Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

You lack comprehension skills. Rather naitetea TZ sababu sioni tija ya giant kama TZ kukawaza kanchi kadogo kama ghetto RW. TZ na RW ni heaven and earth, TZ imeizidi RW kwa kila kitu hadi pisi kali and I stand on it. Nenda Singida, Manyara, Arusha kaangalie wale watoto walivyonyooka na mahaga yao afu fananisha na hizo pisi za RW zote zenye sura moja kama wote wamezaliwa na baba mmoja. Hapo sijagusa makao makuu- DSM.

RW is overated, wabongo mmejazana ujinga tu bila sababu zozote za msingi ila sishangai, ujinga na inferiority complex bongo ni janga la taifa. Wabongo ni watu inferior kuliko watu wote niliowahi kukutana nao so far. Mkiulizwa RW ina nini cha ajabu hamna zaidi ya story za mtaani mlizojana and y'all ran with it.
Hiki umesema ni kwel chief.I second you. Tanzania kuna wanawake wazuri bwana..dooh!! Wengi wa wanaowasifia wanyarwanda kwa kias flan nahis hawana exposure locally, hawajaizunguka Tanzania
 
Mwaka wa 3 naota ndoto inajirudia eti Rwanda kumetokea Mapinduzi PK anatoroka kwa boda boda anadakwa vichochoroni
 
Mleta mada unajua kule msumbiji Tanzania ndio inaongoza mission na operation? Sie hatupendi shobo pia kujitangaza kwa Jiografia yetu ni kuruhusu direct attack
Japo silifaham hili ila naweza kubali maana kwa sisi tunaoishi mkoa wa pwani along side Kilwa road, daily tunaziona millitary convoy zinapanda na kushuka kusini zimebeba silaha nzito nzito na magari vita
 
Samia anamuamini mwaka 2023 Yaliingia makontena ya silaha Na Tanzania ilijua fika zile silaha zinaenda kwa m23 lakini Kagame akasema ni zake bado Tz ikaruhusu.
Ni hatari.
Yule jamaa akipata bandari ataagiza silaha nyingi na hamna sehemu itakua salama

Kashawatengenezea waasi burundi anawapa silaha
Kongo kawatengenezea waasi
Tz anatutwanga kupitia msumbiji
bado hajatumia hao m23

Nchi iliyojaa rushwa kama hii hamna vita itashinda. Vita inashindwa kwa kua na jeshi lenye displine
Mambo yangekuaga rahis namna hii bas hata israel asingesumbuliwa na Hamas 😂😂
 
Akili za kipumbavu na kimaskini tuu hizi, Kagame kaifanyia Nini Tanzania mpaka tuwe na tafadhari? Rwanda ni opportunity kubwa sana Kwa Tanzania, Tanzania imezungukwa na nchi sita landlocked ambazo zinahitaji bandari kama ya Dar es Salaam to survive, Mimi ningeweka focus kutengeneza urafiki na infrastructure kuhudumia Rwanda na kuifanya itegemee bandari yetu 100% na ningehakikisha infrastructure inaunganisha na Burundi maana hao wote Wana population ya zaidi ya millioni 30, imagine kukamata soko kama Hilo la watu millioni 30 kwa 100%, Kwa nchi hizo mbili tuu tungeweza kutengeneza billions of money Kwa bandari tuu, akili za kinga ndio zinatuponza watu weusi, wenzako wanafanya ubabe kwenye maslahi sio usikike tuu au chuki za kikabila, matatizo yao ya Congo ningekaa kimya tuu tena ningewauzia silaha na chakula maana wao ndio wangetufanya, mmarekani anaposema sina permanent friend ni interest tuu kama huna akili huwezi kuelewa, na nchi inayopitisha cargo zake kwako 100% haiwezi Kuwa tishio kwako, atakuwa rafiki yako mkubwa na kukufanya uwe tajiri mkubwa, uliyeleta uzi ulaaniwe na huna akili

Una roho ya kibinafsi ww jamaa,
Kongo wanaishi kina nani?? si waafrica wenzio kama ww, kifupi wakongo na watz ni watu wamoja tulitenganishwa na mipaka!!
Huna tofauti na kina Tip tip waiowashika wenzao na kuwauza kwa wageni!!

Africa imepata watu wenye Laana kama ww!!Mungu atusaidie ,watu weusi tuna mijitu imelaaniwa kama hili .Kilaaniwe na kizazi chako
 
Pelekeni tu majeshi, siku wale makafiri wa m23/magaidi wanaingia huku mtapoteana,
 
Watanzania punguzeni hofu ambazo hazipo, sasa Tanzania tuogope Rwanda kwa sababu zipi?, focus yetu ingekuwa kuongeza kuuza bidhaa , kufanya biashara zaidi katika nchi zote bila kujali mambo yao ili kuongeza kipato kwa taifa na pato la mtu mmoja mmoja, hizi hofu za ohh Rwanda ana tuchunguza ohh Rwanda kaweka watu wake kwenye mfumo ni vitu ambavyo tumesikia zaidi ya miaka 20 sasa na bado hakuna vita Blaina ya nchi hizi mbili, sio sahihi nchi kubwa kama Tanzania kuihofia Rwanda na wananchi wake, sisi sote ni waafrika tufungue mipaka zaidi kurahisisha shughuli za kiuchumi katika nchi zetu.
 
Hii tulipigwa mkuu sio kwel kabisaa. Check Hamas tuu wanavyowapasua vichwa..sembuse hizo nchi 6 kweli?? Tena kwa pamoja? 😂😂😂😂😂
Unawazungumzia hawa Hamas walipo rusha ngumu then wakajificha nyuma ya migongo ya wake zao na watoto, Hamas ambao wamejificha chumbani wakati sebureni wako wake zao na watoto wao wanachapika ?.
 
Rwanda and PK is over rated, ni nchi masikini bado anapambana na basics za raia wake kama food shelter security and healthy, hana ubavu kuanzisha na nchi kama Tanzania ambao sio pori kama Congo.
Mbona nasikia Rwanda nzima Imepigwa lami, kigali yote Iko safi , maendeleo kama yote! Yani ni nusu ulaya,na anatamba na logo ya visit Rwanda kwenye klabu ya arsenal na psg kuvutia wataliii
 
Haaaaaaa better to live in Rwanda kwa watu walio serious na maisha kuliko siasa za kufaidisha wachache,wengi ukiwa upande wa western hutampenda Museven or Kegame kwakua wapo serious na watu wao I know nitapigwa kwakua hata kuishi pale hujawahi unamsikiliza mtu aliopo US/UK anakuandikia na unamuamini
 
Unaweza kumuita Mr double agent anaijua vizuri Sana Afrika mashariki kwa sababu karibu nchi zote hizi amewahi kuzifanyia kazi za ujasusi sio mtu wa kubezwa hata kidogo, siku akifa yule mshenzi wakongoman watafanya tafrija kubwa Sana
 
Akili za kipumbavu na kimaskini tuu hizi, Kagame kaifanyia Nini Tanzania mpaka tuwe na tafadhari? Rwanda ni opportunity kubwa sana Kwa Tanzania, Tanzania imezungukwa na nchi sita landlocked ambazo zinahitaji bandari kama ya Dar es Salaam to survive, Mimi ningeweka focus kutengeneza urafiki na infrastructure kuhudumia Rwanda na kuifanya itegemee bandari yetu 100% na ningehakikisha infrastructure inaunganisha na Burundi maana hao wote Wana population ya zaidi ya millioni 30, imagine kukamata soko kama Hilo la watu millioni 30 kwa 100%, Kwa nchi hizo mbili tuu tungeweza kutengeneza billions of money Kwa bandari tuu, akili za kinga ndio zinatuponza watu weusi, wenzako wanafanya ubabe kwenye maslahi sio usikike tuu au chuki za kikabila, matatizo yao ya Congo ningekaa kimya tuu tena ningewauzia silaha na chakula maana wao ndio wangetufanya, mmarekani anaposema sina permanent friend ni interest tuu kama huna akili huwezi kuelewa, na nchi inayopitisha cargo zake kwako 100% haiwezi Kuwa tishio kwako, atakuwa rafiki yako mkubwa na kukufanya uwe tajiri mkubwa, uliyeleta uzi ulaaniwe na huna akili
Usicheke msiba uko kwa jirani ukija kwako utakosa wa kukusaidia yaan ww jirani anakuca ww ndo unachekelea
 
Ubora wa jeshi hautegemei ukubwa wa nchi, ni intelejensia, vifaa pamoja na wajeda wenyewe. Rejea Vita ya siku sita Kati ya kanchi Israel lkn mataifa kadhaa ya waarabu yalikaa.

B4
Unadhani Israel ilipigana pekee bila kusaidiwa na Marekani na zile Mirage fighter bomber za Ufaranza zilizo teketeza ndege za Egypt wajua marubani walitoka wapi?
 
Una roho ya kibinafsi ww jamaa,
Kongo wanaishi kina nani?? si waafrica wenzio kama ww, kifupi wakongo na watz ni watu wamoja tulitenganishwa na mipaka!!
Huna tofauti na kina Tip tip waiowashika wenzao na kuwauza kwa wageni!!

Africa imepata watu wenye Laana kama ww!!Mungu atusaidie ,watu weusi tuna mijitu imelaaniwa kama hili .Kilaaniwe na kizazi chako
Huyo atakua mbari moja na kagame. Hawaonagi wengine ila kujiona wenyewe tu🤣😂
 
Haaaaaaa better to live in Rwanda kwa watu walio serious na maisha kuliko siasa za kufaidisha wachache,wengi ukiwa upande wa western hutampenda Museven or Kegame kwakua wapo serious na watu wao I know nitapigwa kwakua hata kuishi pale hujawahi unamsikiliza mtu aliopo US/UK anakuandikia na unamuamini
Wewe humuelewi kagame kiitikadi. Ni ubinafsi na umbari.😭😭
 
Back
Top Bottom