Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

Wewe utaongea sn Leo!

Mwambie kiongozi wako akawaombe msamaha wale waliompa nchi. Maana imekua ni kawaida kwa Kigali ikikosolewa tu basi inakuja juu na kutoa kauli za ajabu!

Kuna habari nyingi mno kuhusu Kiongozi wako tangu alivyo Kua anaitaka Hiyo nchi mpk sasa Yeye na Yule mnaemuita Kaka mkubwa Yani Mu7.

Mwambieni PK akawaaombe radhi Wamarekani na Waingereza ndo waliompa nchi!

Duh!awapigie magoti kwalipi?waliomwaga damu si wamarekani au waingereza ni watoto wa kinyarwanda,nahiyo tabia ya watanzani kupigia magoti wakoloni ndio inawapa amani na kuwaacha masikini,na siku mtajaribu kusimama peke yenu mtaona jinsi mtakavyo sambaratika yani mtakua zaidi ya DRC,huo upuuzi wanyarwanda hawautaki,najua watapambana na hizo dhoruba lakini watashinda,usipokua jasili huwezi kwamua raia wako katika umasikini na ujinga.
 
Ki rwanda kidogo sana kwa tz isee .... na ni ajabu kuilinganisha israel iloshikilia dunia na hao watoto wadogo hata A hawajajua kuandika .. ni thread ya kitoto ...
 
Aisee hawa wanyarwanda noma inawezekana Kabisa TISS hawakupenda Tanzania waende Congo hii vita ni Kama ya bwana kikwete plus membe against kagame na wenzake naamini mahusiano yetu na rwanda yatakuwa mazuri baada ya 2015

Fuatilia hii story kwa makini,achana na propaganda za Kagame,masuala ya TISS ayapo kama hivyo,kuna baraza la Usalama la Taifa ndilo lenye jukumu la kumshauri Rais kwenye mambo ya kiusalama,na pia nchi aipeleki jeshi nje ya nchi kwa utashi wa Rais tu kuna vigezo vingi vinaangaliwa,ingawaje kikatiba anayo mamlaka na pia ndiye amiri jeshi mkuu
 
mossad007, dogo achakudanganya watu hapa,kuingilia mambo ya ndani ni kujaribu kugeuza mipangilio ya mtu kwake,kwanza rwanda inautaratibu wake wakurudisha wanyarwanda nchini rwanda,iliweza kuwarudisha wakimbizi zaidi ya milioni mbili kutoka congo,FDLR zaidi ya elfu kumi,na mpaka leo wanarudi bila ya msaada wa kikwete,sasa leo jamaa anachomoka sehemu anakwambia naona unayoyafanya sivyo inabidi ukae nao muongee,tena na genociders,ambao wameshindwa vile vile,hiyo ni kama kupatia award mauaji ya kuangamiza rwanda,hao inabidi waje watubu na sheria zichukue mkondo wake,nafikiri kama hilo panga linge pitishwa bagamoyo kikwete asingekua anashauri hivyo,kwa sababu walifanya maovu mungu aliwatia mikononi mwa wakombozi na ni aibu mbele ya mungu kuwachukua waovu katika nchi takatifu bila kutubu dhambi zao na kupewa huruma.

Nimetoa sababu 3 kwann Tanzania ina haki ya msingi kuishauri Rwanda juu ya mambo ya Usalama wa eneo la maziwa makuu.. Umepiga kelele the only thng umeishia kuongea ni wakimbizi. Sasa nakuongezea swali unataka kusema katika makambi ya wakimbizi Tanzania hakujawahi kuwekwa wakimbizi kutoka Rwanda..??
Pili em jibu zile hoja nyngne ili twende kisomi sio malumbano ya vijiweni.
 
Last edited by a moderator:
Kagame amekutuma uje kulialia ili asipigwe? Mnajisifia halafu hamna kitu.. Kagame kawaambia M23 waandike barua kwa Bunge la Tanzania eti.. Oooh msipeleke majeshi Congo hamjui vita vya msituni mtajutia uamuzi wenu... Kichapo mpaka mkakimbilia Uganda.. Na mkipigana na sisi ndani ya siku 5 mtakuwa koloni letu.
 
Kiongozi umenena vema, Rwanda wako vizuri sana na wana field ya kivita kwanzia jeshi hadi wananchi, sis hapa hata hao wajeda baadhi tu ndio wana field ya kivita kwa watanzania tulio weng hatujui vita ni nn, laiti cku moja Tanzania ikipaniki ikaenda kuivamia Rwanda basi naamini kabisa ile mikoa ya Kagera na Kigoma tutawasahau.
Over
 
Duh!awapigie magoti kwalipi?waliomwaga damu si wamarekani au waingereza ni watoto wa kinyarwanda,nahiyo tabia ya watanzani kupigia magoti wakoloni ndio inawapa amani na kuwaacha masikini,na siku mtajaribu kusimama peke yenu mtaona jinsi mtakavyo sambaratika yani mtakua zaidi ya DRC,huo upuuzi wanyarwanda hawautaki,najua watapambana na hizo dhoruba lakini watashinda,usipokua jasili huwezi kwamua raia wako katika umasikini na ujinga.

Ndio walio mwaga damu ni Wanyarwanda Lkn mibaraka yote RPF ilipewa toka kwa hayo mataifa!

Sisi Tuko imara weye kijana! Wewe eneza propaganda ya kumsafisha PK Lkn Huyo Kiongozi wako hasafishiki ata kidogo!
 
Ata hao wafaransa wanaweza Kua na maslahi na Kigali!

Kiongozi wako anakandamiza wapinzani kwa nguvu zote ni km Wewe hapa unsvyosema! Mara wahalifu hawawezi Kua wanasiasa! Yani mmejiwekea sheria na mataratibu magumu sn! Sasa nyie mnataka mpinzani atoke wapi?

Ulishawahi kujiuliza Kwanini Kiongozi wako anang'ang'ania Kua madarakani?

Muhalifu anaweza kua mwanasiasa lakini kabla ya kuingia ulingoni lazima sheria zifanyekazi.
Kung'ang'ania unakosema sikuoni atamaliza muda wake 2017,ninacho fahamu wapinzani kama nyie mnachotaka sio kagame aondoke bali mnataka chama kiondoke,kwani hata akiondoka pk RPF itabaki na system itabaki kua ileile kama CCM,ninge waona mashujaa kama mngeweza kuiondoa CCM,lakini hilo hamuliwezi mmekalia kuangalia ya majirani zenu.
 
hakika wengi wetu humu tufahamu taifa la israel, wayahudi, historia ya wayahudi na nguvu zao kisiasa na kijeshi. Na pia naamini wengi tunahamu rwanda, tutsi, historia yao na nguvu yao kisiasa na kijeshi. Hawa watu historia yao inafanana kiasi, wote wamepitia kipindi cha kuuliwa na kunyanyaswa sana tofauti wayahudi waliuliwa na wanazi wa kijerumani, na dikteta amin,nk kwa upande wa tutsi wao waliuwawa na majirani zao wahutu. Kwa sasa hawa watu wana dola wanaziongoza wayahudi israel watutsi rwanda na tunashuhudia jinsi hizi dola mbili zilivyo na usumbufu kwa nchi jirani israel mashariki ya kati na rwanda mashariki mwa afrika kiasi kwamba nchi za magharibi wakiongozwa na kilanja wao mkuu marekani wanashindwa wafanyeje na kubaki kusema kwa maneno tu eti israel ikomeshe kujenga makazi ya walowezi kule israel mara rwanda inasaidia waasi kule kongo waache mara moja, ukweli hizi jamii mbili ni hatari sana sasa, zilitaabika sana kwa kuuwawa kwa maelfu lakin hivi sasa mwenyezi mungu anazifuta machozi ukizigusa tu umeisha, mungu anakuadhibu. Ukiangalia israel kazungukwa na mataifa ya kiarabu ambayo baadhi ama yote hayampendi kwa sababu ya kunyanyasa ndugu zao wa palestina, kwa akili ya kawaida si wangeungana wakampiga ili akome ila kwa kuwa wale wahusika wanajua siri ya urembo. Ukija kwa upande wa rwanda utasikia serikali ya congo inalalamika rwanda wanasaidia waasi na wanapora madini rais analalamika, jeshi la congo linalalamika lakin kwa akili ya kawaida fikra zinasema kwa nn linchi likubwa kama congo lisikavamie na kukaadhibu karwanda ili kakome na kihelehele chake cha kuwasaidia waasi kunyanyasa wakongoman na kupola rasilimali zao? Ila wahusika kwa kuwa wana busara wanaijua siri ya urembo. Sasa huu msala naona umehamia kwa nchi yetu tanzania na kuna watu huku mtaani wanasema tuivamie rwanda weweweweweh! Sio jambo la kuthubutu kabisa hilo make cha moto tutakacho kipata hatutasahau sisi hadi wajukuu wetu. Hoja eti sisi nchi yetu kubwa karwanda kadogo. Hivi sisi nchi kubwa kuliko kongo? Vita sio linchi likubwa asee ndo unawin. Mfano marekani na nato wanapigana na kakikundi tu taliban waulize mziki ulivyo mnene. Namaliza kwa kusema hivi 'ushauri mzuri sio rahisi kuupata na hata ukiupata sio rahisi kuufuata hasa kwa mswahili' nashauri tanzania tusipigane na rwanda kijeshi tutajuta bali tupigana hivi kwa maneno au haya mambo yaishe kabisa na haya yote rais anajua na jeshi letu linajua sasa nyie huku kitaa shobokeni tu.

umeniharibia valentine day yangu kuwafananisha wauaji kama taifa teule shenzi type, rwanda my foot!
 
Hta kama kuna ukweli fulani ila hii habari imeandikwa kipropaganda mno na kujaziwa chumvi sana.

Tatizo ni wepesi wa serikali yetu yenyewe kuwapa wageni kipao mbele kwa kila kitu! waalimu kutoka nchi jirani,Ma managers wa mahotel kutoka nchi jirani, Wawekezaji wasio kuwa na takwimu zinazostahili na on top wanawapa fedha zetu kuanzishia miradi, Makampuni haya ya security yamejaa wageni, kwa mtiririko huu unadhani mchi itabaki salama? maana hujui adui ameingia kwa style ipi, tukilalamika tunaambiwa na hao hao viongozi wetu hususani mawaziri "watanzania ni wavivu na ni wezi makazini" si maanishi wafukuzwe ninyi mawaziri ijengeeni nchi au taifa hili la tanzania liheshimiwe na wageni na wawe nahofu ya uhalifu na nikwakufanya hivi tu KUWEKEZA KWA WATANZANIA WENYEWE KAMA MALI HAI WATU!
Na msipokaa makini mtakuja kuwa na waziri mkuu mnyarwanda! na uasi ukianza sijui tutaumalizia vipi fikirieni sana kuhusu CONGO ilivyo kubwa lakini machafuko yamedumu kwa muda gani na nikinanani wameyaanzisha!
Sawa puuzieni mengine ya Nyerere la kini hili la usalama wa taifa igeni basi kwake!
 
Walikuja wafaransa wenyewe na mashine zao na kupima kilakitu na kusema silaha iliyotumiwa ilikua kambini kanombe,sasa sijui hiyo report yako niyawapi na yalini?usije niletea story za wapinzani wa serikali ya kigali.

Leo hamuwataki Intarahamwe, wakati mlikua mnawatumia mlikua mnaona raha?
 
Ndio walio mwaga damu ni Wanyarwanda Lkn mibaraka yote RPF ilipewa toka kwa hayo mataifa!

Sisi Tuko imara weye kijana! Wewe eneza propaganda ya kumsafisha PK Lkn Huyo Kiongozi wako hasafishiki ata kidogo!

Sikiliza ndugu yangu,mtu anaweza kukubaliki lakini kama mwanaume kwako sio kwasababu alikubariki alale na mkeo au kukuamulia jinsi ya kuendesha maisha yako,nafikiri wakati umefika wa kila mtu ku win,na maana win-win sio win- lose.
 
Tatizo ni wepesi wa serikali yetu yenyewe kuwapa wageni kipao mbele kwa kila kitu! waalimu kutoka nchi jirani,Ma managers wa mahotel kutoka nchi jirani, Wawekezaji wasio kuwa na takwimu zinazostahili na on top wanawapa fedha zetu kuanzishia miradi, Makampuni haya ya security yamejaa wageni, kwa mtiririko huu unadhani mchi itabaki salama? maana hujui adui ameingia kwa style ipi, tukilalamika tunaambiwa na hao hao viongozi wetu hususani mawaziri "watanzania ni wavivu na ni wezi makazini" si maanishi wafukuzwe ninyi mawaziri ijengeeni nchi au taifa hili la tanzania liheshimiwe na wageni na wawe nahofu ya uhalifu na nikwakufanya hivi tu KUWEKEZA KWA WATANZANIA WENYEWE KAMA MALI HAI WATU!
Na msipokaa makini mtakuja kuwa na waziri mkuu mnyarwanda! na uasi ukianza sijui tutaumalizia vipi fikirieni sana kuhusu CONGO ilivyo kubwa lakini machafuko yamedumu kwa muda gani na nikinanani wameyaanzisha!
Sawa puuzieni mengine ya Nyerere la kini hili la usalama wa taifa igeni basi kwake!


Umeandika kwa kufikiria Lkn Mkuu? Mfumo Wa kulinda nchi Au Wa usalama hauko km siasa Au ni wakupigiwa debe km propaganda!
 
Mukamasimba,
Ubishi wa kitoto unakera. Hapo Sinza kwako tunakujua fika kwa arrogance na misplaced superiority complex uliyo nayo. Ndo maana umefundishwa adabu kwenye site ile kule pahala ulikoendeleza upofu wako ukifikiri sisi Wabongo tumelala. Si umeshikishwa adabu? Wewe si unamuabudu PK? Bisha hapa nikuumbue

Ingekua ni pk kaambia wapinzani wake haya uliyo niandikia ungesema ni dikteta,sasa wewe sijui nikuite nini?mbona raia wakawaida unaleta vitisho kwa mtu anayetoa maoni yake ungefanywa rais ungefanya maovu mangapi?.
 
Sikiliza ndugu yangu,mtu anaweza kukubaliki lakini kama mwanaume kwako sio kwasababu alikubariki alale na mkeo au kukuamulia jinsi ya kuendesha maisha yako,nafikiri wakati umefika wa kila mtu ku win,na maana win-win sio win- lose.


Sasa utamsafisha vp Huyo Kiongozi wako na hizo tuhuma za kimbari?
 
Taifa teule ni lipi? Taifa teule kama unavoliita mbona na wao ni majangil wakubwa wanawachinja wapalestina kama kama Tembo wa Tanzania, waislael mm cwatofautish na wauza pembe za ndovu
 
Umeandika kwa kufikiria Lkn Mkuu? Mfumo Wa kulinda nchi Au Wa usalama hauko km siasa Au ni wakupigiwa debe km propaganda!

Kama umesoma vizuri utaelewa nimemaanisha nini! ulinzi siku zote unajulikana ni njia ya kujihami na adui! na adui siku zote anatafuta udhaifu wa mtu aliye jihami naye! sidhani kama nilicho andika ni propoganda au napiga debe kama uzanivyo nilicho andika ni somo! mfano, hakuna kitu kinamuuma mwanaume kama kuibiwa mke, ila inamchukua mda sana mwanamume huyo kujua ukweli na anapokuja kujua ninani mbaya wake pengine ni rafiki yake wa karibu! hapa mbinu ni adui anacheza na udhaifu wako tu!
 
Umeandika kwa kufikiria Lkn Mkuu? Mfumo Wa kulinda nchi Au Wa usalama hauko km siasa Au ni wakupigiwa debe km propaganda!

Mnaelekea pagumu,tanzania ilikua nchi ya amani bila ubaguzi sasa huyo shetani wa ubaguzi na ukabila kawaingilia,sasa mumeanza kusakama waha,wahangaza,wahaya,wanyambo eti ni watusi,poleni sana,kwa ushauri wangu hilolitakua kosa kubwa na ambalo mtajutia,kwani mtaipoteza amani na kuirudisha itawagharimu sana,mungu apushilie mbali huyo pepo wa ukabila.
 
Patrick Elias
Mfano marekani na NATO wanapigana na kakikundi tu taliban waulize mziki ulivyo mnene.

Taliban kutumia guerilla tactics ndo mziki mnene?

Ku plant roadside bombs au kutumia suicide bombers ndo mziki mnene?

Usha compare Nato casualities to taliban casualities?
 
Back
Top Bottom