Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

MUKAMASIMBA Kasome ripoti ya Dr Theogene Rudasigwa, Former RPF secretary general, ambassador to the US and chief of staff for Paul Kagame ya 1/10/2011.

Uone PK anahusika na mauaji ya Habyarimana Na mauaji ya kimbari. Alafu Wewe unawatuhumu FDLR kwa hayo mauaji na wakati rais wako ndio mtuhumiwa no Moja!
 
Last edited by a moderator:
Even if you envestigate us ukwel utabaki palepale tunataka kuleta aman kongo kwa ustawi wa uchumi wa nchi zote za maxiwa makuu.
 
Hizi nyeti labda zimetolewa na yule jamaa mnyarwanda wa (TISS) waliesema katoroka
 

Wanyarwanda mnaoishi mikocheni na mbezi acheni umbeya wenu kupitia the The News of Rwanda mbona hamtaji mali za viongozi wa Rwanda zilizogaa Dar es salaam?Huko TISS mnakogusa mtashindwa kulala majumbani mwenu shauri yenu.Mnahani nyumba ambayo haijafiwa.
 
PK dawa yake ni kumtumia infiltrators akute tu amenyongwa silently
 


Wala usimtishe Au kuwatisha, waache waseme wawezavyo Lkn wao ndio watakua Wa kwanza kupiga kelele!
 
Hatuwahisi kuwa wanyarwanda, bali TWAWAJUA kuwa ni watutsi!....note the difference!..na kwa taarifa yenu hamuwezi kuanzisha moto katika Taifa hili la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!....keep on day dreaming.. you tutsis are disgusting...MNATIA KINYAA

Mhhhhh
 

Wewe bado upo kwenye kambi ya ukimbizi?
 

Je hayo maduka yanalipa kodi???
 

Taja wewe!!!
 
Hatuwahisi kuwa wanyarwanda, bali TWAWAJUA kuwa ni watutsi!....note the difference!..na kwa taarifa yenu hamuwezi kuanzisha moto katika Taifa hili la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!....keep on day dreaming.. you tutsis are disgusting...MNATIA KINYAA

Wewe ndio KINYAA!!
 
Ati majeshi yetu yanalinda maslahi ya mama Salma kule Congo?
Hawa waandishi wa Rwanda hawajawahi kupelekwa Mabwepande ndio maana.
 
Kwahiyo taarifa zaweza kuwa za ukweli au?
Yawezekana ila pia ni kuchukua tahadhari sababu mwanzoni ilionekana PK nia yake kule DRC ni madini ambayo kwa taarifa hii mleta mada anataka kuaminisha umma kuwa na JK anayataka pia ili jitihada za Tz kushiriki kuwaondoa wale wahuni ionekane kuna conflict of interest.
 
Waendelee tu kutafuta soon watapata

Maana hata Bubu usema mambo yakimzidia...Tz tuko cool lakini hatutaki uchokozi kabisa


kiukweli rwanda kuna kitu wanatutafuta sio bure,hawawezi kutuzushia maneno yasiyo na ukweli kisa tu walipewa ushauri na rais wetu,kwa hilo hapana rwanda lazima mtuheshimu kama nchi iliyo wasaidia sana kulejesha utulivu nchini mwenu.
 
Kagame anaanza kujipanga maana anajua Goma na Kigali si mbali,hiyo propaganda ni kutafuta support na huruma kwa wananchi,M23 walitoa vitisho mwisho wake tumeona.

Syria,Yemen,Afghanistan,Philipine,Ukraine,Tunisia,South Sudan,CAR etc wote wapo kwenye meza ya mazungumzo na waasi ili amani ya kudumu ipatikane,

JK hakutoa ushauri mbaya maana haikua ni lazima utekelezwe.rwanda kamwe isijaribu kutafuta uhasama na Tanzania mwisho wake mbaya.

M7 na Kenyetta pengine wanampa kiburi akitarajia support ila timbili likianza watamwacha pk alone.USA ni wanafki hawana rafiki wa kudumu wao maslahi mbele
 
Naona nyie pk mnamuona mwendawazimu,pk hayuko hivyo anajua fika vita haijengi bali inabomoa,na yeye yuko bussy kuijenga nchi yake,hayuko tayari kubomoa alivyo vijenga,lakini kama italazimu itabidi avilinde kwa hali na mali.
Uendawazimmu wake ni katika kubomoa nchi jirani kama ya Kongo, katika hilo hamna jibu la maana.
 
Uendawazimmu wake ni katika kubomoa nchi jirani kama ya Kongo, katika hilo hamna jibu la maana.

Mkuu umepata habari kwamba watu wapatao 70 wamechinjwa kinyama huko kivu kaskazini,sasa hao tena ni M23 au rwanda? hivyo vikamera vyao vimekamata maiti tu wala havikuona wauaji,najua sasa hivi JWTZ wamesahau kilicho wapeleka na kuanza kununua madini,now raia wanachinjwa kama mbuzi bila wao kujua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…