Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

Vita haina macho mkuu, unaweza kuiita Rwanda kamkoa halafu wakatulambisha mchanga.

Vita ina strategy nyingi sana kuliko tunavyojaribu kufikiri, Vita sasa hivi ni technolojia na walio nyuma yako kukusupport.

Tanzania tunapaswa kuwa makini sana na haya mawazo ya Vita Vita na kama kuna ulazima basi iwe ni option ya mwisho.
Mabeberu wanatutamani sana ili watudestabilize tuwe kama DRC wajichotee mali kirahisi sana kwa kutumia vibaraka wao ambazo wengine ni jirani zetu na wengine tuko nao humu humu tunaishi nao.

Tunahitaji kuwaza Kwa akili nyingi sana na kuwekeza sana kwenye intelejensia ili tujilinde kutoingia vitani na yeyote yule, kifupi tuwe na ujasusi hatari wa kimafia wenye uwezo wa kumfikia yeyote yule popote alipo ila Tu tukishajiridhisha ana nia mbaya na Taifa letu.
Umeongea kizalendo mkuu.
 
Hayo ya hapo karibu yanayokuzunguka, yanayotupa watu baharini Kwa viroba, matekaji na yanayopiga watu risasi mchana huyaoni, Kigali haiitwi the safest city in Africa Kwa maneno tuu ni safe kweli kweli na wanaoishi Kigali au waliotembelea wanajua ,utakuwa safe in Kigali wewe na mali zako 100% kuliko bongo na hakuna mtu atakusumbua, kukuomba rushwa au kukubambikia kesi, ila kama utaleta siasa zako za ukabila au interahamwe watakushughulikia to the maximum, wenzako bado wanakumbuka genocide ilivyowafanya
Kwa hiyo Rwanda mji ni Kigali tu? Mbona sisikii miji mingine ikitajwa kila kitu kigali×30 . Huko kwingine vipi?
 
Rais Kagame wa Rwanda amekuwa mtu hatari kwa nchi majirani licha kujifanya mwana afrika.

Huyu ni mtu mlafi mbinafsi mkabila na kibaraka wa Marekani. Anafanya lolote kwa nchi za magharibi mradi wanampa pesa.

Amegeuza jeshi lake mamluki kwa kulipeleka kupigana popote mradi askari zake na yeye wanapata pesa.

Jeshi lake limekuwa Congo DR miaka yote kwa jina la M23 ili kuiba madini ya Congo kwa niaba ya makampuni ya kigeni na yeye binafsi na washirika wake Uganda.

Hivi leo Kagame ni rais wa tatu au wa nne kwa utajiri Afrika kutokana na wizi wa madini Kivu ya Kaskazini.

Kufuatana kumbukumbu ya M23 kuwahi kutwangwa na JWTZ na kutimuliwa nje ya Congo hadi Uganda, baada ya kuona msaada wa mizinga ya jwtz kuja tena kwa kuisadia fardc wahuni wa M23 wameshituka na kuanza kutishia kuwateka askari wa JWTZ nchini DRC.

Rwanda silaha na biashara kubwa inapitia Tanzania. Tusijidai eti tunajali biashara kuliko usalama wetu. Ni muda sasa kumkabili Kagame ama sivyo tutakuja kujuta.

Juzi tu hapa tumepata hofu baada ya kuhisi Kagame kuhusika kwa namna moja na mpango wa bandari zetu kuporwa na kampuni ya DP ya dubai ambayo tayari iko Rwanda.

Pia ningewashauri Msumbiji wasiamini majeshi ya Rwanda kuwasaidia kumaliza waasi Kaskazini mwa nchi hiyo maana Rwanda watageuza mapigano hayo uwekeza wa biashara na watajikuta majeshi hayo hayaondoki na vita haviishi.
Kagame Hana ubaya, unazozisikia, ni propaganda za, kipuuzi, nchi ndogo, zilizozungukwa, na majirani, wa kubwa, hujiona hazipo salama kabisa,. Nguvu ya, nchi, inapimwa, na human capital yake, idadi, ya watu, na utajiri wake, TZ ina watu 66+milioni, Rwanda ina watu 13M! Sie tuna GDP kulinganisha na Rwanda, sie ni tishio kubwa, kwa, Rwanda, kwa hiyo ili Rwanda ipate peace of mind, lazima ifanye vitu(kiki) kujionyesha ina uwezo, mkubwa, kupandikiza story kama hz kutumikia mamluki, sycological warfare, kipindi kile Rwanda imeenda msumbiji, ikajimwambafy imewamaliza magaidi! Kumbe wapi, kiki tu, hata kule Congo, pesa za, M23, hazitoki kwenye uchumi wa Rwanda, zinatoka nje, Rwanda inatumika tu, kufikilia nchi inayotegemea Masokwe, na manyani kama kivutio cha utalii kuingiza pesa za kigeni, inaweza kughsramia Vita isiyoisha Congo, ni ukichaa, Rwanda haina economical muscles ya kupambana na TZ, inatumika tu kama kibaraka, imekubali kupokea wakimbiz kutoka UK, uli ipewe pesa!
Vita, intelijwnsia, ni biashara ya gharama sana, kama Rwanda, itatushinda kiintelijensia, ni kwa sababu, mi ccm, inachowaza ni kushinda uchaguzi tu,
 
Un
Rais Kagame wa Rwanda amekuwa mtu hatari kwa nchi majirani licha kujifanya mwana afrika.

Huyu ni mtu mlafi mbinafsi mkabila na kibaraka wa Marekani. Anafanya lolote kwa nchi za magharibi mradi wanampa pesa.

Amegeuza jeshi lake mamluki kwa kulipeleka kupigana popote mradi askari zake na yeye wanapata pesa.

Jeshi lake limekuwa Congo DR miaka yote kwa jina la M23 ili kuiba madini ya Congo kwa niaba ya makampuni ya kigeni na yeye binafsi na washirika wake Uganda.

Hivi leo Kagame ni rais wa tatu au wa nne kwa utajiri Afrika kutokana na wizi wa madini Kivu ya Kaskazini.

Kufuatana kumbukumbu ya M23 kuwahi kutwangwa na JWTZ na kutimuliwa nje ya Congo hadi Uganda, baada ya kuona msaada wa mizinga ya jwtz kuja tena kwa kuisadia fardc wahuni wa M23 wameshituka na kuanza kutishia kuwateka askari wa JWTZ nchini DRC.

Rwanda silaha na biashara kubwa inapitia Tanzania. Tusijidai eti tunajali biashara kuliko usalama wetu. Ni muda sasa kumkabili Kagame ama sivyo tutakuja kujuta.

Juzi tu hapa tumepata hofu baada ya kuhisi Kagame kuhusika kwa namna moja na mpango wa bandari zetu kuporwa na kampuni ya DP ya dubai ambayo tayari iko Rwanda.

Pia ningewashauri Msumbiji wasiamini majeshi ya Rwanda kuwasaidia kumaliza waasi Kaskazini mwa nchi hiyo maana Rwanda watageuza mapigano hayo uwekeza wa biashara na watajikuta majeshi hayo hayaondoki na vita haviishi.
Una hoja ya msingi sana
 
Kagame Hana ubaya, unazozisikia, ni propaganda za, kipuuzi, nchi ndogo, zilizozungukwa, na majirani, wa kubwa, hujiona hazipo salama kabisa,. Nguvu ya, nchi, inapimwa, na human capital yake, idadi, ya watu, na utajiri wake, TZ ina watu 66+milioni, Rwanda ina watu 13M! Sie tuna GDP kulinganisha na Rwanda, sie ni tishio kubwa, kwa, Rwanda, kwa hiyo ili Rwanda ipate peace of mind, lazima ifanye vitu(kiki) kujionyesha ina uwezo, mkubwa, kupandikiza story kama hz kutumikia mamluki, sycological warfare, kipindi kile Rwanda imeenda msumbiji, ikajimwambafy imewamaliza magaidi! Kumbe wapi, kiki tu, hata kule Congo, pesa za, M23, hazitoki kwenye uchumi wa Rwanda, zinatoka nje, Rwanda inatumika tu, kufikilia nchi inayotegemea Masokwe, na manyani kama kivutio cha utalii kuingiza pesa za kigeni, inaweza kughsramia Vita isiyoisha Congo, ni ukichaa, Rwanda haina economical muscles ya kupambana na TZ, inatumika tu kama kibaraka, imekubali kupokea wakimbiz kutoka UK, uli ipewe pesa!
Vita, intelijwnsia, ni biashara ya gharama sana, kama Rwanda, itatushinda kiintelijensia, ni kwa sababu, mi ccm, inachowaza ni kushinda uchaguzi tu,
Pk kiboko yake jk
 
Watutsi wamechanua sana Tz, mfano ni Hawa Akina mapacha wa bukombe, njoo geita yupo mshua wa blue ocean.. Blue ocean mwenye hisa kubwa yupo kugali state house... Ni ndugu wa mapacha. Imagin state house Kigali then state house magogoni.. what next.. MBONA TUTANYOOKA
Niliwahi fanya kazi na binti wa Blue Coast pale GGM kwa sasa kaolewa Kigali,unachoongea ni kweli kabisa
 
Kagame Hana ubaya, unazozisikia, ni propaganda za, kipuuzi, nchi ndogo, zilizozungukwa, na majirani, wa kubwa, hujiona hazipo salama kabisa,. Nguvu ya, nchi, inapimwa, na human capital yake, idadi, ya watu, na utajiri wake, TZ ina watu 66+milioni, Rwanda ina watu 13M! Sie tuna GDP kulinganisha na Rwanda, sie ni tishio kubwa, kwa, Rwanda, kwa hiyo ili Rwanda ipate peace of mind, lazima ifanye vitu(kiki) kujionyesha ina uwezo, mkubwa, kupandikiza story kama hz kutumikia mamluki, sycological warfare, kipindi kile Rwanda imeenda msumbiji, ikajimwambafy imewamaliza magaidi! Kumbe wapi, kiki tu, hata kule Congo, pesa za, M23, hazitoki kwenye uchumi wa Rwanda, zinatoka nje, Rwanda inatumika tu, kufikilia nchi inayotegemea Masokwe, na manyani kama kivutio cha utalii kuingiza pesa za kigeni, inaweza kughsramia Vita isiyoisha Congo, ni ukichaa, Rwanda haina economical muscles ya kupambana na TZ, inatumika tu kama kibaraka, imekubali kupokea wakimbiz kutoka UK, uli ipewe pesa!
Vita, intelijwnsia, ni biashara ya gharama sana, kama Rwanda, itatushinda kiintelijensia, ni kwa sababu, mi ccm, inachowaza ni kushinda uchaguzi tu,
Umeliweka vizuri hili la Rwanda
 
Endeleeni kujidanganya tu, ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi, ISRAELI kataifa kadogo lakini kanasumbua waarabu wote mashariki ya kati.

Ukubwa ni akili, maarifa, teknolojia na umakini wa watu wako, bahati mbaya vyote hatuna na wenzetu wanavyo.

Watu wetu tunawajua maana ndio hawahawa tunaoishi nao mitaani, tabia zao na aina ya maisha yao ndivyo vinavyotuletea woga.
Hatari nyingine huku NI CCM inayoamini kwenye kutawala na si ustawi wa watu wake na uwekezaji kwenye vitu vya msingi..
 
Ni rahisi sana Mtutsi wa Rwanda kuingia Tanzania akaishi na hata kufanya kazi akitokea Ngara, Bukoba, Kigoma nk na hata kuwa kwenye mifumo lakini ikawa ngumu sana kwa wanaofanana nao kutokea Tanzania kuingia Rwanda na kufanya kazi kwenye mifumo.

Watutsi wa Rwanda ni moja ya jamii makini yenye akili, uaminifu, utiifu na ubinafsi dhidi ya kabila lao na maendeleo ya kabila lao, HILI LINAWAFANYA KUWA MAJASUSI WAZURI DHIDI YA TAIFA LAO NA KUWA NGUMU KUPANDIKIAZA MOLES MIONGONI MWAO.

Sifa kubwa ya WATANZANIA ni jamii ya watu ambao hatuko serious, kuanzia wenye nyadhifa mpaka raia wa kawaida hili limetufanya kuwa wepesi kupenyeka kupitia NGONO, RUSHWA NA KUZIDIWA MAARIFA.
Bahati mbaya WATANZANIA WENGI TUNAPENDA NGONO, ngono hovyohovyo na umalaya NI miongoni mwa vitu vinavyoondoa concentration miongoni mwetu nakutufanya watu wa hovyohovyo, kupenda maisha mazuri ya harakaharaka Kwa wazee na vijana kumetufanya wengi wetu kuwa hata tayari kuuza utaifa wetu na kushirikiana na wageni kupata mambo fulani fulani muhimu kwa maslahi yao.
 
Wabongo wengi ni mazuzu alafu wafuata Mkumbo.
Akisikia Watu wanasema Kagame kiboko wanadandia tela. Kila mtu kagame kiboko hata kama hawajui na hawana uthibitisho.

Wakisikia neno fulani wanalidandia kama mazuzu. Utasikia magonjwa ya akili,nao hayo magonjwa ya akili hata kwa visivyo na ithibati.
Yakisikia uchumi wa kati nao hao.
Tuna ujinga sana
 
Ngoja niwape ujinga mwingine; Watusi ni wahabeshi - waisrael waliotawanyika miaka mamilioni mengi yaliyopita, hawaendeshwi na nguvu za misuli kama wanyamwezi nyie wanatumia akili, na mdhalau biu humiuka yeye au washwahili wengine husema mdharau mwiba mguu huota tende, Shida yako ni nini mpaka umrushie matusi bila sababu, Bhahima empire ipo mpaka Tanzania tene over one third sasa unasema ka Nchi kadogo weeee ishia hapohapo, Banyamrenge ni mamilioni yakutosha ambao being in Congo mioyo yao iko serikali ya Kigali so usirushe matusi wakati hujui hata kushika msg, tulia bro usije ukamwagwa kamasi. Tanzania inaheshimu Nchi zote iwe ndogo iwe kubwa (tumeheshimu zanziber wana uhuru wao na bendera sembuse Rwanda)tumejengewa diplomasia ya mahusiano mema hata Amini tulilazimika kumpiga kutokana na jeuri tu aliyotuonyesha mpaka kuchukua aridhi yetu vinginevyo hatukuwa na sababu.
 
mkoa hauwezi pigana na nchi, ..mkuu wa mkoa wa Rwanda paul kagame analijua hilo ndo maana hawezi thubutu
 
Rais Kagame wa Rwanda amekuwa mtu hatari kwa nchi majirani licha kujifanya mwana afrika.

Huyu ni mtu mlafi mbinafsi mkabila na kibaraka wa Marekani. Anafanya lolote kwa nchi za magharibi mradi wanampa pesa.

Amegeuza jeshi lake mamluki kwa kulipeleka kupigana popote mradi askari zake na yeye wanapata pesa.

Jeshi lake limekuwa Congo DR miaka yote kwa jina la M23 ili kuiba madini ya Congo kwa niaba ya makampuni ya kigeni na yeye binafsi na washirika wake Uganda.

Hivi leo Kagame ni rais wa tatu au wa nne kwa utajiri Afrika kutokana na wizi wa madini Kivu ya Kaskazini.

Kufuatana kumbukumbu ya M23 kuwahi kutwangwa na JWTZ na kutimuliwa nje ya Congo hadi Uganda, baada ya kuona msaada wa mizinga ya jwtz kuja tena kwa kuisadia fardc wahuni wa M23 wameshituka na kuanza kutishia kuwateka askari wa JWTZ nchini DRC.

Rwanda silaha na biashara kubwa inapitia Tanzania. Tusijidai eti tunajali biashara kuliko usalama wetu. Ni muda sasa kumkabili Kagame ama sivyo tutakuja kujuta.

Juzi tu hapa tumepata hofu baada ya kuhisi Kagame kuhusika kwa namna moja na mpango wa bandari zetu kuporwa na kampuni ya DP ya dubai ambayo tayari iko Rwanda.

Pia ningewashauri Msumbiji wasiamini majeshi ya Rwanda kuwasaidia kumaliza waasi Kaskazini mwa nchi hiyo maana Rwanda watageuza mapigano hayo uwekeza wa biashara na watajikuta majeshi hayo hayaondoki na vita haviishi.
Kuna mada hapa nilieleza kuhusu mashaka ya ofisi za ugaidi wa msumbuji ulifutwa.na ili naona unakaribia kufutwa
 
Ni rahisi sana Mtutsi wa Rwanda kuingia Tanzania akaishi na hata kufanya kazi akitokea Ngara, Bukoba, Kigoma nk na hata kuwa kwenye mifumo lakini ikawa ngumu sana kwa wanaofanana nao kutokea Tanzania kuingia Rwanda na kufanya kazi kwenye mifumo.

Watutsi wa Rwanda ni moja ya jamii makini yenye akili, uaminifu, utiifu na ubinafsi dhidi ya kabila lao na maendeleo ya kabila lao, HILI LINAWAFANYA KUWA MAJASUSI WAZURI DHIDI YA TAIFA LAO NA KUWA NGUMU KUPANDIKIAZA MOLES MIONGONI MWAO.

Sifa kubwa ya WATANZANIA ni jamii ya watu ambao hatuko serious, kuanzia wenye nyadhifa mpaka raia wa kawaida hili limetufanya kuwa wepesi kupenyeka kupitia NGONO, RUSHWA NA KUZIDIWA MAARIFA.
Bahati mbaya WATANZANIA WENGI TUNAPENDA NGONO, ngono hovyohovyo na umalaya NI miongoni mwa vitu vinavyoondoa concentration miongoni mwetu nakutufanya watu wa hovyohovyo, kupenda maisha mazuri ya harakaharaka Kwa wazee na vijana kumetufanya wengi wetu kuwa hata tayari kuuza utaifa wetu na kushirikiana na wageni kupata mambo fulani fulani muhimu kwa maslahi yao.
Watusi Wana akili sana!!..acha ujinga,akili gani!?..mbona tulipeleka mtusi mwenzao hapo tukanyonya wee taarifa Kisha akarudi makumbusho,wakabaki kubweka tu
 
Watusi Wana akili sana!!..acha ujinga,akili gani!?..mbona tulipeleka mtusi mwenzao hapo tukanyonya wee taarifa Kisha akarudi makumbusho,wakabaki kubweka tu
Unakumbuka na yule kijana wa IT aliyekimbia na Laptop kurudi Kigali.?

Utambue tu, kama umeweza kupeleka mmoja basi wapo wengi sana huku na damage ni kubwa saana.

Hauoni ndugu zako wengi wameoa na kuchepuka na zile pua ndefu na mishepu, zimejaa kibao mjini na mingine ni mishangazi ya kitambo na ndugu zako walijimilikisha sana.
 
Back
Top Bottom