The Technologist
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,242
- 2,544
Kwamba Rwanda impige Tanzania?
Pengine umekuja kuuliza swali ukakosea uwasilishaji...!
Pengine umekuja kuuliza swali ukakosea uwasilishaji...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Historia ya vita vya kagera imebeba mengi sana... JWTZ walirahisishiwa ushindi baada ya jeshi la Amin kuasi na kuanza kupigana kumng'oa Amin walijiita UNLF ndio walikuwa wa kwanza hata kuuteka mji wa Kampala..JW wanauwezo wa kuwapiga zaidi ya wanavyopiga ngoma,rejea historia vizuri,hao ni vikinda tu vya kunguru
Rwanda ni wilaya tu kwa Tanzania, wala usitiptezee muda hapa wewe MTUSIWE ndio mjinga unafikiri Kwa kutumia tako tanzania hamna jeshi ni wavunja matofali Kwa maonesho jeshi lipo Rwanda kama unabisha ingiza pua kigali
Buraza Kede vipi?Narudia tena tusijaribu kuingia showdown na hawa jamaa, kwa maana uwezekano wa kuchapika ni mkubwa.
Japo historia ya enzi ya Iddi Amin inatubeba lakini itoshe kusema muda mwingi umepita na haya mambo ya ulinzi na usalama yamebadilika sana, tusijaribu tutachakaa.
Warfare ya sasa ni hitech na haijali mkubwa wala mdogo inategemea na uwekezaji ktk teknolojia na utayari wa wanajeshi lako. watu wetu wapo tu huko makambini sanasana wakitoka humo unapishana nao mabarabarani wakitroti na bdae kurudi makambini kulala. Nje ya hapo labda utaweza kuskia wameenda kulinda amani.
Kila uchao hawa jamaa wamekuwa kwenye mapambano kibao kwenye kona mbalimbali za bara hili maana yake jeshi lao lina hali na utayari wa hali ya juu, naonya tusijaribu tutachakaa.
Mfumo wa kuajiri wa jeshi letu bado sio merit based. Kuna mianya mingi ya kuingiza watoto wa wakubwa, watu nyoronyoro wapakapoda, weengi hawana misingi wala utayari wa kuwa frontliners kama wapambanaji, naonya tena tusijaribu tutachakaa.
Historia yao na hasa yale waliyopitia 1994 inawafanya hata mwananchi wa kawaida tu kuwa macho kijeshi muda wote, naonya tena tusijaribu tutachakaa.
Hali yetu kwenye haya mambo ya ulinzi na usalama inajulikana sina haja ya kusema hapa. Maana sio ajabu kukuta mtu hawezi hata kutofautisha mlio wa bunduki na pancha au basti ya gari, naonya tena tusijaribu tutachakaa.
Kumbe mkuu jamaa waliasi jeshi laoHistoria ya vita vya kagera imebeba mengi sana... JWTZ walirahisishiwa ushindi baada ya jeshi la Amin kuasi na kuanza kupigana kumng'oa Amin walijiita UNLF ndio walikuwa wa kwanza hata kuuteka mji wa Kampala..
Insraeli Ina watu milion 9 tu na ardhi Yao hata Rwanda kubwa Sasa nenda kawaguse ndio utajua ukubwa wako wa pua sio wingi wa kamasiRwanda ni wilaya tu kwa Tanzania, wala usitiptezee muda hapa wewe MTUSI
Nenda kaiguse Sasa mbona maneno mengiii🤣🤣🤣🤣Rwanda ni wilaya tu kwa Tanzania, wala usitiptezee muda hapa wewe MTUSI
Israel wangekuwa na uwezo wasingehangaika na Hamas toka October 7, 2023 hadi Januari 2025 walipoomba POO!!Insraeli Ina watu milion 9 tu na ardhi Yao hata Rwanda kubwa Sasa nenda kawaguse ndio utajua ukubwa wako wa pua sio wingi wa kamasi
Tanzania ni nchi ya wanawake ndio maana kagame haiogopi sababu inaongozwa na mwanamkeIsrael wangekuwa na uwezo wasingehangaika na Hamas toka October 7, 2023 hadi Januari 2025 walipoomba POO!!
Wewe Juice world hakuna unachojua zaidi ya kusifia pumbu za Kagame
Umeambiwa Tanzania ni nchi ya ugomvi?? Kwanini tumguse wakati hajagusa masilahi yetu. Acha usenge utakazwa bila maji mchana wote huuNenda kaiguse Sasa mbona maneno mengiii🤣🤣🤣🤣
Tanzania ni nchi ya wanawake ndio maana kagame anatamba tu sababu inaongozwa na bibiUmeambiwa Tanzania ni nchi ya ugomvi?? Kwanini tumguse wakati hajagusa masilahi yetu. Acha usenge utakazwa bila maji mchana wote huu
Pamoja na hayo nchi haina public supportNarudia tena tusijaribu kuingia showdown na hawa jamaa, kwa maana uwezekano wa kuchapika ni mkubwa.
Japo historia ya enzi ya Iddi Amin inatubeba lakini itoshe kusema muda mwingi umepita na haya mambo ya ulinzi na usalama yamebadilika sana, tusijaribu tutachakaa.
Warfare ya sasa ni hitech na haijali mkubwa wala mdogo inategemea na uwekezaji ktk teknolojia na utayari wa wanajeshi lako. watu wetu wapo tu huko makambini sanasana wakitoka humo unapishana nao mabarabarani wakitroti na bdae kurudi makambini kulala. Nje ya hapo labda utaweza kuskia wameenda kulinda amani.
Kila uchao hawa jamaa wamekuwa kwenye mapambano kibao kwenye kona mbalimbali za bara hili maana yake jeshi lao lina hali na utayari wa hali ya juu, naonya tusijaribu tutachakaa.
Mfumo wa kuajiri wa jeshi letu bado sio merit based. Kuna mianya mingi ya kuingiza watoto wa wakubwa, watu nyoronyoro wapakapoda, weengi hawana misingi wala utayari wa kuwa frontliners kama wapambanaji, naonya tena tusijaribu tutachakaa.
Historia yao na hasa yale waliyopitia 1994 inawafanya hata mwananchi wa kawaida tu kuwa macho kijeshi muda wote, naonya tena tusijaribu tutachakaa.
Hali yetu kwenye haya mambo ya ulinzi na usalama inajulikana sina haja ya kusema hapa. Maana sio ajabu kukuta mtu hawezi hata kutofautisha mlio wa bunduki na pancha au basti ya gari, naonya tena tusijaribu tutachakaa.
Baba zako walilelewa hapa baada ya kuvurumishwa na akina Hyabyarimana, leo unachonga mdomo. Kwani kuongozwa na mwanamke kuna shida gani?Tanzania ni nchi ya wanawake ndio maana kagame anatamba tu sababu inaongozwa na bibi
Tanzania hamna jeshi ni wanawake watupu sababu wanaongozwa na wanawake hivyo hata we ni punga tuBaba zako walilelewa hapa baada ya kuvurumishwa na akina Hyabyarimana, leo unachonga mdomo. Kwani kuongozwa na mwanamke kuna shida gani?
Nyinyi huyu mtu mrefu mwembamba amewabana hata hamna uhuru wa kusema. Kijinchi cha kisenge sana hicho
wale waliorudisha taarifa kuwa "sisi ni kama panzi tu mbele yao?"Wale wapelelezi 10 walioleta Hofu kwa Waisrael, Musa aliamua kuwaua
Nakukumbusha tuu. Jeshini watu kama ninyi hupigwa risasi na Kuuawa.
Nini kinachotufanya tujaribu?Narudia tena tusijaribu kuingia showdown na hawa jamaa, kwa maana uwezekano wa kuchapika ni mkubwa.
Japo historia ya enzi ya Iddi Amin inatubeba lakini itoshe kusema muda mwingi umepita na haya mambo ya ulinzi na usalama yamebadilika sana, tusijaribu tutachakaa.
Warfare ya sasa ni hitech na haijali mkubwa wala mdogo inategemea na uwekezaji ktk teknolojia na utayari wa wanajeshi lako. watu wetu wapo tu huko makambini sanasana wakitoka humo unapishana nao mabarabarani wakitroti na bdae kurudi makambini kulala. Nje ya hapo labda utaweza kuskia wameenda kulinda amani.
Kila uchao hawa jamaa wamekuwa kwenye mapambano kibao kwenye kona mbalimbali za bara hili maana yake jeshi lao lina hali na utayari wa hali ya juu, naonya tusijaribu tutachakaa.
Mfumo wa kuajiri wa jeshi letu bado sio merit based. Kuna mianya mingi ya kuingiza watoto wa wakubwa, watu nyoronyoro wapakapoda, weengi hawana misingi wala utayari wa kuwa frontliners kama wapambanaji, naonya tena tusijaribu tutachakaa.
Historia yao na hasa yale waliyopitia 1994 inawafanya hata mwananchi wa kawaida tu kuwa macho kijeshi muda wote, naonya tena tusijaribu tutachakaa.
Hali yetu kwenye haya mambo ya ulinzi na usalama inajulikana sina haja ya kusema hapa. Maana sio ajabu kukuta mtu hawezi hata kutofautisha mlio wa bunduki na pancha au basti ya gari, naonya tena tusijaribu tutachakaa.
Punga ni baba yenu Paul Kagame. Na mijitu inayopakuliwa nyuma huwa ni mikatili sana.Tanzania hamna jeshi ni wanawake watupu sababu wanaongozwa na wanawake hivyo hata we ni punga tu
Punga ni wewe unaekubali kuongozwa na mtu anaechuvhumaa akikojoa 🤣🤣🤣🤣🤣Punga ni baba yenu Paul Kagame. Na mijitu inayopakuliwa nyuma huwa ni mikatili sana.
Hata Hitler alikuwa punga
Je mama yako anakojoa huku amesimama?Punga ni wewe unaekubali kuongozwa na mtu anaechuvhumaa akikojoa 🤣🤣🤣🤣🤣