Kuna kundi la vijana wa Kitanzania wanahusiana na makundi ya kigaidi. Kwa sasa hawa ndio maadui wa taifa letu







Tuweke siasa pembeni. Sasa hivi tz wapo magaidi wengi sana. Na wengine wamejifunza misimamo mikali kisha wanaenda "kujifunza dini".
 
Mbowe naye alienda mafunzoni Somalia?
 
Acheni uonevu ,hamtaishi kwa uoga kama mnatupa,mnaji..dia porini.
 
Hawa vijana walidanganywa kuna mfumo wa Kikristo unawaonea waislam. Sasa rais wetu ni muislamu na anaupiga mwingi sana upande wa pili. Magaidi wakituzingua watakuwa wanatuonea maana wamepata walichokuwa wanataka.
Sidhani mfumo utamruhusu kuutibua,tangu enzi ya vita vya mslaba kanisa katoliki halijawahi kukubali kushindwa
 
Ugaidi ni zao la uonevu, palipo na haki hakuna ugaidi. Hamza si gaidi tafuta aliyesikia madai yake hautasikia siasa ndani yake.
 
Ushahidi upo ila wewe huwezi kujua sababu upo mbali na dunia.
Sasa uliekuwa duniani jitahidi kutenda haki,kwa kutokuonea,kumbambikia au kumnyanyasa yeyote au kundi lolote hayo yote yatakuwa hayana nafasi.
 
Adui yetu namba moja ni hawa Polisi-CCM wanaoitumikia CCM badala ya kuwatumikia wananchi.Tutaendelea kuwaua.



Your browser is not able to display this video.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…