Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

Pot kikosi.chenu lazima tuwatume mkapambene na wahuni wa m23 sisi tunakamuliwa kodi nyie mnalipwa mtulinde😀😀

Kuna mapot waoga washaanza kufoj ugonjwa😀😀
 
Wewe ni mpuuzi na akili huna.Hebu fikiria mtu amesoma chekechea shule inaitwa Princess Nursery,Primary kasoma Golden Academy na Secondary Elite School na Chuo kapelekwa nje ambako alidanganya anasoma na akarudi nyumbani bila cheti unadhani anajua lolote kuhusu nchi hii ? Watu kama nyinyi mnatakiwa kunyongwa mapaema ili tusije tukawa na kizazi cha washenzi kadiri miaka inavyoenda mbele.
 
Haahaa saivi ikinyesha mvua kidogo tu hapo kitaani kwenu wote mnatawanyika sasa hawa ndo uwapeleke wakapambane na watu walizoea kuona damu na vifo maisha yao yote? come on! unatafuta balaa shehe
 
Huyo jamaa aliwahi kumchapa nani?
 
Hata
Ukraine ilikaza hv hv kwa kutegemea misaada, sasa hv 25% imechukuliwa imebaki kufanya sabotage kwenye maghala
 
Kweli kabisa tanzania hatuna jeshi la kumpiga kagame ukweli mchungu Rwanda ni kama Israel
 
Hata
Ukraine ilikaza hv hv kwa kutegemea misaada, sasa hv 25% imechukuliwa imebaki kufanya sabotage kwenye maghala
 
Tz inaweza kupigana na Congo na Rwanda na waungane na ndugu zao Burundi...na wote wakapigwa kama ngoma
 
Slim is overated, na aelewe nafas yake!
 
Pot kikosi.chenu lazima tuwatume mkapambene na wahuni wa m23 sisi tunakamuliwa kodi nyie mnalipwa mtulinde😀😀

Kuna mapot waoga washaanza kufoj ugonjwa😀😀
Haahaa saivi ikinyesha mvua kidogo tu hapo kitaani kwenu wote mnatawanyika sasa hawa ndo uwapeleke wakapambane na watu walizoea kuona damu na vifo maisha yao yote? come on! unatafuta balaa shehe.
 
Umeandika ushudu tu ukikaa huko vijiweni unasimulia maboya wengine wanakuona ww field marshall kumbe hamna lolote
 
Mawazo ya kijinga na kipumbavu kabisa! ka nchi kenyewe hako unakokazungumzia kana technology gani? mmejazwa ujinga sana nyie ndiyo maana huwa wanadharau sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…