Kuna kundi la vijana wa Kitanzania wanahusiana na makundi ya kigaidi. Kwa sasa hawa ndio maadui wa taifa letu

Fuatilia mozambiq wengi wanaofanya ugaid ni watz
Hiyo siyo 'fact', wengi ni 'opinion', bado nasema hakuna ushahidi kama upo upelekwe kunakohusika na watakamatwa fulani na fulani wanaohusika na ugaidi. Lakini hizo sentensi za 'wengi' ni maoni tu.
 
Hawa vijana walidanganywa kuna mfumo wa Kikristo unawaonea waislam. Sasa rais wetu ni muislamu na anaupiga mwingi sana upande wa pili. Magaidi wakituzingua watakuwa wanatuonea maana wamepata walichokuwa wanataka.
Sijui unajua kuwa wao wanaamini kuwa rais mwislam hawezi kufanya chochote kinyume na "huo mfumo"?
 
Ni kweli tunatakiwa kuwa makini Sana mkuu pamoja na kumuomba Mungu Sana kwa nchi hii.

Ila huu ujumbe wako, umesahau kuongeza makundi mengine ambayo nayo ni adui wa taifa letu . Kwa mfano

kundi linalo ongeza ama kuleta tozo za miamala na tozo zingine hovyo hovyo bila utafiti wa kutosha kwa wananchi.

Kundi la pili ni lile linalotunga sheria za hovyo kwenye nchi, kwa mfano mtu anashitakiwa kwa kuitia hasara serilikali bilion 5, mwisho wa siku anahukumiwa mahakaman kwa kulipa fain ya milion Saba kwa hasara ya bilions

Kundi lingine kwa usalama wa nchi yetu liko ndani ya Jeshi la Police linalo wabambikia kesi watu za uongo na mwishoe kuleta chuki sana

Makundi hatarishi yapo mengi tu mkuu yanatofautiana degree za viwango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…