Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Kesho watanganyika tunaingia kwenye zoezi adhimu la kuwatafutia rais mpya wa zanzibar.Ngojeni kwnza tuuvunje huu muungano ndo mtafute vita.. Wazanzibari hatutaki vita kabisa.. mupigane peke yenu coz nyinyi mmezoea mizozo.. muliipiga Uganda sasa Rwanda.. kw hio ngojeni tutoke kwanza..!