop” is VIRAGO, positioned opposite Baraka Plaza. Both these shops are located in the MIKOCHENI suburb of Dar es Salaam where Tanzania’s rich and good brash shoulders. According to sources on the ground, these two Kikwete-Kabila shops sell the most luxurious clothing and jewelry in Tanzania.

However, despite the size and expensive line of business, the “shops” are not registered with the Tanzania Revenue Authority (TRA). The two names are not found anywhere in the tax receipts of the TRA, which according to well-informed sources, means they do not pay taxes. However, nobody including the TRA commissioner general Harry Kitilya can say anything for fear of retribution. According to people operating businesses within the MIKOCHENI suburb, these particular shops are a no-go zone for ordinary Tanzanians.

Wanyarwanda mnaoishi mikocheni na mbezi acheni umbeya wenu kupitia the The News of Rwanda mbona hamtaji mali za viongozi wa Rwanda zilizogaa Dar es salaam?Huko TISS mnakogusa mtashindwa kulala majumbani mwenu shauri yenu.Mnahani nyumba ambayo haijafiwa.
 
PK dawa yake ni kumtumia infiltrators akute tu amenyongwa silently
 
Wanyarwanda mnaoishi mikocheni na mbezi acheni umbeya wenu kupitia the The News of Rwanda mbona hamtaji mali za viongozi wa Rwanda zilizogaa Dar es salaam?Huko TISS mnakogusa mtashindwa kulala majumbani mwenu shauri yenu.Mnahani nyumba ambayo haijafiwa.


Wala usimtishe Au kuwatisha, waache waseme wawezavyo Lkn wao ndio watakua Wa kwanza kupiga kelele!
 
Hatuwahisi kuwa wanyarwanda, bali TWAWAJUA kuwa ni watutsi!....note the difference!..na kwa taarifa yenu hamuwezi kuanzisha moto katika Taifa hili la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!....keep on day dreaming.. you tutsis are disgusting...MNATIA KINYAA

Mhhhhh
 
Hakika wengi wetu humu tufahamu taifa la israel, wayahudi, historia ya wayahudi na nguvu zao kisiasa na kijeshi. Na pia naamini wengi tunahamu rwanda, tutsi, historia yao na nguvu yao kisiasa na kijeshi. Hawa watu historia yao inafanana kiasi, wote wamepitia kipindi cha kuuliwa na kunyanyaswa sana tofauti wayahudi waliuliwa na wanazi wa kijerumani, na dikteta amin,nk kwa upande wa tutsi wao waliuwawa na majirani zao wahutu. Kwa sasa hawa watu wana dola wanaziongoza wayahudi israel watutsi rwanda na tunashuhudia jinsi hizi dola mbili zilivyo na usumbufu kwa nchi jirani israel mashariki ya kati na rwanda mashariki mwa afrika kiasi kwamba nchi za magharibi wakiongozwa na kilanja wao mkuu marekani wanashindwa wafanyeje na kubaki kusema kwa maneno tu eti israel ikomeshe kujenga makazi ya walowezi kule israel mara rwanda inasaidia waasi kule kongo waache mara moja, ukweli hizi jamii mbili ni hatari sana sasa, zilitaabika sana kwa kuuwawa kwa maelfu lakin hivi sasa mwenyezi MUNGU anazifuta machozi ukizigusa tu umeisha, MUNGU anakuadhibu. Ukiangalia israel kazungukwa na mataifa ya kiarabu ambayo baadhi ama yote hayampendi kwa sababu ya kunyanyasa ndugu zao wa palestina, kwa akili ya kawaida si wangeungana wakampiga ili akome ila kwa kuwa wale wahusika wanajua siri ya urembo. Ukija kwa upande wa rwanda utasikia serikali ya congo inalalamika rwanda wanasaidia waasi na wanapora madini rais analalamika, jeshi la congo linalalamika lakin kwa akili ya kawaida fikra zinasema kwa nn linchi likubwa kama congo lisikavamie na kukaadhibu karwanda ili kakome na kihelehele chake cha kuwasaidia waasi kunyanyasa wakongoman na kupola rasilimali zao? Ila wahusika kwa kuwa wana busara wanaijua siri ya urembo. Sasa huu msala naona umehamia kwa nchi yetu tanzania na kuna watu huku mtaani wanasema tuivamie rwanda weweweweweh! Sio jambo la kuthubutu kabisa hilo make cha moto tutakacho kipata hatutasahau sisi hadi wajukuu wetu. Hoja eti sisi nchi yetu kubwa karwanda kadogo. Hivi sisi nchi kubwa kuliko kongo? Vita sio linchi likubwa asee ndo unawin. Mfano marekani na NATO wanapigana na kakikundi tu taliban waulize mziki ulivyo mnene. Namaliza kwa kusema hivi 'ushauri mzuri sio rahisi kuupata na hata ukiupata sio rahisi kuufuata hasa kwa mswahili' nashauri tanzania tusipigane na rwanda kijeshi tutajuta bali tupigana hivi kwa maneno au haya mambo yaishe kabisa na haya yote rais anajua na jeshi letu linajua sasa nyie huku kitaa shobokeni tu.

Wewe bado upo kwenye kambi ya ukimbizi?
 
Watanzania ni wajinga sana. TPDF haiwez kwenda sehemu bila kuwa na assessment and military intelligence in place sababu ya mapenzi ya kikwete tu na fdlr. Kwanza hii article mnasoma tu haina lolote mama salma ni mhutu?? Urafiki wa salma na mama membe umeingiaje hapo. Things are not connecting right. Bado walio wajinga wanajiita wamesoma udom sijui udsm eti nao wasomi. Manina

Je hayo maduka yanalipa kodi???
 
Wanyarwanda mnaoishi mikocheni na mbezi acheni umbeya wenu kupitia the The News of Rwanda mbona hamtaji mali za viongozi wa Rwanda zilizogaa Dar es salaam?Huko TISS mnakogusa mtashindwa kulala majumbani mwenu shauri yenu.Mnahani nyumba ambayo haijafiwa.

Taja wewe!!!
 
Hatuwahisi kuwa wanyarwanda, bali TWAWAJUA kuwa ni watutsi!....note the difference!..na kwa taarifa yenu hamuwezi kuanzisha moto katika Taifa hili la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!....keep on day dreaming.. you tutsis are disgusting...MNATIA KINYAA

Wewe ndio KINYAA!!
 
Ati majeshi yetu yanalinda maslahi ya mama Salma kule Congo?
Hawa waandishi wa Rwanda hawajawahi kupelekwa Mabwepande ndio maana.
 
Kwahiyo taarifa zaweza kuwa za ukweli au?
Yawezekana ila pia ni kuchukua tahadhari sababu mwanzoni ilionekana PK nia yake kule DRC ni madini ambayo kwa taarifa hii mleta mada anataka kuaminisha umma kuwa na JK anayataka pia ili jitihada za Tz kushiriki kuwaondoa wale wahuni ionekane kuna conflict of interest.
 
Waendelee tu kutafuta soon watapata

Maana hata Bubu usema mambo yakimzidia...Tz tuko cool lakini hatutaki uchokozi kabisa


kiukweli rwanda kuna kitu wanatutafuta sio bure,hawawezi kutuzushia maneno yasiyo na ukweli kisa tu walipewa ushauri na rais wetu,kwa hilo hapana rwanda lazima mtuheshimu kama nchi iliyo wasaidia sana kulejesha utulivu nchini mwenu.
 
Kagame anaanza kujipanga maana anajua Goma na Kigali si mbali,hiyo propaganda ni kutafuta support na huruma kwa wananchi,M23 walitoa vitisho mwisho wake tumeona.

Syria,Yemen,Afghanistan,Philipine,Ukraine,Tunisia,South Sudan,CAR etc wote wapo kwenye meza ya mazungumzo na waasi ili amani ya kudumu ipatikane,

JK hakutoa ushauri mbaya maana haikua ni lazima utekelezwe.rwanda kamwe isijaribu kutafuta uhasama na Tanzania mwisho wake mbaya.

M7 na Kenyetta pengine wanampa kiburi akitarajia support ila timbili likianza watamwacha pk alone.USA ni wanafki hawana rafiki wa kudumu wao maslahi mbele
 
Naona nyie pk mnamuona mwendawazimu,pk hayuko hivyo anajua fika vita haijengi bali inabomoa,na yeye yuko bussy kuijenga nchi yake,hayuko tayari kubomoa alivyo vijenga,lakini kama italazimu itabidi avilinde kwa hali na mali.
Uendawazimmu wake ni katika kubomoa nchi jirani kama ya Kongo, katika hilo hamna jibu la maana.
 
Uendawazimmu wake ni katika kubomoa nchi jirani kama ya Kongo, katika hilo hamna jibu la maana.

Mkuu umepata habari kwamba watu wapatao 70 wamechinjwa kinyama huko kivu kaskazini,sasa hao tena ni M23 au rwanda? hivyo vikamera vyao vimekamata maiti tu wala havikuona wauaji,najua sasa hivi JWTZ wamesahau kilicho wapeleka na kuanza kununua madini,now raia wanachinjwa kama mbuzi bila wao kujua.
 
Back
Top Bottom