Kagame Hana ubaya, unazozisikia, ni propaganda za, kipuuzi, nchi ndogo, zilizozungukwa, na majirani, wa kubwa, hujiona hazipo salama kabisa,. Nguvu ya, nchi, inapimwa, na human capital yake, idadi, ya watu, na utajiri wake, TZ ina watu 66+milioni, Rwanda ina watu 13M! Sie tuna GDP kulinganisha na Rwanda, sie ni tishio kubwa, kwa, Rwanda, kwa hiyo ili Rwanda ipate peace of mind, lazima ifanye vitu(kiki) kujionyesha ina uwezo, mkubwa, kupandikiza story kama hz kutumikia mamluki, sycological warfare, kipindi kile Rwanda imeenda msumbiji, ikajimwambafy imewamaliza magaidi! Kumbe wapi, kiki tu, hata kule Congo, pesa za, M23, hazitoki kwenye uchumi wa Rwanda, zinatoka nje, Rwanda inatumika tu, kufikilia nchi inayotegemea Masokwe, na manyani kama kivutio cha utalii kuingiza pesa za kigeni, inaweza kughsramia Vita isiyoisha Congo, ni ukichaa, Rwanda haina economical muscles ya kupambana na TZ, inatumika tu kama kibaraka, imekubali kupokea wakimbiz kutoka UK, uli ipewe pesa!
Vita, intelijwnsia, ni biashara ya gharama sana, kama Rwanda, itatushinda kiintelijensia, ni kwa sababu, mi ccm, inachowaza ni kushinda uchaguzi tu,